IREJESHE NGUVU YAKO ULIOZALIWA NAYO | KUFANIKISHA MAMBO YAKO | SHEIKH ABALQAASIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 125

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Рік тому +1

    😢😢😢wallahi niliishi hovyo hadi kutofata hizo kanuni alhamdullillah nguvu zangu za asili zimenipigania na wanangu ila sasa nitasimama imara nizipe nguvu , nguvu zangu za asili

  • @SerinaMasika
    @SerinaMasika 18 годин тому

    Allah shehe akulipe mepo yako kwa masomo mazuri

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 3 роки тому +3

    Allah akubariki sana teacher kwa somo lako undelea kutufundisha 🙏❤️

  • @abubakarially059
    @abubakarially059 Рік тому

    Mashaallah shekhe Allah akuzidishie Kila la kheri

  • @dzombadadon
    @dzombadadon 3 роки тому

    SubhanaAllah,Alhamdhulilah,Allahu Akbar…waa Laa Illaha Ila Allah Wa Muhammadan RasulAllah.

  • @abdallahsabaya3336
    @abdallahsabaya3336 4 роки тому +5

    Maashaallah mada muruwa wallah Allah akustiri shekh

  • @nurunurunuru9480
    @nurunurunuru9480 2 роки тому

    Mashallah tabarakallah

  • @hassanihamisi1969
    @hassanihamisi1969 4 роки тому +2

    Masha'allah

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 роки тому +4

    Mashaallah Shkh jazzakhallahu khayran

  • @twahasticfadumulha7288
    @twahasticfadumulha7288 3 роки тому

    Asalam Aleikum Warahimatullah Wa Barakatu Yah Sheikh kwa siku ya leo nili pate mafunzo mazuri sana kabisha munye azimungu subuhanahu wata Alaah azidishe Asant

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 4 роки тому +3

    Shukran sanaa mwenyezi mungu awabariki kwa ufafanuzi wa kina, masomo kama hayaa ni muhimu sanaa kwetu tunaomba mwendelezo wa masomo hayaa

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 4 роки тому +5

    Masha Allah sheikh Abalqassim Astonishing lecture/topic lnsha Allah give you long life and happiness,healthy life Ameen yarab

  • @biashasuleimanabdalla481
    @biashasuleimanabdalla481 3 роки тому

    Namshukuru Allahu a akuzidishie maarifa zaidi ya hayo. Amin.

  • @rizikisebe890
    @rizikisebe890 4 роки тому +3

    Mashaallah shukran sheikh

  • @sabrisaleh1720
    @sabrisaleh1720 4 роки тому +2

    Shukran sheikh

  • @doyohuqa9467
    @doyohuqa9467 4 роки тому +3

    MashaAllah sheikh Abal,somo nzuri kabisa

  • @gracealex9020
    @gracealex9020 4 роки тому +1

    Asante sana

  • @nurushukrannitajaribukitun2876
    @nurushukrannitajaribukitun2876 4 роки тому +1

    MashaaAallah shukran Ustadh sasa ukienda hayo mafuta ukiyataka unayaita mafuta ngani ndio nikanunue mm niko kenya jee yamefika kwetu au bado nayanaitwaje

  • @abalmuhsinkassimonlinetv7997
    @abalmuhsinkassimonlinetv7997 4 роки тому

    Jazakallahu khair maalim

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 4 роки тому

    ALLAHU AKBAR
    Shukran jaziylan
    Baaraka Allahu fiyka

  • @saumujuma6172
    @saumujuma6172 4 роки тому

    Shukran san

  • @mraj4586
    @mraj4586 4 роки тому +4

    Rudia katika sura ya 96 surat al alaq MWENYEZIMUNGU ANASEMA
    اقْرَأْ وَرَبُّكَ الْأَكْرَمُ ﴿٣﴾
    3. Soma na Rabb wako ni Mkarimu kushinda wote.
    الَّذِي عَلَّمَ بِالْقَلَمِ ﴿٤﴾
    4. Ambaye Aliyefunza kwa kalamu.
    عَلَّمَ الْإِنسَانَ مَا لَمْ يَعْلَمْ ﴿٥﴾
    5. Amemfunza mwana Aadam ambayo asiyoyajua.
    كَلَّا إِنَّ الْإِنسَانَ لَيَطْغَىٰ ﴿٦﴾
    6. Laa hasha! Hakika mwana Aadam bila shaka amepindukia mipaka kuasi.

  • @eidyathman3228
    @eidyathman3228 4 роки тому +2

    No ya simu sheikh shukran kwa darsa

  • @husseynali1051
    @husseynali1051 3 роки тому

    Nimekufaham vzur na nimekuelewa vzr saana ila shekh wanga nahitaji mamba yko

  • @fabianoezekiel2593
    @fabianoezekiel2593 4 роки тому

    Habari shee

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 роки тому

    Mashaa ALLAH Ustadhi niko kenya nitaipata kwa no yako In Shaa Allah

  • @salumothman7548
    @salumothman7548 4 роки тому +1

    Shukrani sheikh wangu kwa darasa

    • @shekhakhamis6586
      @shekhakhamis6586 4 роки тому

      Shukran sana sheikh Allah akujaze kheir nyingi.hayo mafuta ya anabatimunawar yanapatikana wapi

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 4 роки тому +1

    Masha allah nimependa sana maelekezo yako mola akulindei

  • @onesmokileva4543
    @onesmokileva4543 3 роки тому

    Naomba unisaidie nimekuwa Kila ninacho fanya sijiamini nisaidie

  • @hafsawelldonemaashaallahab6219
    @hafsawelldonemaashaallahab6219 4 роки тому +2

    Allah akubarik

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 4 роки тому +2

    Mashaallah

  • @mwesigwaabdurahim8590
    @mwesigwaabdurahim8590 4 роки тому

    Inshallah

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 4 роки тому

    Amfundisha mpaka mtoto kutembea yani hi media sasa ya salaam

  • @mwanaidishibe9275
    @mwanaidishibe9275 4 роки тому +1

    Ma sha Allah..sasa iyo dawa wanywa ama wafanyaje..naikiwa niyakunywa ni mara ngapi na kwa siku ngapi

  • @mariamomari4521
    @mariamomari4521 3 роки тому

    Mashaallah mfumbo nini usitdh

  • @tamnamohammed7874
    @tamnamohammed7874 4 роки тому +1

    Ikiwa ukimwi ni upungufu wa natural power inakuaje inaambukizwa kwanjia ya uzinifu na nyengine

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 4 роки тому +1

    Shukuran mno kiongozi

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 4 роки тому +2

    Tofauti kabisa na wengine hongera

  • @abckke6555
    @abckke6555 4 роки тому

    Subuhnallah

  • @mamamather4227
    @mamamather4227 3 роки тому

    Watu wote wameangamia ispokuwa wenye elimu na wenye elimu wote wameangamia ispokuwa wenye kutenda na wenye kutenda wameangamia ispokuwa wenye ikhlasw.Allah twaomba utuongoze na utufishe tukiwa wachamungu.naomba usamehe huyu sheikh na sis pia tuwezeshe kumwiga mtume Muhammad rehema na amani zimfikie na maswahaba zake .kwani aliyesalimika ni Yule uliyemsalimisha kutoka na mitihan yako.tusipofuata Quran Na suna kivitendo basi hakuna baada ya ukwel Ila ni upotofu hata ukipewa na jina zuri .

  • @othmanbakari2675
    @othmanbakari2675 4 роки тому +6

    Waganga waongezeka

  • @musasaidi3854
    @musasaidi3854 4 роки тому

    usitaazi naoma nambazako

  • @islamali9683
    @islamali9683 3 роки тому

    Izo dawa zinapatikana wapi upande wa Mombasa je naweza zipata

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 4 роки тому +1

    Aswww Sheikh pls pls mimi naishi Inchi ya kigeni nambiye vip naweza kuipata.

  • @mremmrem6754
    @mremmrem6754 4 роки тому +1

    Nitakutafuta nikirudi tz inshaallah

  • @aminanzamukosha1264
    @aminanzamukosha1264 4 роки тому

    Ivi naweza gupata kivipi iyo dawa nitumie mimi Mutoto wangu akienda kwenye siku zake anamariza wiki yote natumbo ikamuwuma sana mimi niko Australia nimie please

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 4 роки тому

    Wanasema nabii adam alifanya dhambi kula tunda basi binadam wote wanazaliwa na dhambi ya asili ndo huyu shee
    nguvu yaasili

  • @rashidsleman5545
    @rashidsleman5545 4 роки тому +1

    Basi sisi tumefundishwa sio jini bali kila binadamu Ana malaika wawili mmoja kulia na mwengine kushoto

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 4 роки тому

    Yani ALLAH ataihifadhi dini yake
    Mana tunapokwenda
    Masheikh kanzu ati karinu ndo afanya kazi zote

  • @alimzee
    @alimzee 3 роки тому

    Naam Shekh bei yake please

  • @zuhuraadinani8819
    @zuhuraadinani8819 4 роки тому +1

    masha Allah mtoto mzur Allah akupeam yakunisalimia japo kwa sms

  • @aishaabdullah233
    @aishaabdullah233 4 роки тому +3

    Masha Allah ustadhi karibu kwenye UA-cam cos sijawahi kukuona lkn nimependa sana Allah akuhifadhi na uzidi kutuelemisha . Lkn haya mafuta ya bint Sudan ndio mafuta gain?

  • @noxolomthembu1726
    @noxolomthembu1726 4 роки тому

    Tunaomba shehe utufundishe. Zaidi

  • @ashurar2721
    @ashurar2721 4 роки тому +2

    Balaka llahu fiki

  • @abubakarhassan1915
    @abubakarhassan1915 4 роки тому +1

    Huyu yuko kishirikina sio kwa allah hawa ndo wanasababisha uislama unaonekana kama dini ya majini

    • @seifchembela4346
      @seifchembela4346 4 роки тому +1

      Kwani mungu kaumba viumbe vingapi ili viabudu

  • @shimbo0146
    @shimbo0146 4 роки тому +1

    Utamkweza.shekhewako.aluywi.dini.hajafundishamambohayo.maalimu.juma.amesoma.zaidiyako.lakini.katulia.achanjaa.angalia.darasa.za.izudinmtoto.washekhe.alafalinganisha.nahicho.unachofanya.kuamakini.

  • @badimfangavo8354
    @badimfangavo8354 4 роки тому +1

    No yako sheikh

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 4 роки тому +1

    Asalaam aleykum warahmaturah wabarakatu, samahani sheikh hiyo dawa ya nguvu za asili inatibu na matatizo mengine kama madonda ya tumbo?

  • @sayedsimba7388
    @sayedsimba7388 4 роки тому +2

    Yani ww acha kupotosha watu .. mungu Amweke jini akulinde 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😋😁😁😁

    • @mustaphawaziri5446
      @mustaphawaziri5446 4 роки тому +1

      Sayed Simba ludia tena iyo crip acha undez, kichwa box

    • @sayedsimba7388
      @sayedsimba7388 4 роки тому +1

      @@mustaphawaziri5446 kichwa boxes ni ww hebu rudiya ww usikiye .. wanafiki wakubwa mshazoweya uchaiw ..

    • @mustaphawaziri5446
      @mustaphawaziri5446 4 роки тому +1

      Sayed Simba kichwa kibovu ww, iyo mada inatolewa kwenye watu wenye ilmu kuliko ww bwege we

    • @sayedsimba7388
      @sayedsimba7388 4 роки тому +1

      @@mustaphawaziri5446 bwege ni ww hebu rudiya kusikiliza tena .. we zumburukuku

  • @aymanshaka2556
    @aymanshaka2556 4 роки тому +2

    Dawa hii natumia ndan ya siku ngapi

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps 4 роки тому +1

    Qaron ni jini amnalo kila binaadam anakuwa naye

  • @IndorameJafety
    @IndorameJafety Рік тому

    Ni mekufata uchauri wako cheh

  • @jumaabayo8617
    @jumaabayo8617 4 роки тому

    Dawa zapatikana vipi

  • @robaroba1061
    @robaroba1061 4 роки тому

    Shekih niko Kenya nitapata namna gani

  • @MHJuma
    @MHJuma 4 роки тому +4

    Sie tulioko Kenya twataka hizo dawa pia. Mfanye harakati zitufikie Mombasa , Kenya.

  • @shimbo0146
    @shimbo0146 4 роки тому +3

    Aliy.hayombounayoyaongea.hebu.toa.ushahidi.mtume.sw.alifanya.au.maswahaba.wake.walifanya.hivyo.dinihii.sioyamtu.

  • @fatwimatzahrau2327
    @fatwimatzahrau2327 4 роки тому

    Hawa ndo wale dhambi za asili

  • @abdinasirali3460
    @abdinasirali3460 4 роки тому

    ما شا ء ا لله محا ضر ه قيم مهم جد ا لحيا ة ا لا نسا ن . من ا ين هد ا ا لشيخ يعني من ا ي و طن عا يش ا لشيخ

    • @MbarakAddi
      @MbarakAddi 9 місяців тому

      East Africa Tanzania

  • @ishoboylecture
    @ishoboylecture 3 роки тому

    Million tatu shekh kweli km ni milion tatu au ndio kutupanga tu.. shahawa ya mwanaume na mwanamke zikukutana ndio huundwa pande la nyama ndani ya siku 40 hakuna milion pale wee tupange umu tu

  • @thebright686
    @thebright686 4 роки тому +1

    Nani katekeleza anayo yasema huu shekh ??

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 4 роки тому +1

    Hizo dawa kenya nitazipata vipi

  • @saidnassorsuleiman.nassor1267
    @saidnassorsuleiman.nassor1267 4 роки тому +1

    Assalam aleykum shekhe hiyo dawa unauzaje?

  • @luuladam7916
    @luuladam7916 2 роки тому

    Mmm nawachukia sana juu nimeona wazee wanatoa mboro yao na wajifanya wana nguvu wachaawi sana mm sitaki wale waojifanya ma shekhe yacni religious na ni secret magicians MONSTER s ..na ni waasharitii sana na ni ya kushangaza ni wazee wamekula chumvi nyingi!! Heeeh?? Mungu aa waangamizee sanaaaa ee wachawi wanaotumia ASMAUL HUSNAA NA QUR'AN NII EEEEEE MTAONAAAA

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 4 роки тому +2

    Unazipataje hizo dawa kwa waliomikoani?

  • @mchofuomuwingajini2786
    @mchofuomuwingajini2786 4 роки тому +2

    Huyu ndo pumba kabisa Tena ni mtu wa shirki kabisa ndugu yangu mche mungu acha kudanganya watu

    • @issahashim9028
      @issahashim9028 4 роки тому +1

      Asalam aleikum una ushahid kwa hayo unayoyasema

    • @murshidibrahm8981
      @murshidibrahm8981 4 роки тому

      Huyu mshirikina.karinu.mungu kakosa maraika?

  • @kulthummounir4522
    @kulthummounir4522 4 роки тому +1

    Takutafta nikirud tz ili kununua hivo vitu

  • @mraj4586
    @mraj4586 4 роки тому +5

    Sasa apo wewe unapo sema kuhusu qarinu sisi hatukuelewi kabisa rudi tena dara sani

  • @answarabdulali6283
    @answarabdulali6283 4 роки тому +1

    Sheikh tumemiss ukipendwa na jini jiandae na haya..78 kma sijakosea

  • @ruqayangala4563
    @ruqayangala4563 4 роки тому +1

    Na je mtu ukiwa ushapatwa tayari na virusi vya ukimwi ukisoma hizo je unaweza kupona kabisa paka usiwe unatumia dawatena??

  • @husseinkisaka7440
    @husseinkisaka7440 4 роки тому

    Namba zako jazipo hewani

  • @sayedsimba7388
    @sayedsimba7388 4 роки тому +3

    Astagafiru Allah... we ni bure kabisa jini akulinde alafu utumiya aya ya Qur'an ikulide 😪😪😪😢😢😢😢 stop stop ...

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 4 роки тому +1

      Niulize aya za qur an zinamtaja nani. Pale zote ni dua ikiwemo hata surah fatha ilaeleza nini

    • @murshidibrahm8981
      @murshidibrahm8981 4 роки тому +2

      Hahahah.kwanza mpaka jin anakulinda yy kakosa kazi? Wakat Allah anasem innashaitwa aduwu hakika sheitwan ni adui basi nanyi mfanyen adui..Leo hii jin akulinde??.ukiona hivyo ujuwe ww unakasoro.jin sheitwan haji kwa mcha mungu

    • @mujibumsigit2741
      @mujibumsigit2741 4 роки тому +1

      Mh

    • @omarrharoun7563
      @omarrharoun7563 4 роки тому

      Mmh

    • @bbuberbubery6598
      @bbuberbubery6598 3 роки тому

      Sheikh mbona whatsaap hujibu txt zangu nina shidaaa

  • @khadijamohd7496
    @khadijamohd7496 4 роки тому +3

    Hayo mafuta sheh yanapatikana wapi

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 3 роки тому

    Sasa mbn jini na sio malaaika

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 роки тому +2

    Kwa nini nyie mashekhe munapenda kukuza mambo mana sio lazima kusoma mara mia tatu au munataka watu washindwe mana nying hizo . Japo tatu to kusoma kwa nia inatosha .

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 4 роки тому +5

    Hivi ni kweli jinni anafanya kazi zote hizo kwa mwanadamu? Allah kweli amekosa malaika wa kuwatuma mpk amtume jinni? Sheh tusaidie dalili kwa Quran na sunna nasi tujifunze zaidi maana ndio leo nasikia haya. Kanzu yako ina picha ya moto, no ishara ya nini hyo sheh?

    • @myself4128
      @myself4128 4 роки тому +1

      Weee umepotea...allah anashirikiana na majini na bado unadhania atatuma malaika???? Lini umeona Aya kuwa Hakuwaumba malaika na wanadamu ila wamuabudu?? Ni majini na watu sasa endelea kupotea

    • @kulthummounir4522
      @kulthummounir4522 4 роки тому

      Mkandarac Mkandarac na tumewaumba malaika na majin ili wamuabdu ukinakizia hapo utapta jibu

    • @murshidibrahm8981
      @murshidibrahm8981 4 роки тому

      Hahaha..huyu mpotoshaji.Allah atamuadhibu..sheitwan tuwe na RAFIKI nae??

  • @kassimali2947
    @kassimali2947 4 роки тому +1

    Tuzie uliotengeneza wewe bora

  • @myself4128
    @myself4128 4 роки тому +2

    Ukisoma sana quraan unakuwa aidha mshirikina au mganga

    • @anwaryabdallah2982
      @anwaryabdallah2982 4 роки тому +1

      Sio kweli

    • @tanitani3387
      @tanitani3387 4 роки тому +4

      Umepotea wewe.
      Akili za kuambiwa kanisani zimekupoteza, soma wewe.
      Acha kuambiwa Yesu ni Mungu hapo hapo pia ni Mwana wa Mungu, Pumbaa wewe.

    • @murshidibrahm8981
      @murshidibrahm8981 4 роки тому +1

      Allah anasema innashaitwa aduwu.hakika sheitwan ni adui nanyi mfanyen adui.Leo hii huyu anatwambia jin.wapi katoa haya mambo..hakika ni ushirikina

    • @abasmzeebabamiminakukubals3230
      @abasmzeebabamiminakukubals3230 4 роки тому +2

      Ww mjinga usiitukane Quran ,, mtukane huyo shekhe kama inawezekana acha upumbavu naujinga wako wakumuabudu nabii wa Allah ,,, ww umeumbwa umuabudu Allah au kiumbe amakweli wakristo wote mumezaliwa Bola akili. Wote zero na hao mapaster wenu chiiiiiii

    • @jiddahadam578
      @jiddahadam578 4 роки тому +1

      Kwakweli mm siti neno kwa sababu sin uwezo wakujua undani wake Allah mwenyewe t Ila sinta kashfu mtu madm mungu kampa uwezo wake

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 роки тому

    Du karinu tena

  • @SerinaMasika
    @SerinaMasika 18 годин тому

    Allah shehe akulipe mepo yako kwa masomo mazuri

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 4 роки тому +1

    Asalaam aleykum warahmaturah wabarakatu, samahani sheikh hiyo dawa ya nguvu za asili inatibu na matatizo mengine kama madonda ya tumbo?