Private hospital nyingi zina matatizo yanafanana, uongozi usio na ubunifu, na kutojali ndio mnafikia hapo.
ELCT nini tena na ufadhili mlionao. Tanzania hii tuna shida kubwa. utadhani tumelogwa.
Duhhh
Miezi 6 watu wanaishije na familia zao
Sasa hapo likitokea ujue issues wao kwa wao
Aibu aibu Aibu Aibu
Aisee Hospital nzima ilibakia na walinzi 5
Hapo wakipata lawyer mkali Aiseee pesa mdefuuu mnooooo
KWELI HALI NI MBAYA, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Alaf wanatutoza pesa mingi duh kumbe hospital ya matapeli😢😢😢
Mh usiwaite hivyo ndugu hiyo nayo ni biashara ukiweka dau la juu lazima ukose wateja issue ni hospital haina wateja 😢😢 watu wanaenda mahali wanapata huduma nafuu
Kamanda DEOGRATUS SHABANI nakupatabvyema kama mwenyenzi mungu awalinde na ninawaombea kwa mungu mlipwe fedha zenu amina
Pamoja na kuwaumiza wananchi kwenye bili za matibabu Bado wanawarusha walinzi
Asante ifikie hatua walinzi wathaminiwe maana KAZI wanayoifanya ni ngumu sanaaa
Bado wafnyakz wengne Sasa 😂😂😂😂😂 hongeren sana
Mbona wanatuchaji gharama kubwa hivyo wanashindwa kulipa walinzi?
Sitasahau walivyotuambia tundoke na mwili wa mama yetu😢😢 la sivyo tulipe laki kila siku na kafia hospitalini kwao😢😢😢
Seliani mnakwama wapi?..........
Wanakera sana hiyo DAYOSISI,
Kumbe ndo maana Jana nimeenda hospital nashangaa hakuna wagonjwa wengi Kama nilivyozoea na doctor alikuwa mmoja tu😭😭
Nani amempa mlinzi presha hivyo 😂😂
Pesa wanapeleka wap matibabu ghali kama nini ole wenu mtuchangishe kanisan uongoz mbovu
🤣🤣🤣🤣kuna wenzio watachanga😂ila jaman hela wanakula wengine afu waumini ndo wachange dah washawaona watu vitega uchumi
Serikali Wachukue hiyo Hospitali, Makanisa Mengi kuendesha Miradi ni Changamoto kwa sababu kila mtu amekodolea macho hela zinazoingia.
Mm mwezi tu naenda kulima
Ndo tatizo ra mabosi wengi ni mataperi na kuzurumu
Shehani la mgomo linachungulia nchini kila selta mgomo mgomo
Kuonyesha ulichofanya sio sahihi..umezidisha sifa...ndo na geti likataka likuuwe kabisa
Hyo hospital inaomba wagojwa waongezeke et
Yani na wanavyotibu ghali Sasa kama hii ni kampuni ya ulinzi wafanyakazi wa hospital watakua hoi
Seriani inadaiwa sana jaman wafanyakaz nao wanaandamana kila siku
Walipwe ela zao bana ulinzi ni mgumu sana lindo kulihudumia masaa 12 sio mchezo bana
Mh haibu kubwa hii selikali yenu😊
Duuuh 😢
Hivi hawana hata aibu.
Tatizo la Dar km auna pesa usiweke walinzi
Wassenge kumamae kama awataki walipe pesa alf walinde wenyewe malizao. walinzi wanalaumu kampun yao kumbe wateja hawalip je malizenu zikipotea mtaelewa achen kujar matumbo yenu
Charges za huduma kubwaa halafu hawalipi madeni looh
Inaenda kufa hii hospital Asant sn sikuwez kupata kazi hapo
Pole sana small mind kukosa kibarua sehem haimaanishi ndio mwisho wa maisha jifunze..huwezi kuwepo sehemu isiiyo kustahili na kama ulikua na video basi wakati wako hauukua bado learn to grow up
😂Hela zote izo za matibabu
Kwahiyo kwa mwez mnalipwa7000000
Katibu mkuuu vipi, ingieni ubia na serikali msiumize watu Ni dhambi
Makonda yupo tena kila mtu analianzisha lake
Kampuni ya ulinzi mfuate utaratibu sio kutumia hasira, vinginevyo mnaweza kuingia kwenye tatizo kubwa zaidi
Matapeli hao kumbe hospital ya silian Arusha
TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU
Kuna MTU anacoment miezi sita tu mmefunga....hivi unahisi wanacheza hapo watu wana familia wana tegemewa unahisi wanakula NN??....ya sanitas Dar ilianza hivyo mpaka sasa wamekimbia maboss watu wanadai hela mishahara+ NSSF za zaidi ya miaka miwili just imagine
Ni aibu hospital kubwa kushindwa kujiendesha
Haiwez jua kama wafadhili wame sepa au laaah maana hiyo hosptali niya kanisa siyo ya serikali
@@OnesmoEphrata kama wafadhili wamesepa ni vyema wangeomba msaada serikalini (PPP)
Nyie mtafungwa jela kwahyo wagonjwa wanaoletwa apo wataingiaje ndani
Watafungwa,?kwahiyo wenzako wakale wapi miezi6 looooo wagomeme mpaka kieleweke alaaa
Mamasamia raisi wa ajabu sana
Sasa mama Samia hapo kaingiaje na wewe ,mbona vitu vingine vya kufikirika tu
Miezi SITA ndo mfunge mageti
Just imagine ni ww hujalipwa miez 6 ungeishije usiongee vitu kwa sabab c ww
😂
Ujinga tu we unafanyaje kazi miezi yote hiyo hulipwi
𝗜𝗬𝗢 𝗛𝗢𝗦𝗣𝗜𝗧𝗔𝗟 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗠𝗨𝗨𝗛𝗨𝗦𝗜𝗞𝗔 𝗔𝗧𝗔𝗦𝗢𝗠𝗔 𝗖𝗢𝗠𝗠𝗘𝗡𝗧 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗜𝗠𝗘𝗪𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗔 𝗡𝗔𝗢𝗠𝗕𝗔 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗧𝗨𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗘 𝗠𝗡𝗜𝗞𝗔𝗕𝗜𝗗𝗛𝗜 𝗠𝗜𝗠𝗜 𝗔𝗨 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗠𝗡𝗔𝗡𝗜𝗨𝗭𝗜𝗔 𝗠𝗡𝗜𝗨𝗭𝗜𝗘
Tatizo kanisa linamega sana hizo hela !!