Hello wadau na mashabiki wa Komando wa Yesu Duniani kote. Huu hapa wimbo mpya unaoitwa VITAENDA. naamini mtabarikiwa sana sana. Niombee tukutane hapa siku ya kesho na Mungu wetu atawabariki sana. Ahsanteni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Du! Aiseee umetowa kitu cha moto hakishikiki hakika kwa Yesu kuna raha yake yani wimbo nilivyousikiliza nimejikuta maaduwi zangu nawaomba msamaha ghafla wameokoka nashangaa sana
Sijui ni nini lakini naimani MUNGU ni mwaminifu sana vitapita tu havitadum napitia wakati mgum lakini nimeingia tu nimeona huu wimbo nikasema wacha nisikilize nakutana na huu ujumbe barikiwa mnoo kaka komando watu wanaotaka tusivuke ni wakaribu yetu lakini Yesu wetu ni mwema hakika vitapita vinaenda hatutadum humo inuliwa sana hakika huu wimbo ni wa wakati sahihi kwangu
Yaani when I I’m going through life challenges nikisikia nyimbo zako tu nakuwa na matumaini tena that God will answer me , niwe nasubira.Ubarikiwe sana kaka
Hongera sana komando wa yesu katika kitu uko makini sana kutoa ujumbe alafu unajua sana kutunga mistari sijawahi ona wimbo wako na ukawa simple unatoa kazi kazi kweri MUNGU akubariki sana😂😂😂❤
Wow blessed song it's true Jesus is a live and nothing permanent while the grace of our almighty is sufficient 🙏🙏🙏🙏feel loved and blessed from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪I love your music so much the messages in delivered well
Hello wadau na mashabiki wa Komando wa Yesu Duniani kote. Huu hapa wimbo mpya unaoitwa VITAENDA. naamini mtabarikiwa sana sana. Niombee tukutane hapa siku ya kesho na Mungu wetu atawabariki sana. Ahsanteni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Amen
Nmeingoja sana
Ahsante sana 🙏 🙏 🙏 @@sharonakinyi2036
Amina Mungu akubariki sana
Umeimba ujembe mzuri sana kama unapenda kazi ya comando like yako hapo
Kama unaamini vinapita na vitaenda weka like hapa
I want to see my colleagues from Kenya🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sans👆🙏
Amen
Naiongoja kwa hamu nimekuwa wa kwanza naombeni like zangu 🇹🇿
Unahaki yakupewa kweli❤
🎉❤❤❤
Kwani vinadumu basi🇱🇷🇱🇷🇱🇷
vinapita vitaenda
Nikweli
nikwel 😢
Du! Aiseee umetowa kitu cha moto hakishikiki hakika kwa Yesu kuna raha yake yani wimbo nilivyousikiliza nimejikuta maaduwi zangu nawaomba msamaha ghafla wameokoka nashangaa sana
Nimebarikiwa sana
Kijana Wa Yesu ambaye hakuna kijana anampinga
😃😃😃🙏🙏
Sijui ni nini lakini naimani MUNGU ni mwaminifu sana vitapita tu havitadum napitia wakati mgum lakini nimeingia tu nimeona huu wimbo nikasema wacha nisikilize nakutana na huu ujumbe barikiwa mnoo kaka komando watu wanaotaka tusivuke ni wakaribu yetu lakini Yesu wetu ni mwema hakika vitapita vinaenda hatutadum humo inuliwa sana hakika huu wimbo ni wa wakati sahihi kwangu
Pole sana jamaaa angu Mungu hajawai kumuacha mwenye haki hakika huyu Mungu nampenda sana amenitowa sehem ambayo kwa akili ya ubinadam nisingevuka
Amina, Kila siku unapaa Mtumishi. Ishara kwamba Neema imekubeba.
Amen 🙏🙏
Yaani when I I’m going through life challenges nikisikia nyimbo zako tu nakuwa na matumaini tena that God will answer me , niwe nasubira.Ubarikiwe sana kaka
God bless you man of God love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Barikiwa sana kaka kazi zako hazijawahi kuwa za kawaida, tunajivunia kuwa ukoo mmoja na wewe 😂😂😂
Vinapita vitaenda
Amen
Congo🇨🇩 tunakusikiliza sana❤
Ahsante sana 🙏🙏
Kazi nzur hiii
Ahsante ndugu yangu wa faida 😆🙏
VINAPITA PACHA
Amen ndugu yangu 🙏
Amina Amina Ujumbe mzuri sana huu Mtumishi
Amen
🇰🇪❤️ watching from Asia call me Manas empire
Big up brother Mungu Yu nawe!! Ila angalia pia usije kukubali kuwekewa mikono na MANABII wa uongo!!
Amen
Wimbo mzuri sana❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ahsante 🙏
Ndio hii 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana komando wa yesu katika kitu uko makini sana kutoa ujumbe alafu unajua sana kutunga mistari sijawahi ona wimbo wako na ukawa simple unatoa kazi kazi kweri MUNGU akubariki sana😂😂😂❤
😆😆🙏🙏
More grace❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli vinapita vitaenda ..kazi safi ndugu❤
Nitaka niwe wa kwanza wameniwahi bwana Yesu ni Bwana, ubarikiwe sana kamanda wangu napokea kwa jina la Yesu kristo, hii imeenda
I really like the message of our songs. Acha Mungu azidi kkuinua
Amen
Asante sana dungu wimbo zako zime sahi diya wengi Mungu haku bariki sana 🇰🇪🇰🇪
Amen
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu,vinaenda.Huduma ya baraka🎉🎉🎉
Amen
Amen komando wa yesu ubarikiwe sana nimebarikiwa na wimbo mungu azidi kuwapandisha viwango vingine Kwa jina la yesu kristo 🙏 Amen 🙏 Amen ❤
Amen
Kazi nzuri Sana Sana
Amen dadaake
God bless you 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 keep good work 🙏🙏
Baba Mungu akubariki sana baba ❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ahsante 🙏
Big up bro mungu akutie nguvu kwenye safari Eunice kutoka taveta twn holili
My song lyrics wen i remember all I go through,,,,, but ni yamda TU vitaenda
Amen 🙏
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Good Music 🎵🎵🎵🎶
Kazi zako nzuri zimejaa ujumbe Mungu azidi kukuinua juu
Amen
Amen! Amen... Wimbo huu umenituliza, was about to take my own life😢😢😢 God!
Amen
Sisi ndio wale, tunaopigwa vita bila sababu🤨
Amen
Amen,barikiwa sana mtumishi wa Mungu!Hakika vinapita vitaenda!
Am your strangest fan kenya 🎉🎉
Blessings from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kaka naomba tushirikiane kufanya kolabo nipo kasulu
Vitaenda👌💯😊
Amen
Wow blessed song it's true Jesus is a live and nothing permanent while the grace of our almighty is sufficient 🙏🙏🙏🙏feel loved and blessed from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪I love your music so much the messages in delivered well
Ubarikiwe Sana mtumishi hakika wimbo wako umenibariki🥰🥰
Kweli kabisa Mungu akubariki sana mtumishi
Amen 🙏
Wewe komando wa Yesu unajuwa kabisa. Nimebarikiwa sana na wimbo huu❤
Amen 🙏
Wimbo safi sana... barikiwa kwa yote uyatendayo!
Ninakukubali sana ndugu yangu unaweza sana
Ahsante 🙏
Wimbo mzur mno, F panja umeupiga mwingi 🙏
😃😃🙌🙏🙏
mungu aku bariki kwa wimbo mzuri mtumishi 🙏
Amen
Mimi mkenya nko oman mie mwislam bt napenda songs zako bro jikaze utajaaliwa❤❤❤❤❤❤❤
Mimi mkenya nko oman mie mwislam bt napenda songs zako bro jikaze utajaaliwa❤❤❤❤❤❤❤
Amen, hakika huu wimbo umenibariki na kunigusa kwa kweli MUNGU akubariki sana komando wa YESU👏🙏🔥
Amen
Unyenyekevu utakufikisha mbali.komando nimeona
My inspired artist
Nice one 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From Kenya we love it music 🎼🇰🇪🇰🇪
Amen
Komando music to the world. I feel like he is speaking to me
Vinapita vitaenda nice song
Amen 🙏🙏🙏
Good video🎉🎉🎉🎉❤❤
Huku nikuinuliwa TU. Wimbo mzuri.
Yangu hiyo kutoka Kenya ,vocals nazikubali
From Kenya am ohangala gospel rhumba kazi safi piga likes tukifuatana
Amen
Napenda utunzi wako kaka,kwanza wa hawanielewi,huo wimbo naurudia tangia asubuhi Hadi jioni bila kuchoka,barikiwa sana
Kaka Sam times Mungu anatupa ujumbe wa maisha ya mtu yaani ❤❤❤
Hongera sana mdogoangu
Amen dadaake 🙏
❤❤amina
You just sung the truth actually im touched by the song be blessed .
Koma ndoo nakukubal sana kakaangu mungu akuinue zaid🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan huu Wimbo mzuri sana 💃💃💃💃komando wa yesu barikiwa sana 😊
Good song
Blessed my brother,, 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 yatapita
Amen
Haleluyaaaaa Haleluyaaaaa . Unanibariki sanaaaa komando wa Yesu ni kama umeimba maisha yangu
Umeweza bro
🙏🙏🙏
Cool❤
Jina la Bwana Mungu wa Baba yetu Ibrahim liimidiwe kwa kazi zake
Mungu akiwa upande wetu, hakuna vya kudumu katikati yetu. Vitaenda .
Powerful my brother
🙏🙏🙏
Itatubeba neema
😆😆🙏🙏🙏
Wooow this song 😢😢 ❤🎉🎉🎉 is speaking my situation right now
Stay blessed man of God, umefanyika baraka sana
Uko vizuri san kak kipaj Chak nichakipekehe san
Amena kwakazi nzuri sana Mungu akubariki nakukutiya nguvu
Nice one my brother
Amen ndugu yangu 🙏
Nice song with a powerful message ❤️
Powerful message
Amen 🙏
Ujumbe mzuri ndugu Mungu akuinue zaidi
mm nilijua nileo
Ni kesho ndugu yangu 🙏🙏 o
Umeimba ukwelikomando
Can't get enough of this song ❤+254
Ameen mtumishi vinapita
I love this song...the message itself is reaching out loudly 🙏🙏🙏
Asante uminibaliki sana
Hawatajua kabisa
Amen sana vina pita vinaenda