khanith mkubwa wewe watu wanazid kuangamiawe unatuletea uchawaa wakusifu wapumbavu acha raiya watowe hoja na kulaumu serkal na police yake uzembe na kukumbatia dhulma awam ya sita hamna police walipo fanya kazi vizuri hamna zaid ya porojo tu @@magigesabai8674
Asante muliro kwa kazi nzuri ya kukomesha wabongo kuzusha maneno maana kunamda mpk unakosa amani ukifikiria Hali ya jiji nyingine na nyingi nizaiongo wamezowea sana
MI NAWAAMBIA HII KES INAZIMWA NA. ITAZIMWA TU TUPO HAPA, WALE WATU KUNA MMAMA MKUBWA YUPO NYUMA YAO NA HAWANA CHA KUMFANYA ILA SAWA MUNGU ATALIPIA TU INSHAALLAH
Hii Mungu atalipa Mungu atalipa kwani yeye hana kazi ingine ifike sehemu lililo kwenye uwezo wetu tuchukue hatua that's why napenda kenya hakuna ujinga kama huu
TUNACHOTAKA NI WAKOWAPI WALIOKAMATWAA WALIOTENDA UOVU HADHARANI BILA KUOGOPA LOLOTE HII NI AIBU YA NCHI WALE JAMAA WAMEMTUKANA HATA KIONGOZI NAMBA MOJA YAAANI WALIMAAANISHA HANA LAKUTUFANY NI AIBUUU😢
Twasubiri msemaji wa jeshi aje na taarifa kamili baada ya hizi za awali. Kutoa taarifa halisi ni kulisafisha jeshi linalodaiwa ni mwajiri wa wahusika hao. Kutowa-favour watu wa jinsi hiyo ni kujipambanua kutenda haki na kuwajibika ipasavyo.
Kumbe tunaishi na mazwazwa kiasi hiki yaani hamjui kutoa taarifa za uongo ni kosa la jinai na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii husababisha taharuki kwa wananchi? Acheni polisi wafanye kazi yao msiwafundishe kazi Tanzania sio kijiji wala kanchi kadogo mkumbuke tunapika mingi katika nchi yetu na wahalifu hutumia nafasi hiyò sio wajinga kiasi hicho wafanye uhalifu leo wakamatwe leo.
@@nassercurtis9579brother wasaidie maana watu wana mihemko hatari sheria zenyewe kujua changamoto, watu wanadhani kuonekana kwa video pekee ndiyo mtu ahukumiwe hawajui kama kuna interrogations, collection ya evidences nk
Hawajui Wanacho omba Ajira hakuna Maji Tabu Umeme ndo kabisa Makato na kodi za hapa na pale Tabu ndani ya Hospital kwa wagonjwa Mumekaa eti Mama Mama tunaomba 😂😂 Utakufa ukiwa unaomba Unakaa unasem tena kwa nguvu eti Mama...... Wakati watu wanao rawiti watot wadogo na kufundisha ushoga + kuleta vitu vya ajabu vinapita kwenye macho ya viongozi tuko kimya 😢😢😢 Amka huwezi kupewa haki kwa amani kamwe😂 @@aloycef812
Ilo ndo jeshi la police xx nalolijua Mimi mtoa taarifa za uongo kakamatwa mapema na haraka zaid kuliko waliobaka na kulawiti😅😅😅acha nikae kmy ncje kukamatwa mie
😂😂😂😂😂 tunavJeshi la Ajabu sana tanzania 🇹🇿 Yaani aliyechoma Picha ya Rais alikamatwa haraka haraka na aliyeeneza Habari za uongo kakamatwa fasta ila waliofanya vitendo vya ubakaji bado wanachunguzwa 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
Kamanda ukifa unaenda motoni moja Kwa moja huwez kukamata mtu aliyesambaza picha za uongo unashindwa kukamata aliyefanya ukatili na umedai huyo dada yupo sasa kinachoshindikana nini?
Tunasemaga nchi ya Tanzania ni nchi ya aman laki tunajidanganya ni nchi ya magaid vp akamwate msambaza taarifa za uongo na wasikamatwe wabakaji hii nchi bado sana tunachangamoto
Aiseh muda mwingine tuwe tunaheshimiana.... haya ni maisha ya watu msiweke siasi emu wew afande unae ongea angekuwa binti yako kafanyiwa hivyo na unawaona wausika na ushahidi wa kutosha upo je ungepisha uchunguzi wa poloce emu tuwa na utu hata dakika moja inauma sana.... Haya ni maisha ya watu...mnayo dhamana ya kuhakikishq usalam juu yao ila nyinyi mpo kwa ajir ya kuwalinda wanye nguvu na kuwakadamiza wanyonge Mtakuja kuleta machafuko nchini...!! It soo painful kiongozi kama uyu wa jeshi anavyo ongea mungu yupo atawalipa kwa uongozi wenu na unawatoto mungu awakuze 😢😢😢😢
Iyoo c haki hapoo mnamkamataje uyooo km c uonezii toeni izo tarifa basi km izo alizo sema ni zauongo c mtupe za ukwli mnamkamta wa nini da! Nnji yangu inawatu wa ovyo kabisaaa
9:13 kwa statement hiii, she Is alive na wanajua alipo, wanaetafutwa ni wahusika. Pigeni kazi tunawapongeza na tunahamu ya majibu zaidi na na haki kutendeka kikamilifu
Jaman jamn jaman allah angalia swala ili kwan wewe una toa haki angalia na hii serikali tulio nayo eeeeee mola allah toa adhabu zidi ya awawatu selikali atuielewi
Kamanda hiyo hoja Haina mashiko badala ya kutafuta waharifu mnawakamata watoa taarifa ya uongo na kwanini msikanushe tu. Watu wanapotea , wanatekwa, wanuwawa, mnawapiga vituoni mwenu na kiwanyanyasa mahabusu na wafungwa, hapana mungu anawaona mtarudi uraiani mtatukuta. Bwana wa majeshi apigane nanyi
Huu ni udhalilishaji kwa wanawake nchi nzima ..uchunguzi wa nini na wakati waliofanya ukatili walijirekodi kijeuri..aliyesema uongo kakamatwa.. waliobaki serikali inawafunika..
Hii nchi bwana, Yani anae vutabangi au kuiba kuku anakamatwa chap nakuhukumiwa miaka 3nakuendelea.lkn anae hujumu uchumi kwakuiba mamilion yahela anabaki mtaan .au Mtumishi wwte waserikali wanamlinda.!!!
Hao vijana police tulisikia waliagizwa na boss wao,maanake ni police pia mwenye cheo nani mmama je nayeye mshamkamata? Uongozi bila Christo hamna kitu. Namlilia Mugufuli japo katu achia Paul makonda
😂😂😂😂😂uyo amos ameshindwa kujificha jaman mbona walio baka wamekificha vzur tuuu had jeshi la polis haliwaoni mwacheni bwana akajaribu tena kujificha walah hamto mpata
Taarifa za binti aliye fanyiwa ukatili wa kijinsia sio za kusemekana...au kusadikika. Taarifa hizi zinahisia katika nafsi ya kila mwenye hofu na Mungu na mwenye Akili, na Mwenye kujua haki za binadamu. Hakika yeyote mwenye mamlaka ya kuhakikisha haki inatendeka na akanyamaza atakua mwenye kudhulumu maslahi ya ubinadamu.
Haki itendeke haraka walohusika na huo ukatili sheria ichukuwe mkondo wake, hata ikibaika kwamba watumishi wa uma wamehusika. Mamlaka msifunike maovu yao Mungu atawaadhibu nyinyi
Kwahiyo mwenye kosa la jinai ni aliyesambaza uongo ila wabakaji sababu ni watumishi wa serikali Bado wanachunguzwa aiseeee ila Mungu hazinziii Wala halali
Tuanzie mawasiliano kati ya binti na mume wa afande tukimpata mume wa afande tunae afande aliewatuma na atawataja mmoja mmoja TCRA na jeshi la polisi , watu wa haki za binaadamu, maafisa ustawi, na wakuu wa jeshi la wananchi tusaidieni .
Hao wabakaji munaonaje kama Jeshi limeshindwa kuwapata tunadili nao juu kwa juu sura zao zi zinajulikana munakamata mtu aside na ahati kisa kasmbaza uongo
Ajabu sana kwamba huyo aliyeeneza uongo kakamatwa,lakini waliotenda wazi wakijuonyesha taarifa zao hazijatolewa.
Bado wapo kwenye uchunguzi
mbona wewe umeshindwa kusaidia walipo
acha ujuaji jeshi la polisi linafanya kazi nzuri
@@magigesabai8674wewe ndo uache upumbavu kazi gani nzuri wanafanya zaidi ya kula rushwa
@@magigesabai8674Kwan walivyomkamarta aliesema huongo siwenyewe mapolic ndo wamimkata unatetea ujinga
khanith mkubwa wewe watu wanazid kuangamiawe unatuletea uchawaa wakusifu wapumbavu acha raiya watowe hoja na kulaumu serkal na police yake uzembe na kukumbatia dhulma awam ya sita hamna police walipo fanya kazi vizuri hamna zaid ya porojo tu @@magigesabai8674
@@kekiplus1andonly Na ingekuwa hakuna video wangeitwa watu wasiojulikana 😅😅
Nchi ngumu sana hii kiongoz wa serikal akifanya tukio wanazima juu kwa juu ila msisahau kuna Mungu juu anaona
Nduguyangu inci nyingi za africa ndio ivo
@@hamzafishten9560 yana mwisho
Kuna muda hata mungu anachoka kuona uovu
Inauma sana
@@shenamtukufu1224 ndo shida ya kuwa viongoz wasio na hofu ya Mungu make haki inawekwa pemben
Sheria bola ni sheria za mungu tu🎉🎉
Mungu ilaze Roho ya magufuri Mahara pema 😭🙏😭😭😭😭😭mpila kwanza uhai wamtu badae🙏🙏🙏🙏🙏sawa hakuna atakae ishi milele masikini nawanawe
Kwahiyo saivi Amos ndio amekua mtuhumiwa..hii nchi ngumu sana 😃🙌🙌🙌
😅😅😅
Ata mm nilijua amos n moja ya wale vibaka kumbe siye alafu kasha kamatwa duuuuh
@@trevordex1576 watu wa ajabu sana saiv nguvu yote wamehamishia wa amos
Nampenda sana huyu police anatoa habari kwa kweli na mfanya kazi hodari nakupenda sana kaka from omani ❤️
Omani hamjambo
Hujui nchi ikoje hii kakojoe ukalale Dear
Wee nae hujitsmbui
Asante muliro kwa kazi nzuri ya kukomesha wabongo kuzusha maneno maana kunamda mpk unakosa amani ukifikiria Hali ya jiji nyingine na nyingi nizaiongo wamezowea sana
MI NAWAAMBIA HII KES INAZIMWA NA. ITAZIMWA TU TUPO HAPA, WALE WATU KUNA MMAMA MKUBWA YUPO NYUMA YAO NA HAWANA CHA KUMFANYA ILA SAWA MUNGU ATALIPIA TU INSHAALLAH
Labda mwabukusi are itazimwa
wasomewe albadiri wafe
@@williamkipondamali1936Hiki ndiyo kitu pekee kinaweza kuwa adhibu
Hii Mungu atalipa Mungu atalipa kwani yeye hana kazi ingine ifike sehemu lililo kwenye uwezo wetu tuchukue hatua that's why napenda kenya hakuna ujinga kama huu
@@JERRYTEMBO-ik4zk ndo uende barabaran au uhamie Nairobi
TUNACHOTAKA NI WAKOWAPI WALIOKAMATWAA WALIOTENDA UOVU HADHARANI BILA KUOGOPA LOLOTE HII NI AIBU YA NCHI WALE JAMAA WAMEMTUKANA HATA KIONGOZI NAMBA MOJA YAAANI WALIMAAANISHA HANA LAKUTUFANY NI AIBUUU😢
Twasubiri msemaji wa jeshi aje na taarifa kamili baada ya hizi za awali. Kutoa taarifa halisi ni kulisafisha jeshi linalodaiwa ni mwajiri wa wahusika hao. Kutowa-favour watu wa jinsi hiyo ni kujipambanua kutenda haki na kuwajibika ipasavyo.
Tanzania 🇹🇿 nchi yang Naipenda.
Walofanya ukatili hawajakamatwa,
Alotoa taarifa ya uongo kakamatw😭😭😭😭😭😭
Dah
Yani weacha tu yani niupuuzi mtupo
Kumbe tunaishi na mazwazwa kiasi hiki yaani hamjui kutoa taarifa za uongo ni kosa la jinai na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii husababisha taharuki kwa wananchi? Acheni polisi wafanye kazi yao msiwafundishe kazi Tanzania sio kijiji wala kanchi kadogo mkumbuke tunapika mingi katika nchi yetu na wahalifu hutumia nafasi hiyò sio wajinga kiasi hicho wafanye uhalifu leo wakamatwe leo.
Nimegoja mpaka n mechoka upuzi semeni ukweli jamani
@@nassercurtis9579brother wasaidie maana watu wana mihemko hatari sheria zenyewe kujua changamoto, watu wanadhani kuonekana kwa video pekee ndiyo mtu ahukumiwe hawajui kama kuna interrogations, collection ya evidences nk
Mi nimekupenda baba,una hekima kweli kamanda wetu,safiii Mungu akuinue zaidi
Wamekuwa haraka kumkamata aliesambaza habari za uongo lakini wanachelewa kuwachukulia hatua waliofanya kitendo cha kikatili sasa ndo nini yani?
Unauhakika na ulichoandika
@@MujuniKamugishauhakika gani unao utaka wewe kama uhakika huo unaongelewa na hao police mavi wenzako?
Hakuna askari tanzania kama hujalijua hilo hadi sasa. Basi umelala usingz wa pono
@@MujuniKamugishautakua una stress za maisha,kwani hujasikia hapo kwamanda wa jeshi la polisi wamemkamata
Unajuaje hawajakamatwa?
Hii nchi ngumu sana kwa kweli 🙌🙌 yaan ata hhofu ya mungu tu hamna kwa kweli 🙌
Asante sana Kamanda tumekuelewa safi sana Kamanda ❤
Hao. Jamaa ninoma ningekua raisi wallah wangekula vitanzi kama Pakistan sio kwa unyanyasaji kama huo mtoto kapelekewa mpka imewaka moto jaman
3:29 3:29 3:40 3:40 3:40 3:40 3:40 3:40 3:40 3:40 3:41 3:41 3:41 3:41 3:41 3:42 3:42 3:42 3:42 3:42 3:42
3:50 3:52 3:52 3:52 3:56 3:56 3:56 3:56 3:57 3:57 3:58 3:58 3:58 3:58 4:00 4:00 4:00 4:00 4:00 4:00 4:01 4:01 4:01 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:03 4:04 4:04 4:04 4:04 4:04 4:04 4:04 4:04 4:06 4:06 4:06 4:06 4:06 4:08 4:08 4:12 4:12 4:14 4:14 4:16 4:22 4:25 4:25 4:25 4:26 4:26 4:26 4:27 4:27 4:27 4:27 4:29 4:29 4:29 4:29 4:30 4:31 4:31 4:36 4:36 4:37 4:37 4:39 4:39 4:39 4:39 4:39 4:39 4:40 4:41 4:41 4:43 4:45 4:45 4:45 4:45 4:45 4:46 4:46 4:46 4:46 4:46 4:46 4:46 4:46 4:46 4:47 4:47 4:49 4:51 4:52 4:52 4:52 4:52 4:52 4:54 4:54 4:54 4:54 4:54 4:59 4:59 4:59 4:59 5:01 5:01 5:01 5:02 5:02 5:03 5:08 5:08 5:08 5:08 5:10 5:11 5:11 5:11 5:11 5:13 5:14 5:14 5:14 5:14 5:15 5:15 5:18 5:18 5:18 5:20 5:20 5:20 5:20 5:20 5:20 5:20 5:20 5:21 5:21 5:21 5:21 5:21 5:22 5:22 5:22 5:24 5:25 5:25 5:25 5:25 5:25 5:27 5:27 5:27 5:27 5:27 5:27 5:28 5:28 5:29 5:29 5:29 5:29 5:29 5:29 5:30 5:30 5:30 5:32 5:32 5:36 5:38 5:39 5:39 5:39 5:41 5:41 5:41 5:45 5:45 5:45 5:45 5:55 5:55 5:55 5:55 5:55 5:55 5:56 5:56 5:56 5:56 5:58 5:58 5:58 6:01 6:01 6:01 6:01 6:01 6:01 6:01 6:03 6:03 6:11 6:20 6:20 6:20 6:26 6:30 6:30 6:31 6:31 6:32 6:43 6:44 6:46 6:50 6:59 6:59 7:00 7:01 7:01 7:02 7:02 7:02 7:02 7:03 7:03 7:04 7:07 7:07 7:08 7:10 7:27 7:28 7:28 7:30 7:31 7:33 7:33 7:33 7:33 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:35 7:36 7:36 7:36 7:36 7:36 7:36 7:36 7:36 7:36 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:37 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:38 7:39 4:16 4:17
JUSTICE FOR VICTIM
Tunaomba Mama Samia lichukuwe hili suala na kulifuatiliya kuna dalili ya mhanga kupoteza haki zake..DADA ALIYEBAKWA NA KULAWITIWA
Kila cku mnaomba mnaomba mbna hampewi mnachoomba
Sasa wew ulitakaje aloyce watu wanaomba wew unakuja nakusema Kila cku mnaomba je wafanyaje?
Hawajui Wanacho omba
Ajira hakuna
Maji Tabu
Umeme ndo kabisa
Makato na kodi za hapa na pale
Tabu ndani ya Hospital kwa wagonjwa
Mumekaa eti Mama Mama tunaomba 😂😂
Utakufa ukiwa unaomba
Unakaa unasem tena kwa nguvu eti Mama......
Wakati watu wanao rawiti watot wadogo na kufundisha ushoga + kuleta vitu vya ajabu vinapita kwenye macho ya viongozi tuko kimya 😢😢😢
Amka huwezi kupewa haki kwa amani kamwe😂
@@aloycef812
@@IbrahimJuma-hu1es kufanya maamuzi magumu kwenye box 2025
Ndug yang hata ungefanya maamuz magum 2025 utajisumbua tu hyo ishapitishwa kitambo sana
Chagua CCM Chagua Mama Samia❤😂😂😂Rest in peace Magu😂😂😂
Nisahihi ndomaana nnajribu kupima wakati wa mama na wakati wa Magufuli
Mwenyezi mungu atasema na kusimama nanyi naamin,,Amen
Ilo ndo jeshi la police xx nalolijua Mimi mtoa taarifa za uongo kakamatwa mapema na haraka zaid kuliko waliobaka na kulawiti😅😅😅acha nikae kmy ncje kukamatwa mie
@@rashidiamini wa nafanya uchunguz wa kina bana
😂😂😂😂😂 tunavJeshi la Ajabu sana tanzania 🇹🇿 Yaani aliyechoma Picha ya Rais alikamatwa haraka haraka na aliyeeneza Habari za uongo kakamatwa fasta ila waliofanya vitendo vya ubakaji bado wanachunguzwa 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
Kwa Taifa hili wanawake tutadhalillishwa kila siku maana hatuna mtu wa kutuonea huruma
Magufuri popote ulipo lala ulisema tutakukumbuka... Mm Leo nmepita pale ubungo kijazi interchange nmekukumbuka sana ...... RIP MAGUFURI
Kamanda ukifa unaenda motoni moja Kwa moja huwez kukamata mtu aliyesambaza picha za uongo unashindwa kukamata aliyefanya ukatili na umedai huyo dada yupo sasa kinachoshindikana nini?
Wao watuambie tu waliofanya tukio je wamekamatwa au laa basi tujue moja
Tunasemaga nchi ya Tanzania ni nchi ya aman laki tunajidanganya ni nchi ya magaid vp akamwate msambaza taarifa za uongo na wasikamatwe wabakaji hii nchi bado sana tunachangamoto
Ushawahi onaa wapi mbakaji anatembea hadharani sister😹😹
Hii nchi itanyooka siku wananchi watakapokua na akili sawa kwa uwingi!
Mwao gea sanaa kuliko vitendo police wetu wa tz kila siku tutoe ushilikiano kazi hamfanyi
Hii nchi, magu angekuwepo hawa wabakaji wangeisoma namba,hata wew usingeongea hayo,yaani aliewatuma wabakaji hamjamkamata,tusubirini taarifa rasmi
haki itendeke wanawake wapete haki zao❤❤❤❤❤1
Dar so salama bhana. Mashoga wamejaa mnawaangalia tu
Sio wanawaangalia wanawaingilia
NCHI NGUMU HII JAMAN KHAAA
Huyo mzee mpuzi sana hawa niwa kustahafu kwa jeshi la police. Siku hizi wamekuwa wao ndio Wahuni Wafisadi na Majambazi. Pumbavu... jingazzzz
Tulisikia ni police walio mbaka, wewe unasematu vijana.Au tuendelee kusema kwamba hatuna waandishi.
Tusali mungu tulinde sisi wananchi kwakosa la umasikini.
Sasa jamani isingerushwa abari ya uyu bint mngejuaje..? Angaikeni na watuumiwa msifanye mambo yawe mengi
Wao wanyonge tuu pamoja na huyo bos wao afande 😢 ila jamaniii sio poa kumfanyia vile miee ata sijaangalia kabisa hiyo video 😢😢
Mungu tusaidie
Aiseh muda mwingine tuwe tunaheshimiana.... haya ni maisha ya watu msiweke siasi emu wew afande unae ongea angekuwa binti yako kafanyiwa hivyo na unawaona wausika na ushahidi wa kutosha upo je ungepisha uchunguzi wa poloce emu tuwa na utu hata dakika moja inauma sana....
Haya ni maisha ya watu...mnayo dhamana ya kuhakikishq usalam juu yao ila nyinyi mpo kwa ajir ya kuwalinda wanye nguvu na kuwakadamiza wanyonge
Mtakuja kuleta machafuko nchini...!!
It soo painful kiongozi kama uyu wa jeshi anavyo ongea mungu yupo atawalipa kwa uongozi wenu na unawatoto mungu awakuze 😢😢😢😢
Daah... Hii nchi ina maajabu mengi saana 😂😂😂
mungu tunaomba roho ya magufuli ije kwa makonda na aje kua raisi
We miss u Magufuli
Nchi ngumu sana, bora kuwa mtumwa wa mzungu kuliko kuwa mtumwa bongo
Aisee
Aya afande kazi nzuri na huyo mlie mkamata aminywe ataje wenzake
😂😂 wenzake wa wapi tena na hukuu yeye kaongea uongo au wenzake waliomshauri kutoa tarifa
In shalah Mungu wa haki atawasha kibiriti kwa Kila aliyechagua uchafu kuusimamia
Camanda Ongera unaongea kwa weledi wa Ari ya juu sana
Iyoo c haki hapoo mnamkamataje uyooo km c uonezii toeni izo tarifa basi km izo alizo sema ni zauongo c mtupe za ukwli mnamkamta wa nini da! Nnji yangu inawatu wa ovyo kabisaaa
Mmmmmh yaan watu wanaonekana lkn bado kuna uchunguzi au mnachinguzana wenyewe
Mungu tutetee maana tunaowategemea ndio wauaji wakwanza afu pesa kwanza na hawana utu kàbisa,,
Hivi Kamanda Muroto wa Dodoma siku hizi yupo wapi? Yaani namis sana kusikia akisema kipigo cha mbwa koko.😂😂😂
Sipendi huyu dingi kaumiza sanaa Watanzania huyu mbwa
Sasa hii nchi jaman aliesambaza ndo kushikwa? Au wale wahalifu wote jmn
9:13 kwa statement hiii, she Is alive na wanajua alipo, wanaetafutwa ni wahusika. Pigeni kazi tunawapongeza na tunahamu ya majibu zaidi na na haki kutendeka kikamilifu
UTambiwa hawawezi kuoneshwa kwa sababu za kiuchunguzi lkn wao wenyewe walijionesha kwenye vdeo
Nimeshangaa sana uongo ndo umeonekana kosa kuliko wabakaji waliojionesha live duuuh MUNGU awalaani
Tuwe makini sana na viongozi wetu.
Jaman jamn jaman allah angalia swala ili kwan wewe una toa haki angalia na hii serikali tulio nayo eeeeee mola allah toa adhabu zidi ya awawatu selikali atuielewi
Hakika Serikali haiwezi kutoa taarifa ambayo haina ukweli,hio ndio taaluma.Mungu akubariki baba kamanda wetu
Mbona mnawakamata hawa walio fanya Hilo tukio mbona hamwakamati?
Ahsante kwa taarifa kamanda 🎉
Sio anayedaiwa niamefanyiwa ukatili kwaiyo anaidiwa ni kwamba hamna uhakika yaaani kuna watu mungu atawapa adhabu kali sanaaaa
Wanafki nyinyi askari duh Dhulma hiyo bana hivi ingekua ni wenzenu limemkuta hilo Sasa hivi mwlifu angepatikna,, 😢
Uongo jmn muogopen mungu nyie daaah munazidi kutuumiza mioyo wananchi vidio imejionyesha kilakitu leo munasema uongo daaah mtihan kwa kwel
Ndio maana watu wanaamuaga kulipiza kisasi kwa njia zao maana hakuna maana kabisa kushirikisha vyombo vya sheria 😢
Kwann useme inasadikika kwaiyo hauna uhakika Kama ni kweli kabakwa hii nchi ovyo sana
Eti ni nchi ya amani bure kabisa
Mmmm amakweli ukishangaa ya Tanzania 😊😅😅utasitaajabu ya kenya😮😮😮😮
Ila tukumbuke mungu yupo na hiyo laana itatafuna vizazi vyao
Kiukweli polisi Huwa siwaamini hata kidogo
Daaah nchi ya mandonga hii aliepiga aonekane anaonekana aliepigwa kumamake 😂😂
Mh jaman hawa watu walio Fanya unyama wa kumzalilisha msichana mpaka Leo bado hawajapatikana kweli
Kuongea yenyewe shida😂
😂😂😂😂😂😂
duh afande Mimi sijambo
Yani wahalifu walio tenda ule ukatili hatujapata talifa zinazoeleweka ila mtu alie sambaza talifa za uwongo amekamatwa duh hii noma sana
Kamanda hiyo hoja Haina mashiko badala ya kutafuta waharifu mnawakamata watoa taarifa ya uongo na kwanini msikanushe tu. Watu wanapotea , wanatekwa, wanuwawa, mnawapiga vituoni mwenu na kiwanyanyasa mahabusu na wafungwa, hapana mungu anawaona mtarudi uraiani mtatukuta. Bwana wa majeshi apigane nanyi
MTUHUMIWA Bwana Amosi😢...
tunawataka walio fanya kitendo tuwaone huyo amekua
na uhalaka wa wakumatwa kuliko waliofanya tukio kweli
Upuuz yan wanamkamat mtu ambae amekata kucha wamemuacha aliyekata mkono so sad😢 this is my Tanzania
Watanzania amkeni aisee😢hawa watu wanawachukulia mafala dah
Waandishi wa tanzania hawajui kuuliza maswali ama ni uoga.?
Duuuu jaman kwahy za uwongo kapatikana lkn waliofanya hilo Yukio hawajapatikana dah
Huu ni udhalilishaji kwa wanawake nchi nzima ..uchunguzi wa nini na wakati waliofanya ukatili walijirekodi kijeuri..aliyesema uongo kakamatwa.. waliobaki serikali inawafunika..
Hiví habari ya Simba na Yanga inastahili kupewa kipaumbele zaidi kuliko ya uhalifu wa ubakaji? Nchi ngumu sana hii.
Wanatuona manyani nchi ya hovyo hii
Nchi ngum sana hi ndug zangu kuomba mungu tu anusulu kwakwer
Bora kuishi Somalia kuliko Tz
Karibu 😂🤗
Hii nchi bwana,
Yani anae vutabangi au kuiba kuku anakamatwa chap nakuhukumiwa miaka 3nakuendelea.lkn anae hujumu uchumi kwakuiba mamilion yahela anabaki mtaan .au
Mtumishi wwte waserikali wanamlinda.!!!
Nyie endeleeni tu kupoteze ...yupo Mungu anae hukumu kwa Haki .
Hao vijana police tulisikia waliagizwa na boss wao,maanake ni police pia mwenye cheo nani mmama je nayeye mshamkamata? Uongozi bila Christo hamna kitu. Namlilia Mugufuli japo katu achia Paul makonda
Kuna muda tuwe wakweli jamani mtu kabakwa halafu unasema inadaiwa kabakwa Kama mñkosa uharaka wa haki kiasi watu waanze kusahau sio sawa Mkuu
😂😂😂😂😂uyo amos ameshindwa kujificha jaman mbona walio baka wamekificha vzur tuuu had jeshi la polis haliwaoni mwacheni bwana akajaribu tena kujificha walah hamto mpata
Ndio nashangaaa 😂😂 alikuwa amekaa tu kama kisimi au pumbu ndani ya chupi
Mpira kwanza uhai baadae😂😂
Aibu sana mzushi ni Hatari kuliko mlawiti na Mfiraji ???
afande amekua mtangazaji tena wa mpira atupe mrejesho bwana afande wetu😂
Ingekuwa bora zaidi kuwakamata hao walio Fanya huo ukatili. Na baada mkadili na huyo aliye samba uongo
Taarifa za binti aliye fanyiwa ukatili wa kijinsia sio za kusemekana...au kusadikika.
Taarifa hizi zinahisia katika nafsi ya kila mwenye hofu na Mungu na mwenye Akili, na Mwenye kujua haki za binadamu.
Hakika yeyote mwenye mamlaka ya kuhakikisha haki inatendeka na akanyamaza atakua mwenye kudhulumu maslahi ya ubinadamu.
Haki itendeke haraka walohusika na huo ukatili sheria ichukuwe mkondo wake, hata ikibaika kwamba watumishi wa uma wamehusika. Mamlaka msifunike maovu yao Mungu atawaadhibu nyinyi
Wahalifu mnawaficha,kwann watu wasiwe na mashaka its not fare amefichwa wapi sasa na hao watu wako wapi kama. Wa Arusha mnavyopiga kimya
Jamani police kama inawezekana hao watu wanyongwe tu jamani.
Kwahiyo mwenye kosa la jinai ni aliyesambaza uongo ila wabakaji sababu ni watumishi wa serikali Bado wanachunguzwa aiseeee ila Mungu hazinziii Wala halali
Tuanzie mawasiliano kati ya binti na mume wa afande tukimpata mume wa afande tunae afande aliewatuma na atawataja mmoja mmoja TCRA na jeshi la polisi , watu wa haki za binaadamu, maafisa ustawi, na wakuu wa jeshi la wananchi tusaidieni .
Hao wabakaji munaonaje kama Jeshi limeshindwa kuwapata tunadili nao juu kwa juu sura zao zi zinajulikana munakamata mtu aside na ahati kisa kasmbaza uongo