Sababu ya vijana wa kisasa kuwa hawaelewi kuhusu mambo ya uendeshaji wa familia ni kule watu wengi waneteleza na kuacha kufuata mafundisho ya Mtume. Hata kungwi wengi hawakusoma vyema Dini kwa kuwa walikuwa ni vijana juzi juzi sasa wameshaolewa wamjua maisha ya ndoa yanahitaji kuwa subira na pia maarifa ya utekelezaji wa majukumu ya kuboresha mambo ya ndoa. Wasichana wakifunzwa na kungwi je vijana wa kiume hufunzwa na nani? Ndio wengi hujifunza vijiweni ambako kila ajae ana yake.
Mungu atatufanyia wepes lnshaallah
Watanga. Tujuane kwa like apa
Tupo wa usagara
Tupo wa barabara za namba
Nikiwa dabai msambaa girl
Nikiwa dubai msambaa girl
Mipia nimtanga Niko South Africa
Mashallah Tanga yetu alhamdulillah
Mtu kwao
Umeonaeee
MA.SHAA ALLAH!MON TATY SAIDA.,J'taime.
Sababu ya vijana wa kisasa kuwa hawaelewi kuhusu mambo ya uendeshaji wa familia ni kule watu wengi waneteleza na kuacha kufuata mafundisho ya Mtume. Hata kungwi wengi hawakusoma vyema Dini kwa kuwa walikuwa ni vijana juzi juzi sasa wameshaolewa wamjua maisha ya ndoa yanahitaji kuwa subira na pia maarifa ya utekelezaji wa majukumu ya kuboresha mambo ya ndoa. Wasichana wakifunzwa na kungwi je vijana wa kiume hufunzwa na nani? Ndio wengi hujifunza vijiweni ambako kila ajae ana yake.
Naja huko jamani mieeee khaaaa
Tanga laha najivuniya kuzaliwa tanga
😂 wewe utoki Tanga???? Tanga wapi?? Hatusemi laha tunasema raha 🤣🤣
Huyu Dada yuko vizuri agombee nafasi ya juu 2025 iko wazi kwa ajili ya wanawake.
Piga kelele mwana tang
Weeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah mungu awabarik
Shukran my ❤
Huyu Bibi Kama ana binti yake ambae hajaolewa Mimi namtaka naomba munipatie mawasiliano ya huyu mama ili niweze kuwasiliana nae
Nice 👍🏼
Viwanda vya tanga vimeuliwa na uongozi wa ccm mkapa na wenzake wamehusika kuuwa banadali na viwanda lkn mungu nimkubwa Atatufungulia njia tuuu
Hili mbona halina mahusiano na hii video
Wape wape ya Tanga kunani. Halogwi mtu alogeka mwenyewe. Oo wanawake wa Tanga wachawi kumbe wajiloga wenyewe kwa mahaba.
Upoooo
Hatuna uchawi tunajuwa kipenzi alhamdulillah
Bass haya
hii ni kweli kwa ulimwengu wa sasa upate umeandaliwa maji dur hiyo maji labda ni ya kukufanya wewe uwe kuku
Na Sisi mtutaftie hai watanga
Muheshimwa naomba numbar yako
Tanga kuna kabila moja wanapenda kuoana wenyewe kwa wenyewe kikabila ukiyakanya kazi unayo ilo kabila silitaji wanajijua wenyewe
🙄🙄🤔kazi unayo mbona 😆😆kusema useme wewee kisha kabila hulijui 😆😆
Baas haya