Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mola akupe kheri ktk kila jema likupasalo kaka ,, pia hongera kwa ujasiri INSHAALLAH, #Ramssaleh
Mbona kazi yako ni nzuri mashaallah unahaja ya kua mwanamziki ,muziki utakuweka mbali na Allah
Nampenda Sana wema jitaidi umuoe apate kutulia awe mama Bora na kuilinda heshima yake nitafurahi ikiwa hivi mungu awatangulie.
Mtanga mwenzangu watching u from Canada...hujasahau ulikotoka...Big up Lil bro
Ukujeje kwetu Dodoma,kuwawezesa ktk vituo vya watoto yatima,kutoa majuzuu ktk madrassa,kutoa Huduma zingine ktk miskiti inshaallah
- Much success man - Remember when we did 'Who To Trust' back in the Hitlab days?
Wow!congrats kweli penye nia hapakosi njia
Wow...!!! Danzak 😘😘
Inshallah Allah akupekila lakher ktk safariyako yamaisha
Dah Asante Wa Kumbukumbu
Nakuona mbali unaupendo moyoni.
Hongera mungu aendelee kukufanikisha malengo
Ni vizuri kukumbuka home
Danzak hapo nyumbani kbs jaman
Mashallaah
Maashallah ubarikiwe❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯
Ukijaaliwa inshaallah tembelea na maramba hali mbaya sn
Safi sana
👍🏼😂
M,mungu atakufanyia wepes inshaallah
MASHA Allah
Mashaallah wakwetu tanga hoooyeee
Mtu kwao
Meedz says you are 🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌
I am the 20th view
Big up brother
Umejua mtu wa kumpenda kwaajili ya WEMA utapendwa na kusapotiwa na wengi kila laheri
m ningekusih usiimbe mtangulie mung fany kaz yako mbon mzur t mung amekuonesh njia kaka
Usiimbe fata dini wewe muoman silazima umbe kazimbaya muziki ssana
Mi nakupenda sanaa lkn na kusihii ndugu yangu kazi ya uimbaji ni sadaka ya moto ambayo utaicha ukifa kwako kwani anachukia kuimba ni vitendo vya kishetan Mungu akuongoze mchumba mtu wa kwetu inshaallah amiin thuma amiin
Mashaallah
Mola akupe kheri ktk kila jema likupasalo kaka ,, pia hongera kwa ujasiri INSHAALLAH, #Ramssaleh
Mbona kazi yako ni nzuri mashaallah unahaja ya kua mwanamziki ,muziki utakuweka mbali na Allah
Nampenda Sana wema jitaidi umuoe apate kutulia awe mama Bora na kuilinda heshima yake nitafurahi ikiwa hivi mungu awatangulie.
Mtanga mwenzangu watching u from Canada...hujasahau ulikotoka...Big up Lil bro
Ukujeje kwetu Dodoma,kuwawezesa ktk vituo vya watoto yatima,kutoa majuzuu ktk madrassa,kutoa Huduma zingine ktk miskiti inshaallah
- Much success man - Remember when we did 'Who To Trust' back in the Hitlab days?
Wow!congrats kweli penye nia hapakosi njia
Wow...!!! Danzak 😘😘
Inshallah Allah akupekila lakher ktk safariyako yamaisha
Dah Asante Wa Kumbukumbu
Nakuona mbali unaupendo moyoni.
Hongera mungu aendelee kukufanikisha malengo
Ni vizuri kukumbuka home
Danzak hapo nyumbani kbs jaman
Mashallaah
Maashallah ubarikiwe❤️❤️❤️❤️💯💯💯💯
Ukijaaliwa inshaallah tembelea na maramba hali mbaya sn
Safi sana
👍🏼😂
M,mungu atakufanyia wepes inshaallah
MASHA Allah
Mashaallah wakwetu tanga hoooyeee
Mtu kwao
Meedz says you are 🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌
I am the 20th view
Big up brother
Umejua mtu wa kumpenda kwaajili ya WEMA utapendwa na kusapotiwa na wengi kila laheri
m ningekusih usiimbe mtangulie mung fany kaz yako mbon mzur t mung amekuonesh njia kaka
Usiimbe fata dini wewe muoman silazima umbe kazimbaya muziki ssana
Mi nakupenda sanaa lkn na kusihii ndugu yangu kazi ya uimbaji ni sadaka ya moto ambayo utaicha ukifa kwako kwani anachukia kuimba ni vitendo vya kishetan
Mungu akuongoze mchumba mtu wa kwetu inshaallah amiin thuma amiin
Mashaallah