Inakuwaje huyo police kuendelea kufanya kazi na uchunguzi ni muda gani wakati kuna mtu amekiri ametumwa na messages zimekutwa kwa kaka wa huyo mwanamke . Hapo police wanalindana maana askari wa Tanzania ni waharifu na majambazi
Pole sana baba.mungu aendelee kumlinda na kumnusuru mwanao kwa mengine na mengine.tunaiomba sheria ifate mkondo wake.huyo mama afunguliwe kesi ya mauwaji japo ni police hayuko juu ya sheria.
Hawa woote Ni watu àmbao walikuwa Ni waharifu sasa walichookuwa wanakitafuta Ni kuuana tu ila huyu mwanaume bado mungu anampenda hapo Cha muhimu waachane tu na hiyo Askari wa like afukuzwe kazi hafai Tena kwa kazi ya polisi.
Haki iliyotumika katika shauli la mzee aliebambikiwa pembe la ndovu na askali waliofungwa miaka 20 ndio itumike ktk kesi hii pia Dada uyu mkaguzi wa police anatuhumiwa kutuma watu wamuue mumewe.ametumia.vibaya taaluma yake na utu wake vibaya kutoa pesa kwa wayu waue mtu nu uuaji pia wa makusudi sheria ifate mkondo wake
Mkuu sio kwa kuowa huko kaskazini hao sio wanawake wao pesa mbele na utajiri , yaani huko kama kuoa ni mmasai na muiraqw hawana tabia ya kuuwa waume zao ili wachukue utajiri
Ila jamani mume wako baba wa watoto wako Aise Mungu ninusuru siwezi kumuuwa mume wangu mpz Aise kama mmeshindana achaneni tu na ukiachwa achika🙌🙌🙌🙌😝😝😝😝
Dawa yamoto nimoto wenyewe nae aonje utamu wakukatwakatwa napanga siwanaona raha akatwe yeye nawewe mwanaume ondoka hapo hakufai huyo mungu niwako ndomaana uko hai hataaombe msamha usimsikilize
Police ilitakiwa ivunjwe iundwe upya imejaa wauwaji wengi kwenye jeshi mfano huyo police muuwaji halafu wanalindana kuna watanzania wengi wasio Na hatia wanafia mikononi mwa police au wanaumizwa na kutiwa vilema vya kudumu
Kawakodi majambazi..kesho utasikia uhalifu umetokea na majambazi wanatafutwa pia awajulikani wanafanya upelelezi. Polisi ni majambazi na majambazi ndo polisi, yani amanai na usalama wa mali zetu wao ndo waamuzi.
Mungu akulinde
Mbona mmemficha sura wakati ingelikua ni raia wa kawaida mweka hazarani, kwani yeye ni nani? Lakini mjue mungu hafichiwi
Kwakua watu wamemkosa MUNGU ndio maana unyama unaendelea kila siku
Duuu arusha bwan😢😢
We mwanamke huna.hata hofu ya Mungu Mungu anakuonaa
Hiyo ndio shida ya 80 percent ya wanawake tanzania, pakiwa mafanikio hadi pawe mauaji...
Watu wa kanda ya c huwa wanalindwa ndiyo zababu alikuambia utajuwa ni wa huko no kesi
😮WATANGANYIKA WATU WABAYA SANA HAWANA IMANI .SHIIIIIIIIT
Very sad, 3 milioni kumtoa mtu roho ???!!!!! Ee mwenyezi mungu dunia imeisha . Pole sana mzee
Huyo ndiyo mwanamke. Kiumbe hatari xana
Kama ni kweli amepoteza sifa za kuwa mtumishi was umma
hiyo nyumba tu inatisha 😢
Kila siku naawambia police ndio wanafuga wezi na majambaz wanajua walipo
Kabisa
Kabisa
Mungu anawaona unyama wenu
Eheee Wanawake mmetufikisha hapo kwel? Chukuen hatua Kal.
DUU!?😭😭😭TUMEKWISHA TENA ETI POLICE?!!!!,
Tumebaki ubumilivu lakini kuchoka tumechoka mda mrefu
😢
Naomba sheria ifuate mkondo wake
Inakuwaje huyo police kuendelea kufanya kazi na uchunguzi ni muda gani wakati kuna mtu amekiri ametumwa na messages zimekutwa kwa kaka wa huyo mwanamke . Hapo police wanalindana maana askari wa Tanzania ni waharifu na majambazi
Hakuna namna haki ifanyike Dunia ya kimtandao huwezi zuia
Hongera sana Baba Kwa kumsaidia mwanao
Duuuh
Tamaa mbaya kwer
Viongozi ndio anasababisha
Mauji tna haswa viongozi wa serekali
Uchunguz Gani mnataka kuufanya nyie kizaz Cha nyoka , kenge wenu huyo mwenye roho mbaya kuliko hata lusifa mwenyewe , xaxa hapo mnataka muipotezee majambazi nyie
Baziyao wanawake wamekua mashetani,
Hili jeshi la polisi 😢😢😢😢
Huyo mwanamke mnyama kweli
Mungu Ni Mwema Ameyaweka Wazi Mambo Hayo.
Amna Cha kigogo Wala asikari apo Sheria ifate mkondo ,
Kuna kitu hakipo sawa
Wafungwe maisha
Hiyo Mikoa mmmh
Jeshi letu limejaa wahuni wengi
Pole sana baba.mungu aendelee kumlinda na kumnusuru mwanao kwa mengine na mengine.tunaiomba sheria ifate mkondo wake.huyo mama afunguliwe kesi ya mauwaji japo ni police hayuko juu ya sheria.
Huyo mwanamke ni kichaa afungwe maisha
🤣 kapata kanyota juzi tu tyr ameanza kukodi watu
Maaskari hawaaminiki Tanzania mmm😢
Hao si wakuachs kabisa
Njaa mbaya sana
Hapa hakuna vha uchunguzi akamtwe akae ndani ndo uchunguzi uendelee mambo gani hayo.
Ndoa ndoano😢
😢
Anataka Mali uyo abak nayo mwenyewe nyooo
Kwaiyo huyo polisi anawajua majambazi, du!
MILIONI TATU SI KITU KWA KUZUDHULUMU NAFSI YA WATU .WATANGANYIKA NJAA SANA 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Unalalaa n mwanamkeee anakuuuaaa
Haki itendeke
Afutwe kazi na afungwe maisha.. Ni mwuhuwaji
Awalete na wale wauaji walioshindwana kutoka dar.
Anatakiwa achukuliwe hatua Kali kabsa wasiangalie uwaskali wake kabsa
Kama mwanaume amekushnda SI unaachana name jaman Kwa nn umuue
Apo ndo tunashangaa, uchunguzi gani wakati maerezo Yako wazi
ili jambo lifikishwe kwa waziri wa ulinzi uyu polic amekua changamoto pia kwa ata kwa jami
Duuu ana roho ngumu sn
Milioni 3 kianzio laki nne+ kuua mtu+polisi=majambazi wakarushwa hela sijui nataka kusemaje ila tutangulize utu na hofu ya mungu
aende jela kwanza malimali zinatafutwa tuu pumbavu zake hutu mama
Kweli ndoa ngumu jamani, unaishi na muuaji ndani
Hawa woote Ni watu àmbao walikuwa Ni waharifu sasa walichookuwa wanakitafuta Ni kuuana tu ila huyu mwanaume bado mungu anampenda hapo Cha muhimu waachane tu na hiyo Askari wa like afukuzwe kazi hafai Tena kwa kazi ya polisi.
Haki iliyotumika katika shauli la mzee aliebambikiwa pembe la ndovu na askali waliofungwa miaka 20 ndio itumike ktk kesi hii pia Dada uyu mkaguzi wa police anatuhumiwa kutuma watu wamuue mumewe.ametumia.vibaya taaluma yake na utu wake vibaya kutoa pesa kwa wayu waue mtu nu uuaji pia wa makusudi sheria ifate mkondo wake
Jaman unyama umezidi wanawake, kwa nn lkn tumwogope Mungu .
Si bora sngeondoka kuliko kummuua kijana wa watu . Kaozee jera
Niko paleeeeee,hakuna hatau atayochukuliwa
huyo mkewe kigogo tumuone
Nikweli
mamamee yanii mtuu unakaa naee unachekaa naee kumbee mkatilii iviii
Sasa siakamatwe muuaji huyo mbona wanawake mnawabeba Sana hivi ingekua ni mwanaume mngekua mnambembeleza
Duu kama mmechokana niheri mtengane
Mtuhumiwa polisi wachunguzi polisi hii kweli sawa
Afunwe maisha huyo.mke ni muuwaji kwani alivyokubali kuolewa si alikujua kuwa mlevi.
Jamaniiii binamu yangu
Nayeye akatwe napanga kama anaweza kuvumilia maumivu yake😡
Wewe mpumbavu unayesema wamachame wanaua ukome mbuzi weww
Uchunguzi uchunguzi serikili yetu hii shida tupu
Askari yoyote ni muuaji na jambazi na muuaji,ukimuoa au kuolewa naye una hasara.
Hawa wanawake jamani khaaaaa
Mkuu sio kwa kuowa huko kaskazini hao sio wanawake wao pesa mbele na utajiri , yaani huko kama kuoa ni mmasai na muiraqw hawana tabia ya kuuwa waume zao ili wachukue utajiri
Kaka hii inaitaji coment ya kistrabu kweri
Ila jamani mume wako baba wa watoto wako
Aise Mungu ninusuru siwezi kumuuwa mume wangu mpz Aise kama mmeshindana achaneni tu na ukiachwa achika🙌🙌🙌🙌😝😝😝😝
Yote tamaaa ya kurisi wanawake hawa
Juzi juzi 2 m2 kaingiziwa chupa leo tna police
Wachaga mna nini jamani hapo ugomvi nimali tu
Hapa chanzo ni kusalitiana kuna mmoja kashagawa Uchi anaona mwenzie hafai tena anambana
Ugawane mali na muuwaji huyo. mwanamke akakae jera maisha yake yote pumbav
Kwanini umdhuru muache akiwa mzima kama ulivyomkuta
Mmmh
Kumbe polisi majambaz mnawajua eeh
Naogopa naogopa.Sisi tutaponaje?
Akipatikana na hatia afungwe
Dawa yamoto nimoto wenyewe nae aonje utamu wakukatwakatwa napanga siwanaona raha akatwe yeye nawewe mwanaume ondoka hapo hakufai huyo mungu niwako ndomaana uko hai hataaombe msamha usimsikilize
Dhambiiiiiiiiii mweeeee
Mzee ulikuwa wapi kabla ya matukio kutoakea?
Acha uongo we mtu mzima,kwani kunahatua zingine za kisheria mbona hukulipoti?
HUYO ASIKARI. AKAMATWE. MAMA. SAMIA. RAIS. MAMA. SAMIA INGILIA. KATI.
Mm nilikataa siwezi kuoa askari polisi au mwanajeshi ni hatari ukikosea kidogo tu unachezea kichapo
Police ilitakiwa ivunjwe iundwe upya imejaa wauwaji wengi kwenye jeshi mfano huyo police muuwaji halafu wanalindana kuna watanzania wengi wasio Na hatia wanafia mikononi mwa police au wanaumizwa na kutiwa vilema vya kudumu
Kazi ya uaskari ni laana
Mtihani na ikiwa kweli nifedheha kubwa viogozi mnayaona haya nifedheha kubwa inatakiwa uchunguzi ufanyike tena wa kina
Mbaya sana serekali hichukuwe mkondo wake kwa mujibu washereria 3:05
Kama asipoangalis hakuna kesi hapo Wana tabia ya kulindana wauaji wote hao.
Unatoa uhai wa mtu kwa milioni 3?
Hee shida ni nyumbaa au nini? Dada police
Jaman we mwana mke mwezetu Mbona una roho mbay ivo
Ingekuwa mwanaume ukiishi Maeneo ya Arusha razima uwe katili
Inauma jameni naskiya handi kuliya
Kawakodi majambazi..kesho utasikia uhalifu umetokea na majambazi wanatafutwa pia awajulikani wanafanya upelelezi.
Polisi ni majambazi na majambazi ndo polisi, yani amanai na usalama wa mali zetu wao ndo waamuzi.
Kama ni mapenzi busara itawale tusitoane roho tuchepuke kupooza jazba !