Huyu kuchekesha hajuiii! Halafu sijajua anataka nn kwa ba Levo maana ktk suala la comedy waweke viwanja viwili moja yey moja ba Levo tuone kama atapata kitu
Cheka tu imejaa watoto wenye utoto mwingi hebu chekini watubaki huwezi kuwasikia na ujinga huu na ni wana chekesha na wana material za kutisha sio hawa madogo
Hapo Dogo ndio unapo Rudi Kwa Baba Levo sasa kama nitakuona Club Kuna haja Gani? Ya kuja mlimani kukuona wakati nimesha kuona Club Tofautisha Ulaya na Bongo
Kuchekesha bado hujui vizuri unaanza kutengeneza bifu nawatu bila sababu kijana unaanza kutumika vibaya
Huyu kuchekesha hajuiii! Halafu sijajua anataka nn kwa ba Levo maana ktk suala la comedy waweke viwanja viwili moja yey moja ba Levo tuone kama atapata kitu
Kaulizwa vingne anajibu vingine nani kauliza kuwa 7 ni yake au sio yake iki nacho
Baba Levo 60%
Clay 40%
Basi hapa mmiliki ni Baba Levo. Na Clay ni mwekezaji.... Imeisha hii
mbona anaongea kama mke wa coy...bana huwez kufanya show club mnauwaaa comedy
Cheka tu imejaa watoto wenye utoto mwingi hebu chekini watubaki huwezi kuwasikia na ujinga huu na ni wana chekesha na wana material za kutisha sio hawa madogo
Hapo Dogo ndio unapo Rudi Kwa Baba Levo sasa kama nitakuona Club Kuna haja Gani? Ya kuja mlimani kukuona wakati nimesha kuona Club
Tofautisha Ulaya na Bongo
Babalevo cku zote yy ni kuponda vitu za watu tuu,,wcb ndio yamfurisha bichwa na pua
uyo ndo hajui kuchekeshaaa kabisaaa mvaaaa uyoo
dogo jau
baba levo anaua comedy kumbuka kwenye Comedy search, yeye pia alikuwa ni miongoni mwa Mjudge
Huyu dogo mwehu kwnz kuchekesha hauji
Yaleo kali😊
😂
Hakana akili aka kadogo
Aise noma 🤣🤣
huyu dogo hata sijajua
hata kama anachekeshekaga nini
Dogo atakuwa shogo jinc anavoongea alafu Roja fanya kazi acha mapenzi usichart mzigon
Huyu ashauriwe,anakwenda kupotea
Ila kibongobongo itakuf 7bu km mtu anawez kuj kusikia vtu vyenu atakuj mliman kufanya nin
Roja unafanya je interview huku unachat
Anadharau under ground 😅😅
Huyu dogo anataka kupotea kwenye Gemu 😅😅
Nenda wewe basi mwanangu