*Unapata dhambi kwa Kuchelewesha Swala* Na unakosa Fadhila za Kuswali kwa jamaa na kwa wakati wake. ILA KAZI HIYO HAIKUFAI KWANI INAKUPELEKEA PABAYA..........
Pia Mimi huwa hiyo hali yanifikia na sikupenda kwangu yaani najitahizi kwenye swala zangu nizitimize bila ya kufikiria chochote lakin sijui tatizo liwapia,,,Allah atuondolee in shall ah🤲🤲
Al hamdulillahi rabbil al aalamiin
Mashallah shekh Asante sanaaaa kwa mafundisho yko
Mwenye zimungu atusamehe
Daah jamn tusiache swala
Assalamu aeykumu jeeh kwa mfano mtu ajawai kuswali toka kuzaliwa yafaa kuziswali kuajili kuzilipa au aifai
Kama hujawahi kuswali,huwezi kulipa kinachotakiwa uanze kuswali hapo ulipozinduka,hujachelewa anza
Shukran sana sheikh
Salaam. Je kama sijaswali alasiri na maghribiimefika nitangulie kulipa au nisali Maghreb then nilipe?
Mm nashida
Nitafute watsap 0777799359
Jibu maswali watu wanataka kujua kwenyeshida binafsi ndoumeona utowe namba😂😂
Nakuomba nisaidie
Nitafute watsap 0777799359
sheikh mm Niko saudia lkn huwa na pitwa na swala sababu ya kazi nyingi je naeza pata dhambi
Huwa unapata muda wa kwenda kula au kwenda msalani?
*Unapata dhambi kwa Kuchelewesha Swala*
Na unakosa Fadhila za Kuswali kwa jamaa na kwa wakati wake.
ILA KAZI HIYO HAIKUFAI KWANI INAKUPELEKEA PABAYA..........
Je swala zillizonipita zamani nazo ni nyingi kwa ujinga je nizilipe vipi au hizi hazipwi tena?
Je kama unamawazo yakupitiza kana kwamba ukiswali yale mawazo yanakuja katika swala
Yaaani mawazo ni mtihani wallah Allah atunusuru na atusamehe
Pia Mimi huwa hiyo hali yanifikia na sikupenda kwangu yaani najitahizi kwenye swala zangu nizitimize bila ya kufikiria chochote lakin sijui tatizo liwapia,,,Allah atuondolee in shall ah🤲🤲
Kama mimi jamani naletewaga mpaka picha zamabwanawangu wazani ndani yaswala mpakanakunjauso kwahasila ndonini Sasa jamani