Wananchi Wahimizwa Kuwachangia Wenye Uhitaji Wa Miguu Bandia
Вставка
- Опубліковано 16 лис 2017
- Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wananchi pamoja na taasisi mbalimbali kuunga mkono kampeni ya kuwasaidia wananchi wenye ulemavu kwa kuchangia gharama za kuwatengenezea miguu bandia.