Maashallah me naona waislam tutakua tumefanya jambo la maana sana tuki like na kushare kwa sana hii video waislam wapate Elimu, sahihi ya uislam Insha'Allah
Sawa kabsaa shekh Watu weng hawajui waraabı huku pia ni wachaw wagabga na hutumia vitabu sas vitabu vyao c vyakıarqbu watu hujua Quran😂😂😂😂 kweli Lazima tusome
wewe mwehu Wacha kuheukwa huo sio uchawi pole sana uliza watu hizo alama sio uchawi wewe umjinga tafuta elimu ya hizo alama Wacha kuzuzua watu soma ujue usipumbazika
Allah akuzisishie elim ya manufaa na matendo yenye kukubalika na mwisho mwema Allahuma amiiin
Maashallah me naona waislam tutakua tumefanya jambo la maana sana tuki like na kushare kwa sana hii video waislam wapate Elimu, sahihi ya uislam Insha'Allah
Allah akulipe khery Sheikh Abuu Mussa
Shukran sana sheikh wetu
Allah atulinde na ushirikina na bidah
Baarakallahu fiyka. Allah akuhifadhi sheikh wetu
Akina Dr SULLE ni wachawi waziwazi,, waisilamu wameanza kuwajua sasa.
sheikh abuu mussa anapatikana wap
Anapatikana tabora
Utawaona wachawi humu kwenye komenti wakipigwa spana mapovu yanavyo watoka Allah akuongozeni wachawi
Wachawi wa islahi
Sawa kabsaa shekh
Watu weng hawajui
waraabı huku pia ni wachaw wagabga na hutumia vitabu
sas vitabu vyao c vyakıarqbu
watu hujua Quran😂😂😂😂
kweli Lazima tusome
Uchawi upo
Dr shule na amali yake
Ww chizi uwo ni uchawi mwanga wee
Mbona kina shaafi hukuwaita mawahabi wala kuwaambia wamemtia motoni na wao ndio walioanza kumradi mwanzo ?
Acha kutetea ujinga
Shaafi anapinga ujinga wa sulle, wewe vipi!!
hivo tayari mushamtia motoni nyinyi tu ndio watu wa peponi mbona mawahabi hamwishi visa
Akifa kwenye huo msimamo kwa mujibu ya Quran Allah husamehe dhambi zote isipo kuwa ushirikina akifa kwenye ushirikina moto ndo itakuwa makao yake
Ww bichwa lako ni sawa na bakuli la maji unawatetea wachawi?!
Pumbavu zako we
wewe mwehu Wacha kuheukwa huo sio uchawi pole sana uliza watu hizo alama sio uchawi wewe umjinga tafuta elimu ya hizo alama Wacha kuzuzua watu soma ujue usipumbazika
في النار
Wewe na sule ni watu wamoja
Zipo kwenye qur'an hizo alama?
@@RamadanPaulduuu kumbe quran ni uchawi😮😮😮😮