Aliyeota yeye mrefu au amepaa au kuruka (2)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Wat huwa wanaona mambo mengi sana usingizini lakini leo tutamuangalia mtu ambae ameona yeye ni mrefu ni nini maana yake njozi hii pia inazo tafsiri nyingi sana na leo nitakujuza sehemu ya tafsiri hizi kwa sehemu kubwa kwa maneno yenye kukusanya maana zingatia sana tafsiri hii utakuta ni kweli tupu wa Allahu aalamu

КОМЕНТАРІ • 19

  • @rizikahmad6930
    @rizikahmad6930 Рік тому

    shekhe mm nimeota nimemuona mtu mlefu sana alafu ulefuwake sio wakawaida nimlefu sana

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 6 років тому +1

    Shekhe Mimi huwa naota Saana nyele ndefu na nimepata maana yake Allah ibarik fik

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      Pole sana inaonyesha huwa unapata huzuni mara kwa mara na nina shaka yaweza kuwa ni alama kubwa ya kusumbiliwa na shaitwani unaishi wapi wewe

  • @koshihadiraabdalla5673
    @koshihadiraabdalla5673 5 років тому +1

    Asalam alaykum shekh Mimi sijazaa mtoto wa kiume nimeota nimeokota mtoto wakiume mwenye alizaliwa kabla ya kufikiasha mienzi siku ya pili nikaota nimezaa lkni sikuonyeshwa mtoto gani siku ya tatu yake nikaota tena nimezaa lkni kwa taabu sana nikasaidiwa na mamake madam wangu nilipomaliza kwa maana tulikuwa ufukweni mwa bahari na bahari yenyewe ulikuwa na maji kidogo tulipotwaa mtoto kuvuka sehemu ya pili maji yakaanza kuongezeka mpaka kitovuni yule mama akaniambia nope mtoto nikusaidie tuvuke nikamwambia silazima tuvuke tusubiri hukuhuku na ule upande tunao tunaenda kulikuwa na mwanaume anatusubiri na anafuraha Sana Hadi anasema vukeni mrudi huku ,pia sisi tulitokea upande tukavuka kabla ya uchungu inamaana gani

  • @raissamugisha1653
    @raissamugisha1653 3 роки тому

    Mi naota naona watu warefu nini maana yake

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 6 років тому +1

    Pia naotaws sana nimevaa puipui leusi maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  6 років тому

      Hiyo ni ndoa buibui ni stara

    • @pilianthony2442
      @pilianthony2442 5 років тому

      Je ukiota samaki wakubwa je

    • @pilianthony2442
      @pilianthony2442 5 років тому

      ukiota junia LA Michele Na ukiota unapanga folen arafu wenzio wapata mifuko minne arafu mm Na pata mifuko 2 nipo uliza walisema hiyo ya kutosha hiyo ndio ndoto yangu

  • @habibahhabibah9409
    @habibahhabibah9409 5 років тому +2

    Jamni mi nimeota Mr nying nikipaa au nakuwa nafkuzwa na kundi la watu kish napaa huku nikisoma ayatu liqurusiwi au aya nyingi amabazo huwa sizifahamu hiyo nayo ipoje?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      Ishara ya kuwa unaulinzi madhubuti kuto kwa M/Mungu au muda wako sio mbali sana hivyo shikamana na ibada

  • @fatemaissaissafatema6310
    @fatemaissaissafatema6310 4 роки тому

    Salaam salaam mbona kimya sana

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  4 роки тому

      Wa, salaam habari yako nilikuwa naumwa kiasi🙏🙏🙏🙏

  • @ndiwakibetjohn1989
    @ndiwakibetjohn1989 5 років тому +1

    Inamaana gani ukiota unapanda au kuvuna mahindi?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  5 років тому

      Poleni huo ni msiba ikiwa sio kipindi cha kupanda na sio mkulima aliyeota ila ikiwa ni mtu wa aina hiyo na mkulima basi fahamu ndio maana yake

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 6 років тому +1

    Na ikiwa umeota shekhe umemuona mzee mwenye nyele nyeupe madevu meupe amekaa kwa kitanda cha mwakisu anakuombea mngu dua mama take nini?

  • @yusranizar5269
    @yusranizar5269 6 років тому +1

    Ukiota wafanya mapenzi na sura za mumeo au MTU yoyote usingizini umjuwao au usomjuwa au mtalaka U pia nduguyo