Watu 17 kufikia sasa wameuawa kwenye mapigano ya nchi ya DRC

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Ubalozi wa Kenya mjini Kinshasa katika jamuhuri ya kidemoresi ya Congo umevamiwa kwenye mapigano yanayoendelea kusambaa kwa kasi nchini humo. Hali imeendelea kuwa tete katika taifa hilo la Jamuhuri ya Congo ambako mapigano haya yamesababisha vifo vya watu 17. Waziri wa mashauri ya kigeni Musalia Mudavadi akilaani shambulizi hili la punde huku akisema Kenya inajizatiti kusaidia kurejesha amani nchini humo DRC

КОМЕНТАРІ • 38

  • @jedidahnthenya
    @jedidahnthenya 8 днів тому +11

    Ruto must go

  • @FredWabwire-w3q
    @FredWabwire-w3q 8 днів тому +4

    Wavamiyetu, kamawakohuko na hawasaidii wakongo wanakufatubire

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 8 днів тому +5

    Hi genz hii kitu lini kenya
    Namiss maandamano sana

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 8 днів тому +3

    Kenya pia hakuna Amani,, ruto anatupiga cold war

  • @emmanuelbahati9324
    @emmanuelbahati9324 8 днів тому +4

    Nyamanzeni nyinyi nyote munaunga wazungu na Rwanda kuangamiza Congo na sote ni wa africa lakini kuna ichi zinaumiza congo natunazijuwa africa

    • @cherotichchongwony
      @cherotichchongwony 7 днів тому

      Kwani wa Tutsi wa Goma sio wa Congo? Fatshi anashinda kutaka warudi Rwanda yet ni raiya wa Congo. Kati ya Kagame na Fatshi who promoting genocide?

  • @emmanuelbahati9324
    @emmanuelbahati9324 8 днів тому

    Hio madini niyetu sisi sote wa Africa Steven Leto bt wakubwa wetu tunao wachagua ndo wanadanganywa na wazungu tuuwane wenyewe kwa wenyewe nahakuna faida, tuichie Mungu mwenyewe😂😂😂😂

  • @cherotichchongwony
    @cherotichchongwony 7 днів тому

    Sasa Kenya wanaingilia wapi kwa vita ya Hawa watu? Watu wa Congo wako rigid kushinda jiwe Hawa kuwasaidia ni ngumu. Wapigane Hadi wachoke wakitaka msaada ndio wapewe 🤦

  • @GodsmileGodsmile
    @GodsmileGodsmile 7 днів тому

    Kenya pia wanachangia kwenye hili tatizo la congo na uchomaji wa ubalozi wa kenya unamaanisha pakubwa sana

  • @KipsangTerer-c2n
    @KipsangTerer-c2n 7 днів тому

    Uzuri ya sai human rights have no power even international

  • @salimsumba7498
    @salimsumba7498 8 днів тому

    Kenya is a funny Country.

  • @yJe461
    @yJe461 8 днів тому +1

    Majority are youths. Africa must rise to levels of offering its youths justice, fairness and space for self-development. Just that, we don't ask much.

  • @Janice-x6c
    @Janice-x6c 8 днів тому +1

    Kenya itasaidia kuleta amani DRC😂😂😂😂na kenye moto inawaka na abduction

  • @damariswamaitha9688
    @damariswamaitha9688 8 днів тому +3

    We are happy not saddened all Kenyan embassies are dormant they don't help

    • @erickmironga8374
      @erickmironga8374 8 днів тому

      But in congo, wajirahumu wenyewe sababu walikataa kusaini mkataba 😳 na east Afrika

    • @nathanmbuyi8496
      @nathanmbuyi8496 7 днів тому

      ​@@erickmironga8374Wali sign .uko Dunia Gani wewe

  • @theold1-2-3
    @theold1-2-3 8 днів тому +3

    RUTO MUST GO

  • @KipsangTerer-c2n
    @KipsangTerer-c2n 7 днів тому

    Kwan Congo police hawana marisasi ama😊

    • @GodsmileGodsmile
      @GodsmileGodsmile 7 днів тому

      Congo sio kama kenya jeshi la cngo pia linaona yawa matatizo ndo maana hawataki kudhuru raia

  • @MbulwaMunyao
    @MbulwaMunyao 8 днів тому +1

    Kenya imeshidwa n kwao n uko watasaidia

    • @nathanmbuyi8496
      @nathanmbuyi8496 7 днів тому

      Kenya walienda ku Saidia then Waka ingia pande ya rebels.ruto is a traitor, betraying someone who called you for help isn't good

  • @HussainMaula-l1s
    @HussainMaula-l1s 8 днів тому

    Hapo wananchi wa kongo hawamtaki shisekedi huo ndio ukweli

  • @djkeem
    @djkeem 8 днів тому +3

    Ruto leave office

  • @jamesnganga6387
    @jamesnganga6387 8 днів тому +1

    👀😷🚗

  • @Karani-i3d
    @Karani-i3d 8 днів тому

    😮😮😮

  • @graciouskenya
    @graciouskenya 7 днів тому

    where is AU? what is their role? why did we go to haiti yet our neighbors need us? Africa wake up and do so me housekeeping

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 8 днів тому

    Mambo ni kizungu mkuti

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 8 днів тому

    HAWA SIO GEN Z HAWA NI VICHWA VIBOVU

  • @morgannyaguthii
    @morgannyaguthii 8 днів тому

    Everything ruto touches disasters

  • @muchunumuchunu
    @muchunumuchunu 8 днів тому

    Who attacked Kenyan embassy in Kinshasa? It cannot be M23 be factual

  • @ulumody
    @ulumody 7 днів тому

    𝐃𝐚𝐥𝐢𝐥𝐢 𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐚𝐦𝐚 𝐳𝐢𝐦𝐞𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐦𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐦𝐰𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐦𝐰𝐞𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐨 𝐰𝐚𝐤𝐭 𝐰𝐨𝐰𝐨𝐭𝐞 𝐮𝐧𝐚𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐬𝐨 𝐀𝐋𝐋𝐀𝐇 𝐅𝐎𝐑 𝐆𝐈𝐕𝐄 𝐔𝐒 🙏😭😭 𝐭𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐮𝐫𝐮𝐝 𝐤𝐰 𝐦𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐦𝐬𝐚𝐦𝐚𝐡𝐚 𝐚𝐭𝐮𝐩𝐨𝐤𝐞𝐞 𝐯𝐲𝐞𝐦𝐚 𝐰𝐚𝐣𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐞 🤲😭😭😭