Kama kawaida uwongo mwingi, general knowledge yako ni ndogo, Kiswahili chako ni kibovu na baadhi ya majina huyajui. Unababaisha tu. Nani asiyejua kwamba kiongozi mwanzilishi wa USSR alikuwa akiitwa V I LeNin na sio "LeMin"? Zungumza kichaga. Tutatumia Google Translate.
Huyu alikuwa anajiona yeye mwarabu 😂😂😂 safi sana ilitakiwa aondoke
Semeni ukweli ulivyo
Karume sio shekh yeye ni karume tu😊
Balaa yote hii iliyo ipata zanzibari ni chini ya kichwa ya nyerere alikwa anaplani ya kuiteka zanzibari NA imetekwa karume aliuzwa NA nyerere NA akampa dola halali ya zanzibari ujinga wa hali ya juu sana mtu kuuza dola yake halali NA kupoteza mamlaka ya nchi ya zanzibari NA kutekwa NA tanganika uzembe ya hali ya juu sana sasa mpaka leo wazanzibari wanaoba uhuru wao lakini hawatapata milele maana milioni stini watapigana hadi mtu wa mwisho wala hawataacha zanzibari kamwe
Tunaomba uwe unatutumia vidio za historia tofauti,kwa kuwa sauti yako inavutia kuzisikiliza.pia unapangilia matukio kwa usanifu
Ni vitu vinavyopangwa kuzima Moto utaoteketeza maslahi ya kundi fulani lenye nguvu au mamlaka kuu yenye kitalu hivyo hao watumikao kufanya ubaya huu kwa ahadi fulani pia ufanywa ngazi tu Kisha wafanikishapo haya kesho uwekwa pembeni na kutumiwa wengine kuwapoteza watumishi wa kabla hata kwa sindano ya saratani halafu nyota wa Kalikenya anabakia
mkoloni tu.
Kweli alipigwa risasi na mtu wakaribu kabisaa
Mtangazaji unasema Uhongo bora ungetafuta ukweli alafu ndo ukarudi kwanza Jamaa anaitwa Umudi na alikua peke yake pia alikua captain wa keshi
Yay Sikitisha Kwa hakika
Aliye muua karume ni jambazi nyerere
Walikamatwa ni owongoo mtupuu
Huyu kachanganya mambo KISA hakijui ukweli wake
Nyerere ndio alimuua karume baada ya karume kumuita Nyerere na kufanya mazungumzo
Nice one good voice
Shemeji yake
Wakoloni weusi, maumbwa za wazungu are always used kuua wenzao. Kama magufuli. Weusi pumbavu walitumiwa pia wananjua what happened
Nyerere.alijiona yeye ataishi milele