KILIMO CHA HOHO, KINACHO ZINGATIA TECHNOLOJIA BORA ZA UZALISHAJI KWA MKULIMA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Kutana na wakulima wa hoho, wanao zingatia technoloia bora za uzalishaji wa mazao shambani ambao, wamenufaika na mradi wa feed the future mboga na matunda Tanzania.

КОМЕНТАРІ • 30

  • @MariamJuma-pf5ky
    @MariamJuma-pf5ky 9 місяців тому

    Ahsante sana Kwa elimu nzuri

  • @josephwattay4904
    @josephwattay4904 4 роки тому +2

    Tunashukuru sana kwa elimu.

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      Tunashukuru sana kusikia kutoka kwako, na karibu sana @joseph wattay,

  • @jameslyatuu95
    @jameslyatuu95 4 роки тому +1

    Sana

  • @natoiwokizablon8467
    @natoiwokizablon8467 3 роки тому

    Very nice wamewaza kitu kizuri

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o Місяць тому

    Kipindi kizuri naomba no ya huyo mzee au wana kikundi

  • @jescajoshua5133
    @jescajoshua5133 3 роки тому

    Nimewaelewa sanaaaa... Tatizo ni soko,, tunaweza saidiwaje kwa upande wa kupata soko

  • @chiefandrewkidulile3028
    @chiefandrewkidulile3028 4 роки тому +1

    Safi sana kipindi kimekuwa bora zaidi

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      Andrea Kidulile Asante na tutazidi kuboresha zaidi na zaidi.

  • @tijadamvp0077
    @tijadamvp0077 4 роки тому

    Nimekipenda kipindi aisee.. 1 of the best.

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      tija damvp00 Shukran sana, na endelea kuwa na Digital farms

  • @setotvtz
    @setotvtz 4 роки тому +2

    Ndiyo ndiyo

  • @reubenrichard5961
    @reubenrichard5961 4 роки тому +2

    Kazi nzuri Mdogo wangu, #TakeAction!

  • @praksedamelkior8581
    @praksedamelkior8581 4 роки тому +1

    Hongera egno...kazi nzuri huyu mzee nampata...mpe pongezi

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      Prakseda Melkior Asante sana, pongezi zitamfikia mzee wetu Mzee Fransic huyo.

  • @mrsmartfarm1313
    @mrsmartfarm1313 4 роки тому +1

    Nice work boss

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      herman edward Shukran sana, tupo pamoja na endelea kuwa nasi.

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 роки тому +1

    Mawasiliano ya feed the future

  • @omarizubeda977
    @omarizubeda977 4 роки тому

    Nc idea

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому +1

      omari zubeda Asante sana na endelea kuwa nasi, kwa shughuli mbali mbali za kilimo

  • @mpelwahenry
    @mpelwahenry 4 роки тому +2

    #Ndio ndio

    • @digitalfarms9053
      @digitalfarms9053  4 роки тому

      mpelwa henry tupo pamoja kujakikisha tuna onyesha mambo muhimu ya wakulima nchini.

  • @alexandermtenga4213
    @alexandermtenga4213 4 роки тому

    nimepata muamkao wa kilimo japokuwa mwenyewe napemda sana kilimo

  • @alexandermtenga4213
    @alexandermtenga4213 4 роки тому

    mimi nipo dar es saalam tupo vijana watatu na tuna sehemu ndogo kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga ila naona bado hatujapata elimu ya kutosha kuhusu kilimo hiki je mtatusaidiaje tuweze kupata elimu hii na mwisho tuweze kufika malengo

  • @AIG7187
    @AIG7187 4 роки тому

    Kilimo ni lugha yetu
    #Vijana tusonge mbele

  • @luhembekilatu3651
    @luhembekilatu3651 4 роки тому +1

    Kama na mm ninakikundi nataka hudumu kama iyo ya drop irrigation nasaidiwaje ili kuwapata?

  • @benardalex4491
    @benardalex4491 4 роки тому

    Isia zangu nikilimo