BREAKING! GEN-Z late night warning to Ruto ahead of next week MAANDAMANO |GEN-Z rejects Ruto trap

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 75

  • @AloiceOmondi-b3p
    @AloiceOmondi-b3p 3 місяці тому +6

    Do not accept his invitation. Yeye awatafute. They used to be too arrogant akiwa pamoja na wenzake like Kimani Ichungwa,Kimani Kuria, Oscar Sudi and others, so let them carry their on cross.

    • @victoriatubula7704
      @victoriatubula7704 3 місяці тому

      Please Gen Z be careful of this viper. He wants to contain you then destroy you from within .

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 місяці тому +4

    Jamani Ruto acha uraisi kwa sababu opposition pamoja na vijana hawakutaki .Kwa kifupi umejaribu kuisaidia Kenya lakini una maadui wengi.Wewe ni billionare achana na uraisi .Nenda kula maisha.Life is too short .Quit.please.

  • @VioletMakokha-ei4yt
    @VioletMakokha-ei4yt 3 місяці тому +4

    Yaaani makanisa kweli kweli iyo ni kuuza kenya Mungu shuka 😢😢😢😢😢😢

    • @humblemureithi
      @humblemureithi 3 місяці тому

      Na ndio maana huwa siendi kanisa. Nikienda kuhubiria watu huko nje kisha waniulize ninaenda kanisa gani, wanaweza kushangaa wakisikia siendi kanisa yoyote.

  • @Sofick-zg4kp
    @Sofick-zg4kp 3 місяці тому +2

    Hatutapatana na hatuitaji mazungumzo chenye twaitaji kama Gen z tulisha wakilisha hivo masuala hayo yashughulikiwe kwanza

  • @wanyamanamodi9750
    @wanyamanamodi9750 3 місяці тому +2

    If they reached Parliament without leadership.then no need for leaders.GEN Z keep it that way.Ruto and his machinery are trying to track and finish you for it's sevival.And act fast and intelligently.

  • @BarnabasOrare-iw8vj
    @BarnabasOrare-iw8vj 3 місяці тому +3

    Churches you have gone astray to kenyans why going statehouse ,tomorrow-----------

  • @ahmeddera0750
    @ahmeddera0750 3 місяці тому +2

    Sisi kama Gen z hatuna kiongozi chochote the only thing that we want from zakayo is to resign only.

  • @charitygithiomi3966
    @charitygithiomi3966 3 місяці тому +2

    Remember Gen Zs are in Diaspora too.

  • @edwardndengwa1243
    @edwardndengwa1243 3 місяці тому

    Wasiyede statehouse musimamo niruto aede

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira 3 місяці тому

    Gen Z afadhali tubaki bila kiongozi wasijarbu kwenda state house

  • @MathewOyaya-l6h
    @MathewOyaya-l6h 3 місяці тому

    Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao

  • @MathewOyaya-l6h
    @MathewOyaya-l6h 3 місяці тому

    Gen z wasichague viongozi Yao wabaki TU bila viongozi ndiyo ruto atasikisa hao

  • @JosephatAngoli
    @JosephatAngoli 3 місяці тому +1

    Genz hoyee😂😂 continue being tribeless, leaderless and tribeless let Ruto be trapped in your trap not you into his trap. I foresee a United kenya in future guys we want tribeless United Kenya in the near future fellow youths.

  • @annndungu2974
    @annndungu2974 3 місяці тому

    Gen z msijaribu kwanza hii date ya 7/7 inakuwanga blood shed

  • @cosmaswambua7758
    @cosmaswambua7758 3 місяці тому

    Gen-z wanataka kitu moja tu kutoka kwa ruto Aresign from office ndio sababu unaona its diffuculty to deal with them.and that their agenda and it will be diffucult to convince otherwise

  • @lilianjepkoechlagat
    @lilianjepkoechlagat 3 місяці тому

    Hi Waende Watu 5000 waonge na akuna Siri waweke Midia Genzs wote……wote wasike masiungumso mpaka waelewane Akuna Siri kila mutu asikia

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 місяці тому

    Sisi hatuendi popote ruto atukujie road tukiandamana akiwa pekeyake ajeatuombe msamaha vizuri aje kuma yamamake twamusubiri road na hajui lini gen z tutaandamana kesho usubui ama kesho jioni sisituko twandamana hata srgod acome rutooo twakungoja jaribu kujua sirietu sisi twajua pin yako yakukutoa roho yako ruto nabado safari yaanza😂😂😂😂😂

  • @catherinenjeri2211
    @catherinenjeri2211 3 місяці тому

    Aki ikibadilka hichukui muda ruto amego down at point anataka kuongelea na youth vile deni italipwa😂

  • @kawangoagot5885
    @kawangoagot5885 3 місяці тому

    Three things to also emphasise as must-execute list:
    1) We need to also scrutinise the ethnic representation (or lack thereof) of those holding senior positions. Does it represent the ethnic composition of the Kenyan population? Remember we all pay taxes that pay salaries for all gvt positions in Kenya.
    2) Ownership of our ancestral lands threarebed with take-over
    3) Allowing KRA to access bank and mpesa accounts of citizens at will. They already intimidate wananchi without this waiver. It would pure terror if this is allowed, not to mention hackers taking advantage and transferring our hard-earned coins. If they did it to a whole Equity Bank, what about the small fish like us???

  • @jamesowino-lq1wl
    @jamesowino-lq1wl 3 місяці тому +1

    Let them be the way they are, and focus

  • @IssaHusseinIshaq
    @IssaHusseinIshaq 3 місяці тому

    Apanah sisi tukiwa gen z atuendi state house atuite tuende kasarani stadium tuongeee sisi wote county 47

  • @MorrisMiringu
    @MorrisMiringu 3 місяці тому

    Genz wasikubali kuludi nyuma tuko nyuma Yao

  • @lilianongoro3249
    @lilianongoro3249 3 місяці тому

    Fufua walokufa kwanza ndo utafute walio hai ,ukatali ndo roho yako

  • @VioletMakokha-ei4yt
    @VioletMakokha-ei4yt 3 місяці тому +1

    Ati sio nini aki ruto wewe ni wazimu

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 місяці тому

    Tubaki bila kiongozi sisi kma gen z ruto akitaka amani na sisi kwa kiti aondoke tu apo amani itakueko barida barafu

  • @evelynundisa1780
    @evelynundisa1780 3 місяці тому

    Waende state house na wabaki Bila kiongozi

  • @kenmugambi3949
    @kenmugambi3949 3 місяці тому

    Gen z we are strong $ no tribalism we stay like brothers and sisters 💪💪💪💪💪💪💪

  • @raphaelgitonga2401
    @raphaelgitonga2401 3 місяці тому

    Maandamano hayana viongozi vijana was taifa lote aongee nao

  • @shelmithjoller637
    @shelmithjoller637 3 місяці тому

    NO CONFIDENCE WITH ALL CHURCHES AND PREACHER'S ISAIAH 56:11

  • @MercyNjeri-zd8or
    @MercyNjeri-zd8or 3 місяці тому

    Apana wasijaribu ..... Hiyo n trup

  • @janykavindu5498
    @janykavindu5498 3 місяці тому

    Gen z let's not accept any invitation, no room for that, it has been long, it's time to clean the house,

  • @FelixOreny
    @FelixOreny 3 місяці тому

    Gen z wasiende state house sisi atuna kiongozi

  • @wanaruonachif80
    @wanaruonachif80 3 місяці тому +1

    Why leaders? Why representatives? NO NEED OF LEADES ! NO NEED OF REPRESENTATIVES !!

  • @EvansWanjala-ed9me
    @EvansWanjala-ed9me 3 місяці тому

    Aende huko alikua wapi kama hakujaungua

  • @wafulabengi
    @wafulabengi 3 місяці тому

    Please your excellency , you can not repent when you are dead

  • @JacksonVuga
    @JacksonVuga 3 місяці тому

    Sisi km gen z ruto lazima aende

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 місяці тому

    Mabishops wa siku hizi ni hatari sana.Wazungu used
    A😢😢 bible

  • @160501959
    @160501959 3 місяці тому

    Outdated analogue tactics. Reject.

  • @shambebro382
    @shambebro382 3 місяці тому +1

    Get lost we are not interested.....Ruto must Go

  • @MonicaRaila-tn5rb
    @MonicaRaila-tn5rb 3 місяці тому

    Waendee wote ikibidi kwenda

  • @RobertKitsao-o7s
    @RobertKitsao-o7s 3 місяці тому

    Wasiendee ikulu kabxa

  • @mosesmuiru-qq9sx
    @mosesmuiru-qq9sx 3 місяці тому

    We need ruto to resign no matter what.

  • @KithekaKyalo-w6l
    @KithekaKyalo-w6l 3 місяці тому

    Wasikubali kudaganya

  • @othmanmtambo661
    @othmanmtambo661 3 місяці тому

    Now Kenyan mmenda Haiti kulinda Amani sasa kinawalamba nyinyi .God bless you 🙏

  • @KombekombeKombe
    @KombekombeKombe 2 місяці тому

    Iyo nisawa kabisa

  • @FelistarSammy-h1k
    @FelistarSammy-h1k 3 місяці тому

    Bila kiongozi

  • @MutukuKilonzo-uy9sq
    @MutukuKilonzo-uy9sq 3 місяці тому

    Bila kiongozi

  • @maryachieng3923
    @maryachieng3923 3 місяці тому +1

    Plz plz this one goes direct to the GEN Z kenya , I dare you dont go kwa ruto . What I want you to do plz could you remove ruto pale state house.

  • @AllanMulweye
    @AllanMulweye 3 місяці тому

    No need

  • @Zablon-ut7kv
    @Zablon-ut7kv 3 місяці тому

    Wasikupali waidwe

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 3 місяці тому

    Hao gen z .niwananchi unaposema kwamba viongozi wao wanaitajika unawachanganya kwanamna moja ama nyingine

  • @Connelllucy
    @Connelllucy 3 місяці тому

    Reject

  • @winnieNamusasi
    @winnieNamusasi 3 місяці тому +1

    Wabaki bila kiongozi

  • @amanimaluki
    @amanimaluki 3 місяці тому

    Gen zs wasiwe na kiongozi coz wakiweka kiongozi watakua wameisha

  • @FredGitonga-n5i
    @FredGitonga-n5i 3 місяці тому

    Wi nid no leadership.. mabadiliko iwepo!!

  • @albertdaluh1529
    @albertdaluh1529 3 місяці тому

    Gen -z hatuna haja ya kuonana na ruto na wala hakuna kiongozi yeyote wa wa Gen - z

  • @charitygithiomi3966
    @charitygithiomi3966 3 місяці тому

    No hakuna kwenda State House. We crossed this line a long time ago.

  • @davidkitui68
    @davidkitui68 3 місяці тому

    WE DONT HAVE A LEADER ,WE ARE ALL LEADERS ,WE ORGANIZE OURSELVES.WE ARE NOT READY TO BE CALLED IN STATEHOUSE TO BE GIVEN TEA .

  • @wanaruonachif80
    @wanaruonachif80 3 місяці тому

    Gen Z should bear and keep in mind that despite all the hardships, difficulties, killings, torture, arrests etc have gone that far simply and sincerely because of your firm foundation plus your principles. You started all without leaders neither representatives ! I urge you to continue and go it all through to the end the same without leadership nor representatives kindly pls pls !

  • @SalehOmar-q3b
    @SalehOmar-q3b 3 місяці тому

    #Rutomustgo

  • @SofiaSofia-x9z
    @SofiaSofia-x9z 3 місяці тому

    Wabaki bila kiongosi

  • @Kishil-h1w
    @Kishil-h1w 3 місяці тому

    Wabaki bila kiongozi

  • @VincentMudigululi
    @VincentMudigululi 3 місяці тому

    To remain without leader

  • @obedendayizeye6098
    @obedendayizeye6098 3 місяці тому

    Hatutaki kiongozi

  • @ruthajwang7355
    @ruthajwang7355 3 місяці тому

    Watafute wapi?.

  • @denissimiyu6072
    @denissimiyu6072 3 місяці тому

    I liked it.

  • @obedendayizeye6098
    @obedendayizeye6098 3 місяці тому

    Wasiende

  • @kareemkambetsa4983
    @kareemkambetsa4983 3 місяці тому

    Bila kiogozi