Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!!
ua-cam.com/play/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X.html&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
Mbona mm ujanizungumzia
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
R &l
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
Nabii kwao Haeshimiki,
Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
Nipe connection mzee
Nipe connection mzee
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman.
Time will tell.
I love Tz
Better for making money and investing back home
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries.
Political science and history tells us so!
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
Kwema n
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@@jacksonmambwe8416😅
@@Dr.manyaunyau kwema
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
Nice
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
Nampenda sana Frank saut yake
Frenk❤
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
Acha story nyingi nenda kwenye point
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
sonia yupo france
hongera zao
Clouds
Frank Kanenepa Sanaa
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
Bongo juwa kali bhana
Lucy komba pia
Snoop Lee yupe Germany.
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
Jamani frenk namkumbuka sn
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
Miki j naepia sema yeye yuko canada
Diana kimaro pia
Izobisness
Rey C 🎉
ua-cam.com/play/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X.html&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
Ata mm sipo bongo tena
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
Solofing hujamutaja
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
Njaaa 😂😂😂😂😂
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
Vijana wanakimbia life gumu bongo
Njaaa ni nyingii bongo
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
Kwenu kwenu homeboy
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
Ni marekani bro
Angel Benard naye yupo marekani texas
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
Thank you
Ushirikina mwingi
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
😅😅
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
✌️✌️
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme
Chiv hanson
balozi
jd yusuf
solothang
chindo man
rah p
machozi
yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
Nikitoboa lazima nihame Bongo
Kuna balozi dola soul ,
Wapi sofia kanumba na jamila?
Maskini frenk tunakumiss
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
Kumbe ma beste hayupo bongo
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
😁
Frank wetu jaman ndy maana simuon
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
Sollo thang
Good
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
Shukrani
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
@@masoudmohamed767 😀😀
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴👨👩👧
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
Frank na mzee magari wapo ILLINOIS
Thanks for the information 🙏🙏🙏
Iowa
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
Huseni machozi
Yupo kwenye previous video
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
Mchongo mkumbwa😅
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
Sawa Elias
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu.
Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu .
Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k
Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
Slaves hameni wote mniache mm huku
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
Yupo kwenye previous video
Kazi gani?
Kazi ipi ?
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
😄😄😄🤣🤣
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂
Solo Thang umemsahau au
Si unawajua lakini!!! They are famous"
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@@Just_a_gal.
Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
Reyc yuko wapi?
Previous video
Roma mkatoliki
Yupo kwenye previous video
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?
Husein yupo kwenye previous video
Tunamiss filam zako wewe namze magali
Izzo business na Abella
King GK. yuko wapi.
Mbn tunasikia Mzee magar kafa
Yuko hai