Wananchi Wahimizwa Kuwachangia Wenye Uhitaji Wa Miguu Bandia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 лис 2017
  • Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wananchi pamoja na taasisi mbalimbali kuunga mkono kampeni ya kuwasaidia wananchi wenye ulemavu kwa kuchangia gharama za kuwatengenezea miguu bandia.

КОМЕНТАРІ •