Kazi zisizohitaji Vyeti, Uzoefu Ukitua USA / Drivers License / Majimbo 10 yenye nafuu /

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024
  • #swahilination #commonsence #Tanzania #marekani

КОМЕНТАРІ • 65

  • @justusmochoge6577
    @justusmochoge6577 7 місяців тому +5

    Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤

  • @user-fc6ft1sm2y
    @user-fc6ft1sm2y День тому

    Ok dada nzuri mimi ni mependa nawatu wa Burundi vipi tuna taka n'a sisi

  • @Summerbtz
    @Summerbtz 8 місяців тому +3

    Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni

  • @pilitanzania1420
    @pilitanzania1420 7 місяців тому +1

    Habari dada asante kwa ushauli nzuri
    Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko

  • @Victor-Frank
    @Victor-Frank 9 місяців тому +1

    Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce

  • @NgelejaCharles-ng7bh
    @NgelejaCharles-ng7bh 11 місяців тому +2

    Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.

  • @HamisDotto
    @HamisDotto 8 місяців тому +2

    Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini

  • @ilankundakamenya3171
    @ilankundakamenya3171 8 місяців тому +1

    Big up sana sister nimekuelewa vzr sana

  • @RobinsonBaton
    @RobinsonBaton 4 місяці тому +2

    Habali za kwako aunt

  • @user-kf9uc4us3j
    @user-kf9uc4us3j 9 місяців тому +5

    Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 9 місяців тому

      Uko sawa tu

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  9 місяців тому

      @user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 8 місяців тому

      Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi

    • @Daima-ik1cf
      @Daima-ik1cf 8 місяців тому

      Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr

    • @MwajumaRashidi-tx6ks
      @MwajumaRashidi-tx6ks 7 місяців тому

      Dada VP ulijibiwa

  • @reginaevance7175
    @reginaevance7175 Рік тому +1

    Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana

  • @chamballaally8767
    @chamballaally8767 4 місяці тому +2

    Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS

    • @hanswan1
      @hanswan1 4 місяці тому

      Mimi pia kafanana nae sana...mno

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 9 місяців тому +1

    Asante kwa elimu poa madame

  • @abdallahyusuf7641
    @abdallahyusuf7641 8 місяців тому

    Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana

  • @mubabray9845
    @mubabray9845 Рік тому +1

    Asante sana dada

  • @stanslausmbuta-ck5im
    @stanslausmbuta-ck5im Рік тому +1

    Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 Рік тому +1

    Asante dada

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 8 місяців тому

    nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko

  • @khadijaismail8427
    @khadijaismail8427 10 місяців тому +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe

  • @ronaldouchi1083
    @ronaldouchi1083 10 місяців тому +1

    Good job sister

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 10 місяців тому +1

    Safi Sana dadayangu akiri kubwa

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 10 місяців тому +1

    Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 9 місяців тому +1

    Thanks

  • @eddiemend9250
    @eddiemend9250 Місяць тому

    Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 12 днів тому

    Dada mimi niko warabuni myaka kumi natumik kazi za ndani tena za watoto ni saidie nije uko naona nitaweza

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 5 місяців тому

    Habari gani Dada.. Napenda program yako

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 10 місяців тому +1

    Naomba dada tuwasiliane

  • @SalomeKhalfani-cm9xy
    @SalomeKhalfani-cm9xy 10 місяців тому +2

    Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako

  • @johnkasosokola7461
    @johnkasosokola7461 9 місяців тому

    Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 9 місяців тому +2

    Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱

    • @EricaLulakwa
      @EricaLulakwa  9 місяців тому +1

      @tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.

    • @TradersEasyWay
      @TradersEasyWay 9 місяців тому

      sawa@@EricaLulakwa

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n 4 місяці тому

      Hellow

  • @bryanDavidohighfem
    @bryanDavidohighfem 10 місяців тому +1

    Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid

  • @dasilvajacmwax7436
    @dasilvajacmwax7436 Рік тому +1

    Nimesabskraibu👍

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 7 місяців тому

    Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 8 місяців тому +1

    Fb upo na unatumia jina gani?

  • @krtv3666
    @krtv3666 3 місяці тому

    My name is Yohana Mweta.
    My question to you is that how can I get there

  • @ElikanaKiheka-fl4wu
    @ElikanaKiheka-fl4wu 8 місяців тому

    Safe sana aiseee

  • @danielalbert1795
    @danielalbert1795 19 днів тому

    Uko state gani dada! Na vp wewe Ni producer wa music?

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Рік тому +1

    Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..

  • @deniskangombe7442
    @deniskangombe7442 4 місяці тому

    Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana

  • @emmanuelmliga132
    @emmanuelmliga132 10 місяців тому +1

    Naomba namba Yako dada

  • @MariamNgadoa
    @MariamNgadoa 8 місяців тому

    Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko

  • @user-ic7qf8fl9x
    @user-ic7qf8fl9x 10 місяців тому +1

    Oi my tuongee namba

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 Рік тому +1

    toa sauti

  • @user-qy2ft1lg6e
    @user-qy2ft1lg6e 3 місяці тому

    Mawasiliano yko dada

  • @HabibaIdany
    @HabibaIdany 4 місяці тому

    Dada namba namba

  • @rukiyashali
    @rukiyashali Рік тому +1

    Vp kazi za kuchora heena ziko?

    • @viousa
      @viousa 10 місяців тому

      Hamna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 8 місяців тому

      ​@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 4 місяці тому

      Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?

    • @godwinaxwesso8726
      @godwinaxwesso8726 4 місяці тому

      Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam

    • @user-mf5yw8nv7n
      @user-mf5yw8nv7n 4 місяці тому

      Hellow ​@@viousa

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 11 місяців тому

    Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 5 місяців тому

      Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu

  • @kibejaden3306
    @kibejaden3306 10 місяців тому +1

    Mambo ya saloon kunyoa vp