Mmmmmh huyu nae sasa masha love nae anaweza toa ushauri gani kwa hao wawili muemunaangalia na watu wakuwahoji sasa hapo anajisifia nini hali yake imekuaje ni mjamzito au shobo tu😅😅😅
Super Star ⭐️ hapo Bongo hata Mama nitiliye ni Super Star 😂😂😂😂😂. Watangazaji kwa nini Zinaa mnaiweka mbele sana mnataka mtoto wa watu azae bila ya kuolewa. Na hao walozalishwa na Diamond kawaowa si kawatupiliya mbali. Masha leo umependeza bila ya hayo manywele ya maiti 😂😂😂😂😂
Masha Bwana mjanja ya ngoswe mwachie ngoswe
Mmmmmh huyu nae sasa masha love nae anaweza toa ushauri gani kwa hao wawili muemunaangalia na watu wakuwahoji sasa hapo anajisifia nini hali yake imekuaje ni mjamzito au shobo tu😅😅😅
😂😂😂😂anatetea muhogo wake😂ila masha aaaah
Sasa huyu na yeye super star 😂😂 sasa super star wa kitu gani huyu😅😅
Nakuunga mkono hata sijaona ustar wake naona nongo tu
Hawa watangazaji ovyooo sana.
Staaa wa uchiz
Hataki kugombana na wasanii wenzake mnatafuta maneno tuu...
😂😂😂😂😂😂 et nkwinkwinkwinkw😂
Super Star ⭐️ hapo Bongo hata Mama nitiliye ni Super Star 😂😂😂😂😂. Watangazaji kwa nini Zinaa mnaiweka mbele sana mnataka mtoto wa watu azae bila ya kuolewa. Na hao walozalishwa na Diamond kawaowa si kawatupiliya mbali. Masha leo umependeza bila ya hayo manywele ya maiti 😂😂😂😂😂
I didn’t know that she’s also a Star 😢
Masha was born a Star ❤
Uyo chizi staa gani chizi
Amelewa mnamlazimisha kuongea.
Ila waandishi mnapendanugomvu
Namtaenda kuunguw nyinyi najuma lukole naujinga wenu