@@mwasamiladldm7557 Mbona unatufokea? Mbona unaparamia hivyo? Hakuna unafki popote, ni kweli hiyo sio afya ya brother Dudu! Inaonekana kuna jambo linalomtafuna moyoni na akilini, ndio maana Fety Mchina, amekataa lawama na kumweka mwamba huyo mikononi mwa Mungu, kwani hapo ndio kuna usalama na utakaso timilifu. Acha kuhukumu na kulaumu wengine bwan Mwasamila!
Yaaan mtangazaji hujui unafanya mahojiano na dudu baya kichwa sana...hembu andika point muhimu Kwanza kabda hujamuuliza, maana naona huna hata hoja zaidi yakutaka tu kupata views.
Acha kujifahalisha dudu usaidiwe unaonyesha kabisa hapo ulipo huna ata wallet ya elfu 50🤣🤣🤣🤣 shuka mzee watu wakupige tafu ustar sio ukuvimbishe wakat una njaaa ona umekondeana mpaka suluwali yakushuka
Nampenda sana dudu kwa sababu mwema kwel
Unamfahamu vyema ......huyu mtu
Kakonda sababu yajela
Bahari yenyewe inajaa na kupungua iwe Konk Konk!YESU Anaokoa jamani Tuokoke vijana
Kukonda ajakonda bali nywele zimemnyonya mwili... Nywele zinakula vitamini sana
Kweli
Ameisha
Inasikitisha wanaume kusema mwanaume kakonda wakati maisha yanaeleweka Duniani hapa ni kupanda na kushuka
true
Respect🤝
Kweli man fighter ananaelewa iyooo kitu
Uko sawa
Mpaka anatembea anashiikilia suruali duh
Sasa hii nyumba lodge hehehehe dah mwana huyu anapotea kbs hapo alipo uhakika ht elf20 hana
Napenda sana pale akicheka na kugonga
Kaka umepungua sana kama nimatatizo Mungu akusaidie kama nipombe acha kaka🙏
Maisha ni kupanda Na Kushuka Autopanda Milele So Ni Kwa mda tu Kwa Sababu ni mtafutaji kupungua Kawaida
@@allykazoa8324 yah!Mungu amfanyie wepesi🙏
Fety China,
Wewe ni mtu mwema sana! Asante kwa kubariki wengine
@@sirialemmy37 🙏🙏❤
@@mwasamiladldm7557
Mbona unatufokea?
Mbona unaparamia hivyo?
Hakuna unafki popote, ni kweli hiyo sio afya ya brother Dudu! Inaonekana kuna jambo linalomtafuna moyoni na akilini, ndio maana Fety Mchina, amekataa lawama na kumweka mwamba huyo mikononi mwa Mungu, kwani hapo ndio kuna usalama na utakaso timilifu.
Acha kuhukumu na kulaumu wengine bwan Mwasamila!
Sasa hapo ndio safii,,,umekuwa DuDU BayAa kweRii KweRii!!!
😂😂😂😂😂
Mbona mchafu na kakonda ile mbaya!😁😁😁
Hayo ndo maisha humu duniani kupanda na kushuka
MIND YOUR OWN BUSINESS KOMAA AKILI BADALA YA KUKOMAA MWILI.
we agwulubi sjui ndurubi
POST PICHA ZAKO TUKUONE ULIVYONENEPA ALAFU MSAFI Ku"MA WEWE
@@nassjog990youtube6 kuma Ya baba yako! Msenge mwenzio ,Mimi naishi Atlanta
@@johnmichaellukindo21 😂🤣😂🤣 labda ndotoni kuma kibuyu wewe!
Dudu baya sikupingi unaelewa ishi bro UTATU ###
Duuu ametokea kwenye tundu la sindano kweli kakonda sana
Maneno ya kike hayo kukonda sio ugojwa
Umevaaa t-shirt kuwa Ili tusigunduwi..tunaona hâta ungevaa coti kubwa
We badala ya uandishi ungekuwa mchezaji mpira miguu yako imekaa vizuri sana
Umeona ee
Watu mnachunguza kweli...niljua nimeona peke angu kumbe video nyeupe
Yaaan mtangazaji hujui unafanya mahojiano na dudu baya kichwa sana...hembu andika point muhimu Kwanza kabda hujamuuliza, maana naona huna hata hoja zaidi yakutaka tu kupata views.
Kakonda kinoma
We hujawah kukonda?? Mbn kawaida kupanda na kushuka kaka??
Koki naona kma kapata wehu
Kwa akili zake yeye bado ni msaniinmkubwa mfalme na tajiri mkubwa but kwa ground anahitaji usaidizi kinoma
Anasema hawez kufa hata siku Mmoja, Allah amsamehe
Kila nafc itauonja umaut
Hiyo kauli ni ya kijahili walliitumia ma firauni. Tumwombe Allah Amsmehe na Atujaalie mwisho mwema
Jamani koki
Tutafutieni basi na Pierre mama na kufa 😅😅 nae kitambo hasikiki
The man of true the g o at kony kony master
Iyo t-shirt imeandikwa MAYEMU yaan bangi au😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Aayeeeeee. Konk. konk . Konk master
🤣🤣🤣🤣MAYHEM JAMANII KAMA HAMJUIWI MAAANA YAKEE NI MABANGI UYUUU JAMAAA KUNA SHIDAAA
Mayhem ni movie ya kitambo sana ya kivita
Daresalama kwani kuna madini, Kwani c kuna Malaya tu"Dudu ww
Mwime madini yapo mimi nipo apa saiv kuna gora zinauza azam hadi mil100
@@jumaabdu7054 Huwa unajihusisha na biashara ya madini mkuu?
@@Joe-tr2vk yaap ndio shughuru yangu
Mwime iko wilaya gani
mamba kawa kichaa huyu atakua alikula fisi mtoni du anaelekea kua mjusi ss
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
acheni tu jmni konk konk master napnda nikweli msemaji ukweli jpo hpo kweny migod katupig 😂😂😁😁 ila maongez yk nayaelew saaanaaaa .marehem Mzee wangu alikua anaepend saan
Sasa sio KOMKI,,ni gorila mzee👁️👁️
Daa Cong kaisha
Dudu haumwi wala hajaathirika ila kaathirika kisaikolojia,,huyu jamaa ni mtu poa xema wengi hawamuelew
Dah! Hayupo sawa, nadhani ndio maana wengi wanaamua kuwa chawa
Konki master for really👊👊
Huyu jamaa anaonekana hayupo sw kiafya,,,,,anajifirce had kutembea
In short dudu hana nyumba
Ila waandishi wa michongo mpo wengi
Dudubaya kachoka Brother sio Muda tutachanga kama hatabadilika
Dudu baya anakaa Lodge Sinza acheni uongo 😅😅😅😅
Mi mwenyew namkutaga huko huko Sinza kijiweni😂
Mzee wa konyagii
Dudu baya ukapmwe afya mbona amezofika sana
Apewe lish
Kweli nilhsi jembe alipo tena Duniani huyo jamaa namkubali sana
Maskin dudu baya mbona umepungua sana jamani!!
Kweli maisha yamembadilisha mpaka amepungua pole broo Mungu akusaidie
Dudu kalime
Good
Jamaa amejenga kweli
Dudu baya anadata nyingi hadi anaonekana kadata
Uyu ni dudubaya ? Mbona kakonda kiasi?
Madawa ya kulenyva
Kukonda nikawaida sana katika maisha
Wanyama nao wanaish wanakonda
Dudu baya
Msema kweli kama mm
Dudu baya Ni mkongwe
Oiri chafu
mshamba uyo
Ila huo mgodi wa Mwatulole sasa😁😁😁!
Mmmmh🙆
jela sio pazuri, mzee kuwa makini watakuteza
Kweli kabsaaa
Kanda ya ziwa unavoiongelea utafikir sio Tanzania hii
Apunguze pombe😢😢
Wana Habari mlisomea wap kufika nakuanza interview utangulizi noo mh tunawazidi uelewa
Kashapiga vitu da maskini
Kakonda maskin dah
Mmmm dudubaya;,mama anita wa maganzo kakuunguz mkuuu!
Ucseme hvo jinyoshee kidole mwenyew
Dah kweli kaisha Yani kabaki kichwa tu
Hapo bar hao wahudumu wanaish hapo na dudubaya
Wewe uwe unaongeakwa sauti
Mamba oil chafu konk master💪💪💪mala 3 😂
Aisee jamaa amekonda sana, mpaka suruali anaishikilia akitembea ina dodondoka
Kwani alishawahi kua mnene? Halafu kunenepa sio maisha mazuri, ni kushindilia maugali na wali
Kimuonekano kabisa nyumba kaazima kushuti interview
We mjinga ha
Mbona ni nje
Kweli umekoa rasta maana sio kukonda uko
Kwake au anaishi
Imenibid nicheke Bure et dsm hakuna madin Kuna Malaya tuu
Media siku hizi ni za mchongo sana mmekaa kimchongo mchongo tu
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
tz watu wa dini sielewi vile stars wao hupotea.sad
Vijana tuwache mihadarati
This guy needs help😢
Du..guo..inaguka..nitakubaia..mishibi..
Mfalme wap bhana
Kakola my home
Kakola mgodin au
Konki umeyayuka kweli domo limekushuka kweli umeponea chupuchupu bro
Mwee mbona anatisha alikuwa wapi
Nipe ukweli jamani Mimi Niko Dubai but kama mwime Kuma madini tuanboane jamani
Dubai tena mzee,,,, mi nipo mwime
@@kasabukuanthony6208 hapo mwime napajuwa bro kwasasa naishi huku Dubai ila home nihapo kahama nyansubi
@@brunoyusuph8469 oooh okay mi naishi nyahanga hapa Mwime huwa naenda harakati
@@kasabukuanthony6208 okay na hapo mwime mgodini ninamatafiki wengi niliokuwa nafanya nao kazi zamani
Hi namwamnia dudu baya,Jamani naweza pata namba ya simu ya dudu baya?jamana naiomba namba yake.
Mwanamke ndo wakuulizwa vp mbona umekonda,lkn sio mwanaume, wanaume tunayopitia Leo mtu akuulize mbona umekonda ili iwe nn?🤔👉🚮nyie
Kabisa unaanzaje kumwambia mwanaume mwenzio amekonda
anachekesha dudu
Au walimla kiboka🤔
👹👹👹👹👹👹👹
Poor introduction mwandishi hasemi yuko wilaya au mkoa gani
Siku izi hakuna kota hawatambuliki baada ya kufungua masoko ya madini
Bado wapo. Sasa hapo soko la madini nani ananunua?
Pombe😢😢😢
Kapanga au kajengaa????
Kaomba nyumba ya mtu afanyiwe interview
Kwani Hana nyumba?
Acha izo fikra hta km ameomba unaumia nn au unatoka familia ya kichawi
Mbona unateseka sana 😅😅😅
Konki kwa hali yake halisi.
DUDU AMECHANGANYIKIWA ANAFAA KUPELEKWA REHABILITATION CENTRE
Acha kujifahalisha dudu usaidiwe unaonyesha kabisa hapo ulipo huna ata wallet ya elfu 50🤣🤣🤣🤣 shuka mzee watu wakupige tafu ustar sio ukuvimbishe wakat una njaaa ona umekondeana mpaka suluwali yakushuka
😂😂 wana damu noma
Dsm kuna nn?
Eti dar kuna Malaya tu
. Mbona hajachana nywele? Huo ni uchafu
unaufalme up huku ww