Huyu mganga wameisoma ya kutowa mama hapo hatuwelewani🤣🤣🤣🤣 Jmni nimecheka mpaka eti jamaa anasema waganga wengine hasa sijuwi wapoje inakupiga mikofi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣linanitemea mate 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu mm shifaa
Katika simulizi huyu jamaa comedian🤣🤣ety irizi ndio ishakua waleti sasa🤣 mara mzee anantemeatemea mate🤣 mambo gani ya kupigana makofi🤣🤣 Hapo ndio nkasema mungu nsaidie hamna mambo ya hirizi japo limeloa nkajua bado lina nguvu ya ziada🤣
Dah...katika stori zote uyu mwana na JUMA nimekukubal sanaaa bro davista...big up hey
I like the way this guy talks
Ila Davistar vipande vinakimbia kwl...!! story tamu ila Dk chache kimtindo...!! But Kazi nzuri sana...God be with you 🙏
Mganga kakubabua Kofi ile asira ya kumsumbua 🤣🤣huyu Jamaaa chenga sana et leo nakata visa kesho ndege imeanguka dah🤣🤣noma sana
😋🤣🤣🤣
Huyu jamaaa anachekesha mno. 😂😂😂😂😂😂 irizi limerowa .😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sana adi raa
😂😂😂yaan nimecheka
@@credo7837 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@credo7837 Credo. Mbona umechelewa sana kuangalia hiyo.
@@pilimusa7770 nilikuwa sijaiyonaa sijui kwanini inaonekana ya muda mrefu
Davistar....uyu jamaa anatisha nimemkubali sanaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mganga wameisoma ya kutowa mama hapo hatuwelewani🤣🤣🤣🤣
Jmni nimecheka mpaka eti jamaa anasema waganga wengine hasa sijuwi wapoje inakupiga mikofi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣linanitemea mate 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu mm shifaa
Bila like zangu silali
Bonge la dude la pumuwa😂😂🤣🤣🤣🤣
Jamaa yuko sawa,story zake Safi sana
😀😀😀kaka yang D leo umepatikana maan si kwa lugha hiyo 😁😂😂😂😂Nimempenda huy mkaka anavy ongea😃😃😃😃
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli nimekuja kuitika jina ticha nipo jana na leo
Wallah this guy is fun really 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 OMG I'm dead 🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣
Davistar....yaani uyu jamaa cyo poa story tamu atariiiii😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Katika simulizi huyu jamaa comedian🤣🤣ety irizi ndio ishakua waleti sasa🤣 mara mzee anantemeatemea mate🤣 mambo gani ya kupigana makofi🤣🤣 Hapo ndio nkasema mungu nsaidie hamna mambo ya hirizi japo limeloa nkajua bado lina nguvu ya ziada🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 yani leo nmejua kucheka, eti mikofi
Haha 😂 Eti maadui na wao wakanywa Maji pamoja mr Facts 🇸🇪🇹🇿
Ilo kofi alikusanzuwa nalo kwakuwa ulikataa kumtoa maza😆😆😆
He is a story teller. ana hadithia hadi raha
Bro usitusungusi endelea na sisi ukimaliza storry zikiisha tafuta zingine tena ya napenda kukusikia unavo ongea mihapa nacheka 2
From Uganda, pamoja Sana
Nice history we need part 3 plz
Kweli muhuni so mtu mzurii....😂😂😂😅
Thanks Davi big up dear
Jamaa kanichekesha eti nguvu ya ziada 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu kaka ni noma😂😂😂😂😂
Nakubali sana
Duu ndomaisha mwangu pole sana
Wa kumi duuu siamini. Nipeni likes wajameni
Hongera
Yaan unakata Viza leo kesho ndege inadondoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Utembee na tunguri kila mahali uwe nalo😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu jamaa comedian aiseee
😅😅😅😅😅mungu wangu huyu mkaka eti lile hiridhi sikutaka hata kuwa nalo nikalitupilia mbali 😅😅😅😅😅 bora ulivo kataa kumuua mama akoo
Yani kama Nakata visa leo kesho ndege yenyewe imedondoka aisee wewe noma 🤣🤣🤣🤣🤣 duh maisha haya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...Davistar umetuletea kitu msimu uu mbavu adi zina uma
Hahaha 😄 😄 he's so funny tuned 🇰🇪
Anakutemea mate😂😂🙌
Huyu jamaa ananichekesha kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi nimempenda bureeee
@@fatmaalrshdii7615 hata mimi. Njoooo part 3 uwanjani
Noma sana hadi makofi😂😂🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 Davistar eti kufinya nini huyu kijana nae anachekesha kweli
Dhuuuu, masharti balaa
Dhuuuu, umekuja first one ujasiri upo nao upige mziga wafe
Noma xana...!! 😅 Huu utaftaji asee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo ungemuua bi mkubwaaa halafu umekosa jiwe😂😂😂😂😂😂Haha pesa sabuni yarohoo nahisi huyo mwenyekupata jiwe mybe alinusurika hapo alipo tajiri
Liilizi likatupiliwa mbali haaahaaa
Naenjoy Sana kumsikiliza mzee wa kusmok
Umekata visa Alafu dege limeanguka😂😂😂😂😂
Nafuatilia bado stori 🔥👍
Dhuuuu, mpaka unatemewa mate🤣🤣🤣🤣
Uyu jamaa ni comedian 😂
Eti....kuwapoza raia🤣🤣🤣😂😂😂
Nimewah⭐❤👌
Nikaludi katika kufinya 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa sauti
Komaaa kk manake unataka kufaulu🤣🤣🤣
Ungelimuenukia na kichwa 😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hili jamaaa zaidi ya lihuni loh
Huyu anajua kujielezea sana. Yaani ni shida
Mali nihivo ukiipata unaweza uwawa.
Pia mwizi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiiiiii. Mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Angalia izo mbavu zisije vunjikaeeeee
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂Anachekesha kwer huyu mtu
Duu balaaa
😅😅😅😅 kwamba mganga anakupiga kofi 😅😅😅
Ila hawa waganga wanamadhambi sana mana mtu kaenda nalengo lingine yy anampa mambo mengine
Jaman nimecheka mpaka mbavu zinauma
Hilizi linapumua🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Dude linapumuwa🤣🤣🤣🤣
Nakubali sana huyu jamaaa
jamaa anasimulia kama live aiseee
Mungu si asumani
😂🤣🤣🤣 unataka irizi ndipo
Hii nomaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Balaaaa
@@pilimusa7770 sana
😄😄😄😄ananitemea mimate!ananisukutulia mimate!?
Big up Davistar
Muendeoezo🤗
Umenogewa na mtu wa santaiza a k a gongo
😂😂😂kk hananifuya bafu uko🇧🇬oman
Hata kama limelowa litakuw na nguvu ya ziada eeeeh..
Hahahaaaaa 😁😁😁😁😁hilizi liwe kama waleti hii ni shida
barikiwa
Amiin Eshia
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jamani
Jama kweri numpiga story nimempenda bure
Kijana anachekesha
🤣🤣🤣hadi story inaisha nikucheka tu😂 sembe lake baalaa nikakanda hivyo hivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣
Unakata visa leo kesho ndege inaanguka
Hii stori Kama movi vile
Huyu jamaa ninoma!:"
Kupoxa watu tena tobaa haya hilo sharti lalixikwaa mxima mzima noma
Irizi tayari imepata maji balaa aiseee
Daaah xio poa ndgu
Noma
😂🤣🤣🤣 mukanywa vikombe
Stor tam imepata msimuliaji
😂😂😂😂😂 Jamaa ajiona yuko peponi sio?
Davistar umependeza mnoo
Kusungusi sembe lake km lile analo ni pulizia, Hapa na bonge la dude lina Pumu, Dollar 5000 nyingi
Hasa huyo mganga wee ulienda kujikinga muili wako vp tena kua tena maa wako
Yani huyu broh ninoma kabisa napenda zungmza yake nisungus
😅😅😅😅😅😅😘 sungusi
Watu wanaroho mbaya unazikwa ndani tu alafu unasaulika
Pili njooooooooo mazur🤣🤣🤣
Nishafikaaa😂😂😂
@@pilimusa7770 na mimi nimekimbilia japo sijaitwa
@@pilimusa7770 Nmefurai kukuona 🤣🤣
@@fatmaalrshdii7615 Nmefurai kukuona 🤣🤣
@@fatmaalrshdii7615 😂😂😂😂😂karibu
Kumbe ukifa huku unazaliwa ulaya anajitahidi kupambana wengine wanavuta tu hawataki kufanya kazi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zangu uwiiiiii
Msungusi😂😂😂😂😂😂