Kiswahili,Mswahili na Chimbuko lake. (SEHEMU YA PILI)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 12

  • @AlMakori
    @AlMakori Рік тому +1

    Hoja za Prof. Mohammed Bakari ni nzito na zenye ushawishi mkubwa na hakika haziegemei hisia, dini wala ukabila, rangi nk.
    Ninathamini sana kuwapo kwake na mchango wake wenye kusheheni busara kibao.

  • @AlMakori
    @AlMakori Рік тому

    Asante Prof. Aldin Mutembei kwa maelezo kuhusu maendeleo ya Kiswahili Afrika na kupanuka wigo wake pia

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Рік тому

    Watuweusi
    Walikuepo
    East Africa
    Toka mwanzo wa dunia

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Рік тому

    Mwenyezimngu anawaona

  • @ecolembb
    @ecolembb Рік тому

    Vizuri

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Рік тому

    Mbona anajibu vizur akafu mna acha kumpa mda wakuongea why mnambania au mnamwogopa shekhee abdallaa tifu

  • @AlMakori
    @AlMakori Рік тому

    Sikuzote mie hujifunza mengi kutoka kwa Mwalimu Abdulatif Abdallah ambaye hakika ni Mswahili kindakindaki aliyebobea zaidi ya wote niwasikiao katika tasnia ya ushairi. Ningeshauri awe na wakati unaolingana na tajriba yake. Ana mengi ya kutuelimisha nayo.

  • @hamzarijal9093
    @hamzarijal9093 Рік тому

    Andaa kipindi chako Kisha jiwekee nidhamu yako.

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Рік тому

    Wee mwentekiti tenda aki icho kipindi usikiendeshe kiupendeleo naomba kipindi akifunge shekhee abdalla tifu naji naomba muache upendeleo

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Рік тому

    Mbona profasa abdalla tifu ampi mda

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Рік тому

    Kipundi iki kinaupendeleo why kwanin ampi nafasi shekhee Abdulla tifu kuongea