kiupande wanfu najuwa mnamajukumu mengi lkn jitahidi muwe mnatuwahishia msikae sanaa mnatuunguia radhaa ila mko vizuri tunawapenda washiriki wotenafanya vizuri big up kaka tanu ur the best
Wahusika wamebobea katika tasnia hii Munaiwakalisha Tanzania 🇹🇿 kimataifa na Africa mashariki kwa ujumla . Kikubwa msikawie katika kupost episodes twafaham kazi ya sanaa ina mandalizi mengi mujitihidi
@@Mhinaog ngoja tuone itakavokuwa baada ya kuliwa na bwana mhina 😂😂😂ila mko vizuri wote mnastahili pongezi kazi nzuri ,,,,,ckuiz hakuna haja ya kuangalia wainajelia eti kaotea gafla kageika mmbwa hongera kwa director piya ,,,,,aiseee tunaenjoy sanaaaaahabiki zenu
Kazi nzuri sanaaaa ila chaupere na mwaji mmemkosea sanaa alima lakini siri zote sitachulikana tu mda sio mrefu tanu naye ulisikia wapi mikoba inachomwa umekula chuma tanu
@@Mhinaog haijalishi kaka unatakiwa kusamehe tu na pia hiyo movie inatakiwa kutupa funzo chanya na siyo hasi kwa hiyo umakini unatakiwa. Je mnataka sisi tujufunze kulipiza kisasi au kusamehe. Inategemeana na ujumbe mnaotaka jamii ijifunze.
Safi,ila tunaomba mzidi kuboresha zaidi baadhi ya Vitu kama vifaa vya kurekodi sauti vinase sauti vizuri zaid,pia kuna vijisehemu mfupishe kama vile Watu wanapoongea kitu waongee vitu kwa ufupi ili dakika zisiishie kwenye sehemu chache🇹🇿.Hii ni Sauti ya Mashabiki🙏🇹🇿
NDUGU ZANGU MASHABIKI NAOMBA MUWE MNATUPA NAUSHAULI KITUGAN MNAPENDA KITUGAN HAMPENDI NA TUONGEZE NINI NA TUPUNGUZE NINI
Uwe una suka hvyo kuliko vile na mwenyele😂😂
Muongeze dakika
Tunaomba dakika nyingi au utupostie kila siku
Mm natka ukubal tu uwo mkoba kaka na chengine uongezee mdaa❤❤🎉 ila kazi zako nzri mashaallah ♥
kiupande wanfu najuwa mnamajukumu mengi lkn jitahidi muwe mnatuwahishia msikae sanaa mnatuunguia radhaa ila mko vizuri tunawapenda washiriki wotenafanya vizuri big up kaka tanu ur the best
Kazi nzuri jmn love you guys ❤❤❤
Kazi nzuri sana Kaka Tanu 🎉🎉🎉🎉🎉Much love from Kenya 🇰🇪
Muwe mnawaisha tu kazi.kiukweli brother Tanu unafanya kazi nzuri na tunakukubali
Safi kaka mungu akubarik sana tanu 🎉🎉
Kazi nzuri ,, from mozambique
❤❤❤❤ kwa wote ila una chelewa kuleta kazi
Naukubali sana mkoba wa mama ❤❤❤❤🎉 sema tanu unachelewesha sana siku hizi😊😊😊
Kazi nzuri sana hongera
Tusalimiane team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 sijachelewa sana
Napenda quality ya kazi yenu Ata bila kuadjust quality inaonesha vizuri 😊🌹
Tanu anatufundisha jinsi mapenzi yanaharibu vitu
Work is fantastic from Bukinafaso🇧🇫
Kazi nzuri sana ila mna chelewesha mno.... Halafu pia dakika nikido muongeze ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉love you so much my people 😊
Mackin halima ameonekana punguwani ili hali ni mambo ya kweli😢😢
Jamani mwamtesa halima 😢mungu amtue nguvu aki❤I love you halima
I love you too
Mimi wa kwaza kutoka Moçambique cabo delegado
😊😊😊😊kitu nikipendacho
Wapili kutoka Kenya nawapenda wote
jaman movie nzuri sana maoni yangu ongezeni dkk ata ziwe40
Apana hizo zinatosha maana sisi wengine tupo kazini Kila mda
Dakika zinatosha. Hata mwenye bando la 300 anaangalia
Ruy upo vzr utafika mbali
Tanu jamani 😂😂😂kwa uvulana gani ulionao😂😂😂😂
Tanu na ww unaogopa kuharibiwa uvulana wako😂😂😂😂
Munafanya muzuri kweli, muongeze munite svp
Jaman vipande vinachelewa kila saa tunachungulia utasema tunaaga marehemu😢
😂😂😂😂
😂😂😂
Wakwanza Leo ❤❤❤❤
Maskini alima sikuitaji ashindwe nauzika 😢🇧🇮
Muwe mnatoa japo kila baad ya siku 3 kipande kimoja
Wahusika wamebobea katika tasnia hii
Munaiwakalisha Tanzania 🇹🇿 kimataifa na Africa mashariki kwa ujumla .
Kikubwa msikawie katika kupost episodes twafaham kazi ya sanaa ina mandalizi mengi mujitihidi
Tunashukuru Sana kwa maoni mazuri.
Haya sibomana. pokea zawadi hiyo ya kupigwa nao na muhina ,,,,,ila muhina wewe hiyo ndo zawadi kweli,,,,sibomana umekwisha
Mtoto kanielewa mganga, waganga na Sisi tunahisia tu.
@@Mhinaog ngoja tuone itakavokuwa baada ya kuliwa na bwana mhina 😂😂😂ila mko vizuri wote mnastahili pongezi kazi nzuri ,,,,,ckuiz hakuna haja ya kuangalia wainajelia eti kaotea gafla kageika mmbwa hongera kwa director piya ,,,,,aiseee tunaenjoy sanaaaaahabiki zenu
Alima ni mpore na nimzuli
Asante
@@halimaRashidi-vj7nbnakupenda sana uko vzr sana
Muhina juwakama mwisho waubaya aibu umeshinda leo lakini mwisho utaumbuka tu 😢
Sawa, Acha tuone
tanu unajua sana
mpo vzuri
Kazi nzuri sanaaaa ila chaupere na mwaji mmemkosea sanaa alima lakini siri zote sitachulikana tu mda sio mrefu tanu naye ulisikia wapi mikoba inachomwa umekula chuma tanu
KAKA ANGU TANU pokea mikoba bwan
UKiachana na uhusika wa Muhina ila Jamaa anajua sana maua yako bro🎉
huyu mzee anaongea kama mzee magari😅😅😅
Tanu move nzuri Sana, Ila mnachelewesha sana
Wakwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zangu jamani
Another failure hutateseka sana
@@graffinamisi kama Baba 🤣
@@Shiva-wo8yh 🤣🤣🤣
Halima kazi anaiweza aseeeeee 🎉🎉🎉anajulia uhusika 🙌🙌🙌
🎉🎉❤💔🔥🔥
Njamani sijasikia uwowimbo leo naomba muurudishe tafazali naupenda 🎉🎉aliuwa baba uyo aka uwamama aka uwabibi akauwababu 😂😂😂yaani nasikiaga raaa ukiibwa😂😂😂😊
Kazi nzur hongrer san
Muhina mganga wa ovyo sanaa😂😂😂😂
Jamani nimefanya nini tena?
@@Mhinaog 🤣🤣wee atarii kaka
Tanu tanu tanu nimekuita marangapi tanu nakuona unavyopigwa na kitu kizito sana kuhusu mkoba huo we msikilize tu sandra
Mhina una roho mbaya zaidi ya shetani
Ukiona mtu anaroho mbaya ujue kuna watu walimtenda vibaya, Familia ya Tanu ilimtenda vibaya Baba yangu.
@@Mhinaog haijalishi kaka unatakiwa kusamehe tu na pia hiyo movie inatakiwa kutupa funzo chanya na siyo hasi kwa hiyo umakini unatakiwa. Je mnataka sisi tujufunze kulipiza kisasi au kusamehe. Inategemeana na ujumbe mnaotaka jamii ijifunze.
Muhina yupo sahihi ujumbe anao ngoja tuendelee kuangalia move tuone mwisho wa muhina kwenye maisha yakawaida watu kama muhina wapo sanatu
Naona Hadi wacongo wanaelewa show za tz hongereni sana DRC waasi acheni vita bwana mnatumiw viby na warwanda
Good work🔥🔥
Safii sana Tanu episode zazidi kuwa motoo ajaab
Good mawazo episod hixi
😂😂😂😂Muhina zawadi yenyewe ya kumpa sibomana ndo hio jamani 😁😁😁
Sawaaaaaa 😁😁😁
Ndio
@@Mhinaog😂😂😂
Umechelewa Sana tulimiss Mikoba
❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢
Masikini Halima polesana
Tanu kazi nzuri sana na timu yako
Sigwemana nakupenda mpaka naumwa walah ❤❤❤❤❤nikubalie please
Kaz nzr inamafunzo🎉🎉🎉🎉
halima yuko vizuri.
Kazi nzuri tanu Big up sana
😂😂😂Ila sibomana sijapenda kumuita mwenzio kibonzo 😂😂😂😂😂
Et usije ukaniharibia uvulana wangu😂😂😂
😅😅😅😅😅😂😂😂
Daa Jaman tuache masihala huyu Tanu ni mkubwa Lakin jau sana
Huyu mwanje kuna kitu anacho namuona mbali sana
Mnazingua sana
Kazi nzuri🎉
Unakaza sanaa kuwa mganga
Uyu mwina ninoma🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉
Safi,ila tunaomba mzidi kuboresha zaidi baadhi ya Vitu kama vifaa vya kurekodi sauti vinase sauti vizuri zaid,pia kuna vijisehemu mfupishe kama vile Watu wanapoongea kitu waongee vitu kwa ufupi ili dakika zisiishie kwenye sehemu chache🇹🇿.Hii ni Sauti ya Mashabiki🙏🇹🇿
Kazi Kali mno
Tanu eti hasi alibiwe uvulana wake tanu me nakuita baba yang umejuw kunivunja mbavu😂🤣
nawaza saa juuu ya muhina na sibomana ,,,,,hivi kweli muhina bora ungesema nikuowe sibomana ingekuwa sawa lkn zawadi ya kuchezea pumbu zako usiku kucha ,,,,,unazambi kaka weweeeeeee nae anaji hekesha tyuuuu
Ndugu yangu na Sisi waganga tunahisia pia 😂😂
@@Mhinaog umenichekeshaaaaa mhinaaaaaa,,,,mbona siboman
atakiona cha moto ataliwa na muhina mizimu amoja na majinii akitoka huko yuko hoiiiiii😂😂😂😂😂😂
Kazi nzurii sana ♥️♥️🎂
Kazi mzurii hata usijalii ❤❤
Tanu na pose za mjini 😁😁😁sawa
Waganga mpo nyote mmeshindwa kugundua km halima karogwa😅
Jamani sozi huo mdomo wueeeh
Pp unguzeni sauti ya mziki pindi wasanii kasema please 🙏🥺 mwatuchanganaya kiukweli
Jaman icho kiluga wengne a2elewi kabisa ongea lugha moja 2
Kwakweli mko vizuri lakini ongeza dakika boss
Big up broo
Wow kazi nzuri
Tunaomb mutuongezee dakika brother Tanu 🙏 From zanzibar
ila jamn hi muvi mzuli sana
😂😂😂😂😂😂😂ila Tanu 😂😂😂😂😂😂nyie nmechekaaaa 😂😂😂😂jamani nmecheka mpaka nimepaliwaaaa 😂😂😂😂TANU asije kuharibiwa uvulana wake na uzee huo 😂😂😂😂😂😂tumuache TANU jamani hajawahi tabia mbaya 😂
Sibomana katumiwa afu katumiwq tena😂😂😂umbea umemuadhiri kaliwq mchana kweupe😂😂😂😂
😂😂😂
Huyu kiongozi bomu mwepesi sana wamamuzi
Hahahahaha kabisa yani umeona kama Mimi
Movie nzuri sana
Tanus wewe ni bingwa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mnachelewesha sana wapendwa
Sandra nawe umempenda lin tanu😮😮😮
Tanu umeweza bro
Ushaur Wang nataka mapenz yakuuwe jamaa ang 😂😂😂
😂😂😂😂 ila Tanu mpka unawunguza mikoba sasa cuma ico umepata😂😂 mtowongezeye dakika please
We mzee tanu chukua mikoba😂😂
Jmn kueni wavumilivu iyo kusema wanachelewa kazi ngumu hii sio rahisi kitunga story kila siku
Humu watu ni wanafik San duuu halima umeumbuk achn na hizo habar kabisa
Tanu kwani hizo ndevu ndio fiucha yako maana ahiii😅❤
Safi🎉🎉🎉🎉🎉
Sasa hao siwagagq wafanye kitu wajue kama kweli au siyo kwelii
Umeona eeeh
Kabisa yn
Muhina Acha uhuni iyo ndozawadi kweli kumtafuna sibomana au ndomtoto kautaka
😅😅😅