PENDO LA MUNGU(Groupe Alleluia Nyarugusu) SHINA LA YESE
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Wimbo huu ufanyike baraka kwako na kufungua kila kilichofungwa katika jina la Yesu. PENDO LA MUNGU ni moja kati ya nyimbo za Album ya SHINA LA YESE album iliyojaa nguvu ya Mungu. Wimbo una tuongea kuhusu Chanzo na Thamani ya sadaka. Moyo wako ndiyo sadaka kubwa kuliko zote kwa Mungu. Watsaap +19024403883
amen 🙏bless you guys
Mwimbo zuri❤❤❤
Jamani ninavyo wapenda ni Mungu tu
Ubariki dada Echa na asante kwa kutupenda
Emungu liye mbinguni unastahili sadaka kwamaana wewe nikilakitu kwangu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Yani eeeeeh ,,,sijui niseme je ju ya wimbo uhu kweli,wimbo unagusa moyo bila mchezo kabisa,,Mungu azidi kuwa baraka kwenu.
Asante ndugu yetu
L
Jamaani waimbaji wetu mungu azidi kuwalinda na kazi mnayoifanya kwa kutangaza jina la bwana ,sadaka ya kwanza ni yesu kriston aliye na masikio anasikia tufuate jina lake tu
Nyimbo hizo kweli zinagusa moyo,mnapendeza kwa mavazi inayompendeza Mungu,waimbaji wa injili wanafaa kuiga mfano wenu.
Heavenly melody ❤
Naomba mnitafute ili tubarikiwe pamoja Mungu awabariki kwa nyimbo zuri
Congratulations
Upendo wa Mungu aulinganishwi na chochote kweli kweli , sifa zimrudie Muumba wetu amen
Vijana wetu Fanyeni kazi yake yehova Mungu Kwa bidii ... Musi fazaike na mazingira kwani anaona atainua watu kuwapeni mkono ... Asante
Amina dada yetu Roda, Kwa kututia moyo. Mungu akubariki pia
Amina mubarikiwe Sana nahipenda sana
Hii nyimbo imenikumbusha mbali sana.
Amina dada Nene. Ubarikiwe kwa kusikiliza Nyimbo hii. Hubiri pamoja nasi kwa Ku Share na wengine
Yaani kweli Mungu aliwasaidia kwa kuandaa wimbo huu! Mliimba mkitulia kweli kama wa Pentecost wa zamanı siyo wa leo!
Amen Amen watumishi wainjilisti wa bwana Mungu
Amen Amen watumishi wainjilisti wa bwana
Mungu azidi kuwa pamoja na nyie amena 🙏🙏🙏
Mungu azidi kuwa bariki daima 🙏🙏
Amina dada Famy. Ubarikiwe kwa kusikiliza. Share na kwa wengine ili tuhubiri pamoja na Wewe
🙏Amen
Mubarikiwe tena
Amen dada J. Ubarikiwe nawe kwa kusikiliza Wimbo Huu. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine
Baraka tele chimbuko ya Ivi tulivyo
Pendo lake nila pekee❤️
Bwana yesu awabariki waimbaji wetu
Amina Dada Bikyeomba. Ubarikiwe pia kwa kusikiliza Wimbo
Wimbo nzuri sana , inabariki
Mungu wambinguni akubariki sana nimebarikiwa sana
Mubarikiwe nahuyopendo alie pendokuu
Amen kubwa, Mungu awabariki sana
Tumtolehe tulivyo navyo ALAMA YA UPENDO 🎶🎶🙌🙌🙏
Ubarikiwe nawe mtumishi wa Mungu kwa kusikiliza
Ubarikiwe sana ndugu yetu Bisengo
Daaaaah iyo nikweli sadaka yakwanza ndio upendo
Nawakubari sana watumisha wangu ❤❤❤❤❤❤
Mungu awabari san pia nawapenda sana
I am so blessed tena over and over. It is on repeat. I love you ndugu zangu. Acha tukutane mbinguni. Musirudi nyuma
Amina dada yetu. Mungu akubariki na ukutunza ili siku moja, kweli, tukutane Jerusalem mpya.
Halo dada.
Tunashukuru kwa Maombi yenu ambayo yanatuwwzesha kuifanya kazi ya Mungu kwa mafanikio.
Hivi tuko kigoma mjini kwaajili ya vivuli vya Album yetu ya Pili.
Ubarikiwe
@@GroupeAlleluiaGEA bhhh
Yes Shanga
Ina bariki San
Mmbarikiwe sana watoto wa Mungu 🎤wimbo unabariki ❤🙏🙏
Amina Brother Stephano. Ubarikiwe kwa kusikiliza Wimbo huu. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine
Stephano iddy ubarikiwe mtumishi uwa unatowa SAPOTI kwa waimbaji wenzako sana❤️🙏🙏
@@africanentertainment2124 Amen❤🙏❤❤🙏
Tumebarikiwa sana
Amina
Amen Mungu awabariki sana
Amena mubarikiwe sana tu
Amina. Ubarikiwe nawe dada yetu Martha
Amina amina kubwa
Daaaaah nipo amerika uku sijuw kama nitawaonaje
Mungu awabariki sana
Muendelee vivyo hivyo, Mungu awabariki sana.
Amina
Mubarikiwe sana 👏👏
Mungu awasaindiye sana watu wangu wanguvu
Aman hoyesu mungu awa bariki saaaaaaaaana tena sana kabisa
Amina
Que lindo é louvar ao Deus que nos enviou seu único filho e tem nós abençoado estão lindos nunca se desafastem da presença do pai por nada nesta vida
Mubarikiwe sana kazi nzuri.
Amina. Ubarikiwe nawe Ndugu yetu
Mungu azidi ku wabari
Amina dada Ana. Ubarikiwe nawe kwa kusikiliza Wimbo Huu.
Uhimbaji wa mbinguni🙏
Amen 🙏
Ubarikiwe ndugu Isaack kwa kusikiliza Nyimbo hii
Mubarikiwe sana
Baraka nyingi
Ubarikiwe sana Kanya.
Anastaili sifa yatupasa tumpe maisha yetu iwe zabihu makatifu
Asante sana mungu awa bariki sana, awalinde awashindie
Amina Ndugu yetu Byamungu. Ubarikiwe pia
Jinsi navyopendaga huu wimbo nasikilizaga mpaka mwishoni naanzaga kuliya bila kujuwa naliya nini ❤❤❤
Mbarikiwe sana nawapenda sana💕💕💕💕💕💕💕💕
Amina Brother Raymond, Mungu akubariki kwa kusikiliza Wimbo huu. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine.
Amen amen 🙏 inabariki Moyo 🥰🥰🙏
Amina. Ubarikiwe dada
Amina amina amina.Yesu asifiwe
MUNGU wetu wambinguni awabariki sana
Amina Ndugu yetu Mechel. Ubarikiwe nawe pia
Mubarikiwe sana watumishi wa BWANA wimbo wenu umenibariki sana🙏🙏🙌📖👏🙏👏🙏
Amina. Ubarikiwe nawe dada
Mubarikiwesana
Bwana na awazidishie jamani
I’m repeating this song again and again, what a beautiful song 🔥🥰 may God bless us 🙏
Nimebarikiwa sana na wimbo huu.
Amina
Mubarikiwe 💕🥰
Amina sana. Ubarikiwe sana. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine
Usijali sana❤️
Mu barikiwe
Asante sana kweli mungu
Mbarikiwe sana. Wimbo unaonyesha baraka tele, nimebarikiwa sana,nimekumbuka mengi sana.
Amen Mungu akubariki pia Ndugu yetu Gaston
Wimbo mzuri Sana watumishi. Barikiweni na Yesu 🙏🙏 i
asante sana
Okay good job
Amen 🙏 🙏 🙏 mubarikiwe sana 🙏 😢
Amina dada
ooh yesu 💓💓🔥🔥🎤Amina, God bless you all.
Amen
Mungu awabariki❤️🙏🏽
Amina. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine
Nimebahatika kuwa wa kwanza kubarikiwa na wimbo huu . Mungu awabariki
Ni kweli. Na Mimi Nimekua wa pili
Ubarikiwe sana Brother Chris kwa kua mtu wa kwanza ku sikiliza wimbo huu. Asante kwa kufanyika mwanafamilia wa Groupe Alleluia
Mubarikiwe saana tena,mara ya kwanza kusikiya nanikajitaidi kuijuwa hakika Bwana wetu alianzisha sadaka ya kwanza
Amina dada Douce. Ubarikiwe pia
Glory be to God
Amen. You realy did good job
Beautiful song Amina👏👏❤❤❤Be blessed my beloved Men of God.
Amen 🙏🏻 Mungu awabariki sana kweli
Amina dada yetu kipenzi Badeux. Ubarikiwe pia. Hubiri pamoja nasi kwa ku Share na wengine
Aleluya,asifiwe
Amena ❤️🕊🥰☮️ kubwa
Ubarikiwe dada Apolina
@@GroupeAlleluiaGEA Asante sana❤️✊
Mubarikiwe sana ndugu zangu 🙏❤️
Amina
Braza Patrick naitaji namba zako ni mimi rafiki yake na hosma napenda niongee na wewe nipo amerika uku
Amen, mungu azidi kuwa pamoja nanyie katika kila jambo, nyimbo zenu uwa zina bariki sana ❣❣
Ubarikiwe sana
Atukuzwe mungu wetu
Na awabariki sana tena sana
Ahsante
Asante kwa kazi nzuri munayo jamani hii gospel group munaishi wapi
Asant
Amina. Hii band kweli iko on Fire. Barikiweni sana
Tunashukuru. Sifa apewa Mungu
❤️🔥👏🏻
Ubarikiwe
FIESTA MONDI WA TANDAL😰😰
Mubarikiwe sana kweli kweli aiseee wimbo unabariki sana 🙏🙏🙏
Amina Ndugu yetu Chance
Sadaka❤❤❤
Mungu bariki Wana wako angalia mazingira yao baba wajaze nguvu na baraka wa pate kusonga mbele Kwa upendo wako..
God bless you guys ❤️🙏🥺
Amen our lovely sister Marceline. Evangelize with us by sharing with Us.
Asante sana kwawimbo Mungu awahongeze kipaji zaidi roho mtakatifu awahongoze
Mbarikiwe sana wapendwa katika kristu
Amina Bwana Yesu asifiwe sana. Kama Mungu alikutoa mbali mbali sana sambaza kazi yake kuanzia leo na hata milele, Mathayo,28:18-20, 11:28-30, Yoh,4:24, 3:16, Mathayo,3:1-2,11, Waef,5:8, Waebr,10:23-25, Ufunuo,20:11-13, Mark,10:27, Mhubiri,8:1-8, Mithali,14:12, na Mungu atusaidie sana katika yote na jina la Bwana litukuzwe siku zote za maisha yetu ahsante sana amen.
god bless you
Amen mungu jumuweza wayote 🙏 Amen
Amina dada
Kila siku huu wimbo nauhangalia, mubarikiwe sana😍😍😍
Ubarikiwe dada Saralicia
Abeca a’hangibwe
Mungu awabariki
Amina
I wish I could donate
Mbarikwe jmn wimbo una bariki uhu dah🙏🏽😩🥰🥰
Amen, mbarikiwe sana 🙌🏾
Amina