NDOA NI NINI | NA KWANINI TUNAOA ? | PATA KUJUA MAJIBU YA MASWALI HAYA | NA SHEIKH WALID BN ALHAD
Вставка
- Опубліковано 5 лют 2021
- NDOA NI NINI | NA KWANINI TUNAOA ? | PATA KUJUA MAJIBU YA MASWALI HAYA | NA SHEIKH WALID BN ALHAD
#Masjid_Mtoro_Online_Tv #Ndoa_Ni_Nini?
Shukraan sana Sheikh Walid
Mashallah good lecture
waalykummsaalam waramatulah wabarakatul. Shukran jazakallakheir masheikh wetu kwa Elimu na darasa zenu znr
Mashalah ss waislam mafundi na walim wazur wakuwafundisha wa2
Shukran kwa ilimu mubashara
Shukran Mashallah
Mashllh kher in sha allah
Mambo mazury nd yanaishaga araka.....tanarakallah khery
Masha Allah ❤❤❤❤
Shukran
Mashaallah shekh wetu allah akuzidishie umri
Mashaallah tabarakallah
Mashallah
Masha Allah
Tupate kustafidi...purely Arabic.i love Swahilis
maashaallah maashaallah
Mwanaume ana vichwa viwili kimoja kikilala chengine kiko macho
Baraka llahu fiqi
Baraka llah fika not fiqi@ Halima
Ndo Hayo tunayowaambia vijana wa kileo ‘ wake Kwa waume’ wao kuzini na kuzaa bila sharti na mipangilio ‘ siku hizi wanazaa tu na kujiita masingle mother ‘ Mtihani mkubwa huu...!...wengine wanaume kazalisha kule kazalisha huku kisha anajinasibu nna watoto wanne mimi’ Watoto bila ndoa wala stara’ mtihani mkubwa sana huu..!
Mtaani kimejaa kizazi Cha zinaa...ASTAGHFILULLAH
😰😰😰😰watoto wa zinaa wamejaaaa jmn watu hatujui thamani ya ndoa 🤦🤦
@@rahimaan6481 ...mtihani sana huu’ tena wengine wanapeana sifa ‘ bora umezaa ‘ ...!....Sasa Sio mtoto tu hata wazazi nao mtaitwa WAZAZI HARAM...!
@@rahimaan6481 wanawake wengi wameamua kuishi maisha ya kimaghareeb, wanaume ni wachache kuliko wanawake.kuna haja ya kuwaoa zaid ya mmoja ili wanawake wote wawe na ndoa