SEHEMU YA 2 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
Вставка
- Опубліковано 22 жов 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Best interview ever ,.. I didn’t see before 🥲Majority tupo hapa coz G ametutoka
Every Strong And Positive Man! Real Open Love It! RIP Brother.
Booooonge la interview, Mtangazaji katulia, maswali yanaeleweka, yanaulizwa kwa urahisi,na G, ametulia anajibu simple na straight, safi saaana.
Hongera kwako mtangazani, unauliza maswali ya msingi. Wote ni wa Mungu
Mungu akupumzishe mahala salama kaka Captain Gardner G Habashi ❤
Host ametulia sana na Gadner anajibu vizuri sana hihi ndio maana halisi ya interview and professionalism, media na watangazaji wengine tujifunze kitu hapa smart mind,smart answer, smart move,perfect answer and kubwa zaidi utulivu
Jamaa anajua sana apumzike kwa Amani. Sio utaskia No comment 😏 ulikubali interview ya nini..?😅
Dunian bado kuna watu wazur,Tuzidi kumuomba Mungu atukutanishe nao, Nimependa interview and Rip Gadnar😢
Wale celebrities uchwala wa no comments...jioni mjifunze kujibu hata kama swali unataka likwepa kuna the right way ya kukwepa inakuwa haiboi...SIMPLE AND CLEAR.
Kabisa
Huyu mtangazaji huwa anaitwa nani..?anajitambua sana ......r.i.p G
Stanslaus Lambert my favourite media pesonality..... Keep it up
Yes very good journalist!
Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani
Rest in peace...
Gardner alikuwa mtu mwema sana.,, pumzika Kwa Amani bro.. Kuna mambo mengi nimejifunza kutoka katika hii interview.
One of the best interview i watched
this interview was amezing
Best interview 🎉.R.I.P Captain
Mtangazaji uko vizuri🎉
Mtangazaji uko vizuri
Kazi nzuri ksana kwa captain na mtangazaji
Rip Captain
Dunia mapito kabisaa
Yaani
Aisee kweli life is too short.Mungu tupe mwisho mwema.
Hii interview ipelekwee makta R.I.P babu G😢
Nime enjoy sana, bonge la interview
Lov u Champion
Interview Kali kinomaaa
Mtu safi
Pole Sana Caren
Pumzika kwa amani bro.
Mbona kwenye risala walisema ameacha mtoto mmoja na mjukuu mmoja. Kumbe ye mwenyewe kasema ana watoto 2?
Daaaah Pumzika kwa Amani Gadna
Big memory🙏🙏🙏🙏🙏
Mtangazaji anajielewa sana aiseee ametulia anauliza maswali kisomi saaan hakurupuki
Jamaa voice yake kama salim k
Stanslaus Lambert & Skywalker S&S - nawafatilia sana ,Emphraem Kibonde video yake ya mwisho msibani kwa Ruge nnayo hadi leo , Ruge nilisililiza sana vipindi vyake ,Gardner interview hii imetoka kama true story, 😢RIP Captain 🧢
Hii interview nimejifunza mengi 💔.R.I.P captain G
😢😢😢😢
your authoritative voice will be missed ! R.I. P brother
Nani asieee 😅😅 na ajitokezee, RIP Captain Gardner G
😂😂😂
Duh Inauma sana jamani
Innalllilah wainnalilah rajirun
Bonge ya interview
Kweli kabsaaaa
R.I.P brother
R I P captain G habashi nimejifunza kityu
RIP Gardner
R i p captain ulikuwa mtu poa sana my brother 🎉😢
RIP Legend 🕊️
Smart man rest easy
Lala salama Gadner 😭😭 pumzika kwa amani
Hio harusi jamani simungedumu kabisa mpaka mkawa na watoto
Rest in peace Captain Habash.
Nafurahi sana mtu km wewe ulikua wa pekee sanaaa.
Duh we host sio powa
Gadner nitakukumbuka mnooo
R.I.P 😢
R.I.P G
RIP brother G.
Rest in peace gardner😢
Rip bro
R.I P Gadner😭😭😭😭😭😭😭😭
😢😢😢😢
R.I.P
R.i.p Captaaain 😢😢
Uko km mimi
Rest in peace ✌️ champion