Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu
Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi
nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko
Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?
Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱
@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar
Wow I appreciate from here Kenya 🇰🇪 our beautiful Tanzanian ❤❤❤
Ok dada nzuri mimi ni mependa nawatu wa Burundi vipi tuna taka n'a sisi
Nimependa vile unavyowashauri ndugu zako kuhusu maisha ya ughaibuni
Habari dada asante kwa ushauli nzuri
Mimi binafsi Nina ujuzi wangu ni welder nipo Mozambique nafanya kazi napenda kuja kufanya kazi huko
Gaddamn she is giving me goosebumps with that beyonce
Nakupenda dadangu, nikija nitkutafuta Kwa maelekezo zaidi.
Good sana sister nikisema nije huko ninunue gari ndogo laba ya kufanyia tex bei ya chini
Big up sana sister nimekuelewa vzr sana
Habali za kwako aunt
Dada nimekuelewa vzr mm Niko oman nafanya kazi za ndani nataka kuja huko nipambane ni mtznia je nikija nitapata kazi ya usafi kulea mabibi au watoto naulixa hivyo maana elimi yangu darasa la 7 na hata wanakojenga kubeba tofali mm nikija sichagui kazi na hata kuzoa taka naomba nisaidie tafadhali dada angu pass port ninayo nani naomba nitajie gharama mpaka kufikia huko marekani nisaidie dada Sina Cha kukulipa ila mungu atakulipa pole Kwa usumbufu
Uko sawa tu
@user-kf9uc4us3j, Nimeelewa maelezo yako ntakujibu soon. Asante
Nashukuru rafiki yangu mimi niko Zanzibar natamani sana nipate nafasi ya kufanya kazi hata hapo omani tu nitashukuru naomba unisaidie kama unachanel hiyo samahani kwa usumbufu maisha yetu hujui nani ataekufaa nisaidie sixhagui kazi kazi yeyote nafanya mimi
Aha mm nipo oman nilitaka niende lakin bado nawafatilia vzr
Dada VP ulijibiwa
Asante sana dada 🙏Mungu akubariki sana
Nilidhani ww Salama Jabir wa BSS
Mimi pia kafanana nae sana...mno
Asante kwa elimu poa madame
Shukrani nimekuelewa vizuri sana tena sana
Asante sana dada
Safi sana dada, naomba email na no ya simu maelezo yako ni mazuri sana unaelimisha vizuri kwa kweli.
Asante dada
nashukuru sana dada Erika nimekuelewa naomba unisaidie niweze kipata mtu kitoka uko ili nipate viza au barua ya mwaliko nataman nije kifanya kaz hata za nurse home nina passport lakan sina wakuniasaidia kija uko
Nimefurahishwa sana na maelezo yako ubarikiwe
Good job sister
Safi Sana dadayangu akiri kubwa
Ghai msungu anaboga swahili❤❤❤
Thanks
Hi habar yako Dada Erica, Umeongea kazi za udereva etc vipi kuhusu Kazi za ku-operate mitambo like Hydraulic EXCAVATOR, frontend Loader, Motor grader etc naomba niulizie mtu akija akiwa tayar ni operator lazma arudi class asome tena and na vipi maslahi yake like wanalipwaje hao earthmoving machine Operator kwa apo Us..?
Dada mimi niko warabuni myaka kumi natumik kazi za ndani tena za watoto ni saidie nije uko naona nitaweza
Habari gani Dada.. Napenda program yako
Naomba dada tuwasiliane
Dada tunashukulu sana kwamaelekezo naomba no yako
Wapi hiyo?
Habari dada jee naipataja hiyo visor yakuja huko pia nahitaji kuja kufanya kazi nnje ya nchi
Hizo gharama za nyumba USA unazosema ama apartment za USA naona kama China tu hapa! Chini ya dollar 120,000 USD china hapa hupati nyumba kudadeki naona hakuna tofauti sana na USA.😱
@tradersEasyway, hayo majimbo niliyoongelea ni Yale yenye gharama za chini USA.
sawa@@EricaLulakwa
Hellow
Dada naomba no yko tuwasliane unielekeze zaid
Nimesabskraibu👍
Daaah Aisee ñaoña Ùpo Kabila Lañgu Naomba Namba Kwa Mawasiliano"
Fb upo na unatumia jina gani?
My name is Yohana Mweta.
My question to you is that how can I get there
Safe sana aiseee
Uko state gani dada! Na vp wewe Ni producer wa music?
Sauti yako ndogo dada ongeza Sauti..
Tatizo lako dada haujibu msg lakin una vitu vingi sana
Naomba namba Yako dada
Hello Erica Mimi Nina degree wa ualimu wa kiswahili na kingereza je naweza kupata kazi huko
Oi my tuongee namba
toa sauti
Mawasiliano yko dada
Dada namba namba
Vp kazi za kuchora heena ziko?
Hamna
@@viousanaishi Zanzibar naomba channel ya fursa nisaidie pia samahani kwa kusumbua huenda utakasirika lkn ni shida na usongo wa kujikwamua kimaisha naomba uniwezeshe kwa lolote hata ushauri pia naishi Zanzibar
Vigezo gani vinahitajika kwa ajili ya green card?
Naomba ni connect na agency wa delivery driver wa USA madam
Hellow @@viousa
Kama ukumalixa form 4 ukipata Green card utakubaliwa kweda?
Green card sizan km wananglia kiwango cha Elimu
Mambo ya saloon kunyoa vp