Mungu ndomtenda haki akiamua kumchukua anamchukua kwahaki lakini walimwengu hawakutendei haki wala hawakuui kwahaki bali watadhamiria ufe kwa dhulma hivyo nilazima tujilinde dhidi Yao.
Mjomba ukisema hivo basi hata nyumba yako mlango usifunge maana mungu akisema utaibiwa basi utaibiwa hata uweke geti la chuma au sio mjomba ! Safi sana mawazo yako
Ulizi wake wale wote kwa mungu dakka 1 nyingi
Sekunde tu hamna kitu hii inaitwa danganya nafsi tu😅😅😅
Roho ya kimasikini huwaza ujinga kwan nani kaongelea km Mungu hawezi apo
Unaambiwa usome uondeo ujinga kichwani unabisha,Sasa ona unakommenti ujinga
Sio dakika ni sekunde tu
Mungu ndomtenda haki akiamua kumchukua anamchukua kwahaki lakini walimwengu hawakutendei haki wala hawakuui kwahaki bali watadhamiria ufe kwa dhulma hivyo nilazima tujilinde dhidi Yao.
Huyu kwa kuwa anawakandamiza sana Muslims in India hivo hajiamiini kabisa lazima ajiwekee ulinzi sana kwa kuwa anajijua hatendi haki kwa taifa lake
Unauhakika na unachokiongea ndugu yangu ,kumbuka kwenye Kuna watu wenye Imani tofautitofauti
Sidhani Kuma Kuna mtu anechukia dini ya Uislamu ,hata Mimi binafsi sina chiki na dini ya Uislamu
Isipokua miongoni mwenu waislamu ,mjifunze kuisimamia Imani yenu bila kudharau dini nyingine ,mbona kitabu Cha kurani kipo wazi tu ndugu yangu
Hata Mtume aliishi na watu wa Imani tofauti kwa kuheshimiana nao
Kaka waziri Hana baya uyo usilete udini bila sabb
Safi sana
Ni haki maana uandamwa na wengi
Kila nchi inautayari wake kivita utashangaa Sana pale kila nchi ikiamua kuwa tayali kwavita
Na ulinzi wote huo mungu kaamua ni sekunde
sas kwani unadhani ulinzi huo ni kwasababu mungu asiwaome au😂😂
Wakwanza ❤❤❤😂🎉
Hata yeye anawafunga wa wapinzani alafu anajipa mhura mda tena wa kugombea
Ml36 kwa mwaka ndogo sana
Sanaaa
Kwa uchumi wa india hiyo ni pesa nying sana
Made in India
🔥🔥🔥🔥
Tupeleke china
Duuh! hatar
Nchi maskini kinoma alafu anatembelea magari ya kifahari uwongozi uchizi anajijali yenye tu sio wanachi
nan kakwambia india ni nchi maskini upo duniani kweli?? kaangalie uchumi wao umaskni upo na utajiri mkubw upoo hatuwafikii hao jamaaa
pencil tunazotumi shule tu zinatokea india
yaani waziri Mkuu anspewa ulinzi mkubwa zaidi ya uluzi wa Rais
India hatuna rais tunawaziri tu
acheni kukopi nakala za wengine kama zilivyo
Dah nomasana uko Dunian
Hao jamaa wanadaka risasi kwa mkono🤣🤣🤣
Unakuta wananch wanamaisha mabovu ajabu
Urwfu ni mita 500 tena wa maaskari😅😅😅
Atakufa kweli huyuuuu😮😂
Nyiee
Ni noma hawo wa India wa kwanza nipeni lakini....duhh sio poa
UREFU WAO NI MITA MIA NGAPI UMESEMA 🤣🤣
Mia tano😂😂
Sio poa kama rais
India rais hana nguvu ila waziri ndo kila ktu 😊😊
Ujinga tu Mungu akisema utakufa na utakufa tu
Mjomba ukisema hivo basi hata nyumba yako mlango usifunge maana mungu akisema utaibiwa basi utaibiwa hata uweke geti la chuma au sio mjomba ! Safi sana mawazo yako