Subhanaallah Tuishi Kwa kumuogopa Mungu huyu mzee alikuwa fedhuri sana Hadi akapewa jina la komandoo ona Mungu anavyo mdharirisha kamtia tu upofu Dunia anaiona chungu na kesho Kwa Allah analo la kujibu
Hakika hyo ni nema kwa maradhi sio adhabu hata mitume walipata maradhi na kukaa kitandani kwa miaka mingi, hvyo na ww shukuru mungu kwa kukukumbusha kuwa yy yupo na naamin unautumia muda vzr kwa kufanya tuba hvyo hata kama yapo mabaya yako ulofanya lakn wakati mungu amekufikish hatua ya kukupa mtihan wa kumkumbuka yy kabla ya mauti basi n fursa njema hvyo na ameonesha mapez yake kwako. tumtegemee Allah hakuna zipo kwake yy.
Daah Allahu Akbar,imefika wakati Dk Salmin amour (KOMANDO) anapambania umiliki wa ardhi??wakati hapo mwanzo alikua anaongea tu hii yangu na ile yangu hakuna ata wa kumpinga,,hapa bomoa pale jenga hakuna hata wa kuuliza kwanini ivyo??leo ndio amekuwa yeye ndie wakusubiria hukumu ya kuambiwa kuwa hiki chako na kile si chako..hakika wote ni viumbe dhaifu tujifunze kupitia wale waliotutangulia ul-wa una mwisho ul-wa usiokua na mwisho ni wa Allah tu.
Komando enzi zko ulifukuza kazi madktri ,walimu ,wnafunzi ,ukatulaza magharibi ,ukavunja nyumba za wapemba mtoni ,ukaanzisha ubaguzi hadi leo matunda yko yapo na ukatukana watu wazima na vijana ili ufrahishe washabik wko ,wallah hatukusamehe duniani na akhera mungu akufufue na makairi
Firaun alijita mungu akazamishwa redsea na huyu alikua comando saivi sijui tumuiteje baba hio ndio dunia ila ujue maudhi na zulma zote ulizotufanyia hatutokusamehe fildunia wal akhera
Ukiwa raisi ulifanya unavotaka basi hata umri hou badala kumstaghfir mungu wako bado unanangania viwanja kweli innalillahi wa rajioun. Mungu akuswameh na akupe unachostahiki.
Aa hakika viongozi wetu wakimaliza madaraka mungu anawahukumu sana Kwa dhulma wanazozifanya lakini kila anayeona kingora hakumbuki hilo mpaka limkute leo komandoo hee mungu amekuhukumuu mpaka unajikaza tu lakini unajua naamini unajutia na Allah ni mwingi Wa kusamehe tuombe radhi sisi tukusamehe na Allah atakuridhia inshallah
Huyu ana maradhi ya kurisi hata dada yake alikuwa hivyo na mtoto wake moja vivyo hivyo wachene kukufuru Allah only god can judge. Not nobody knows hatma zao
Kuna watu wanaamini kua viongozi flani wako peponi sasa Lisa walikua chama flani. Wengine wanaamini kua maradhi ya flani ni adhabu Ila maradhi ya mwengine nineema kutoka Kwa Mungu. Tuelewe kua wife NI viongozi WA kisiasa na sio wa dini. Allah pekee ndie ajuae amali zao
Kati yenu nyote munao tukana na kuandika yasio maana moja wenu tu anambie salmini kamkosea nini kama sio ushabik wa maneno tu. Acheni unafik bana,takriban nyote munao changia maneno makali ni waislamu.
Lipo k/samaki njia kongwe ya uwanja wa ndege ukipinda tu mkono wa kushoto opp na garden ya ksamaki kiukweli ni mtihani hiyo ni dhulma iliyo wazi kabisa
Umewambia kweli Jana nilisikia kisa wakati wa rasulu Muhammad s.a w Kuna mwanamke aliukuwali uislam na alikombolewa yani alikuwa mtumwa Tusema kaingia kwenye dini ya haki pamoja na dhiki mateso aliyo yapata huko nyuma na alipo ikingia huku akapata mtihani zaidi maana alipofua kama kawaida watu wakaanza kusema yule kasaliti masanamu yetu ndio akapata yalio mpata hilo moja baada ya hayo allah alimrejeshea na akaona kama mwanzo Kisha kama ww muislam siku zote tanguliza kheri Ww hunufaishi wala hufishi husamehe dhambi wala huandiki sawabu Maneno mabovu ya kukatisha tamaa na ww unahisi kama njia ya kuj8furahisha unaweza ata kufungiwa milango ya toba kabla hujanena fikiri mara mbili Allah amjaalie doter na sisi atupe toba ya kweli na siku ya kuondoka kwetu tupate shahada
Weww kengee usfananishee huyu na kina nabiii ayoub pumbavuuuuu sanaa wewe huyu mwanasiasaa nabiii ayoub mtumeee alaf weww ulongeaa ivooo humjuwii urais so asali kama wamtambweee arambeeeeeeeee chezeaaaaa ndevuuuuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂 akatiaa mstasbihi mfukon enz zakeee wap saiv kifupi sisi sote ni wa munguuu ila mtuu angalieee mifanoooo katika duniaaa duniaa haitutak ila twainganganiaaaaa 😅😅😅😅
Yeyote aweza kuumwa kwa miaka mingi kuliko ata salmin, waweza umwa ww au mm pasi na kumdhulumu mtu. Nabii Ayoub kaumwa miaka 18 alimdhulumu nani? Acheni izooo.
@@jebellwallace3509 kama nimemkosea mola wangu huwezi kujua wewe na naamini hajakwambia kwa iyo kosa langu na mola wangu ni siri yangu Mimi na yeye na nitakapoimba msamaha ni Mimi na mola wangu wewe hupo
Hawa wazeee wamejitakiya WENYEWE. Kumwachiya NYERERE kutawala na kumwuogopa.ndio mpaka leo tunafauwata tabiya zake .WAZANZIBAR tumeacjiwa MARAZI ya kuwogopa. Na kwa upande wa bara kaawachiwa LUKUVI azidi kuishuhukiya ZANZIBAR isije kujitawala WENYEWE. Ndio mpaka hii leo. Tumekuwa kama yelow stone
''Dola haichezewi nenda kachezee ndevu'' anamwambia maalim seif ktk miaka ile ya 1990s leo hii mungu kamrejesha chini ya walio chini pole
Chini maana nn kwnn seif alikuwa nanii mtumee. Kutokuona hataww unaweza usione. Ujafa ujaumbika usiukumu
Yuko vizur saiv huyo anaona vizur sana
Kwani ww utakua hivo ulivo ama
Labda anaona atakuwa ivo ivo
Hapa ndio utajua kuwa hapa duniani tunapita tu.
Yaani huyu mzee alikuwa na kauli ngumu miaka ya 1990-2000
😢😢
Hee masikini nakumbuka 1995 tuchezea bakora ama kwli mungu si wakucheza
Subhanaallah
Tuishi Kwa kumuogopa Mungu huyu mzee alikuwa fedhuri sana Hadi akapewa jina la komandoo ona Mungu anavyo mdharirisha kamtia tu upofu Dunia anaiona chungu na kesho Kwa Allah analo la kujibu
We si komandoo una ukomandoo mbel ya Allah (sw) dhulma utalipwa dunian
Kweli maisha! Tumuogope Allah.
Mfalme ni mmoja tu...ni Allah
Kama umeona kungun kwenye koch la muheshimiwa gonga likeee 😅😅😅😅😅😅😅
Mungu akulipe maovu yako hapa duniani na akhera pia
Masikini mwisho wa maji ni tope commando salimini pole sana
Hakika hyo ni nema kwa maradhi sio adhabu hata mitume walipata maradhi na kukaa kitandani kwa miaka mingi, hvyo na ww shukuru mungu kwa kukukumbusha kuwa yy yupo na naamin unautumia muda vzr kwa kufanya tuba hvyo hata kama yapo mabaya yako ulofanya lakn wakati mungu amekufikish hatua ya kukupa mtihan wa kumkumbuka yy kabla ya mauti basi n fursa njema hvyo na ameonesha mapez yake kwako. tumtegemee Allah hakuna zipo kwake yy.
Mungu msamehe
Daah Allahu Akbar,imefika wakati Dk Salmin amour (KOMANDO) anapambania umiliki wa ardhi??wakati hapo mwanzo alikua anaongea tu hii yangu na ile yangu hakuna ata wa kumpinga,,hapa bomoa pale jenga hakuna hata wa kuuliza kwanini ivyo??leo ndio amekuwa yeye ndie wakusubiria hukumu ya kuambiwa kuwa hiki chako na kile si chako..hakika wote ni viumbe dhaifu tujifunze kupitia wale waliotutangulia ul-wa una mwisho ul-wa usiokua na mwisho ni wa Allah tu.
Kudhulumu raha ukilipwa utasem kama umeonewa Allah tuseme tulip teleza hakika sisi niwakosaji
Sawa sawa
😂😂😂😂commando commando comandoooooo mere tumsee pryhaiiiii tumsimileeeeeee yaheèee commando ataa badooo😂😂😂😂😂😂
Yaaan huyu mzeee bado ananganiaa viwanjaaaq😅😅😅😅😅😅😅😅
Zanzibar imekuwa kama Tanganyika, mpaka rais mstasfu anaitwa changa la macho. Halafu tunajisifia ni Waumini wakubwa😂😂😂
Dah!!! Mtu AMEFANYA mambo makubwa ndani ya Taifa lake, alafu wanatokea watu kuja kumzulumu kiwanja chake😢😢
Komando enzi zko ulifukuza kazi madktri ,walimu ,wnafunzi ,ukatulaza magharibi ,ukavunja nyumba za wapemba mtoni ,ukaanzisha ubaguzi hadi leo matunda yko yapo na ukatukana watu wazima na vijana ili ufrahishe washabik wko ,wallah hatukusamehe duniani na akhera mungu akufufue na makairi
Acha ku hukumu kama nn rudi kwenu kalime masheli
Hyo nmaneno ya muendelezo nawwe ndowale aliokuwa akiwafurahisha wacha cku zisonge utapta mustakbal wko nawwe
Kahamia Kiangaa Mselemuuu!jmni mwaikumbuka hii alipoiimba juu ya jukwaaa!
Ndio upo ivyo daah
Bad wengn waliosema hakun alie pigwa uchaguz wa 2020 mi cmjuw lakin nanukuu tu alivyo Sema mwenyewe ujishuku ndio wew
Mwisho wa Maji ni tope.
Ulitutesa, ulitunyanyasa na ulituletea ubaguzi na kutudhulumu sisi na wazazi wetu. Hukaa ukayakumbuka hayo Komando wa Chuma?
Pole komandooo
Firaun alijita mungu akazamishwa redsea na huyu alikua comando saivi sijui tumuiteje baba hio ndio dunia ila ujue maudhi na zulma zote ulizotufanyia hatutokusamehe fildunia wal akhera
Nex sefe aliid
Ukiwa raisi ulifanya unavotaka basi hata umri hou badala kumstaghfir mungu wako bado unanangania viwanja kweli innalillahi wa rajioun. Mungu akuswameh na akupe unachostahiki.
Kama haki ni yke anastahiki asidhulumiwe
Haki gani unayoizungumzia ww angekua anajua haki yake asingeua wazanzibari kama kuku au ndo kujitoa faham kujifanya mmesahau
Si haki yake sheikh
Mtihani
Hoja sio kuumwa hoja aliyoyafanya katika kipindi chake yuhuhuuuuu ata bado
Aa hakika viongozi wetu wakimaliza madaraka mungu anawahukumu sana Kwa dhulma wanazozifanya lakini kila anayeona kingora hakumbuki hilo mpaka limkute leo komandoo hee mungu amekuhukumuu mpaka unajikaza tu lakini unajua naamini unajutia na Allah ni mwingi Wa kusamehe tuombe radhi sisi tukusamehe na Allah atakuridhia inshallah
Huyu ana maradhi ya kurisi hata dada yake alikuwa hivyo na mtoto wake moja vivyo hivyo wachene kukufuru Allah only god can judge. Not nobody knows hatma zao
Kuna watu wanaamini kua viongozi flani wako peponi sasa Lisa walikua chama flani. Wengine wanaamini kua maradhi ya flani ni adhabu Ila maradhi ya mwengine nineema kutoka Kwa Mungu. Tuelewe kua wife NI viongozi WA kisiasa na sio wa dini. Allah pekee ndie ajuae amali zao
Haha haha kaishiwa alizani atakua na nguvu maisha yake😅😅😅😅😅😅yuhu🎉maji yakesha mwagika hayazoleki
Kati yenu nyote munao tukana na kuandika yasio maana moja wenu tu anambie salmini kamkosea nini kama sio ushabik wa maneno tu.
Acheni unafik bana,takriban nyote munao changia maneno makali ni waislamu.
Mzee wangu uko wapi ukomando leo
Laana
Ku mbuka unae mkumbatia ni qawmu luti na na hamsemi washenzi sana kumbe ninyi
Babaangu alifukuzwa kazi bila kosa kisa mpemba mung amemuhifadhi mapema t sasa ww je apo upo unateseka bad upo hai
Hakuna mpemba anaweza kumsamehe huyu mpaka kiama
Zanzibar mwanzo mimi sijafahamu hilo eneo ni lipi naona hujaeleza kitu
Lipo k/samaki njia kongwe ya uwanja wa ndege ukipinda tu mkono wa kushoto opp na garden ya ksamaki kiukweli ni mtihani hiyo ni dhulma iliyo wazi kabisa
@@ramadhanrajab9733 Asante!
Muongo huyu komando anaweza kumpokonywa kitu mbabe bondia chuma jabari , yeye alichukua tenda ya kuwadhalilisha na kuwauwa wapemba mwache asulubike
Komando huyo!
Wale sio mapapaiii!Hawaii wacha wake ndaniii!je Leo Nani aliyeko ndanii?Allahu Mustaan!
Mbna mn maneno makali achen ujinga huyu n yy binadm kwn huwez hta we kuumwa achen maneno
Umewambia kweli
Jana nilisikia kisa wakati wa rasulu Muhammad s.a w
Kuna mwanamke aliukuwali uislam na alikombolewa yani alikuwa mtumwa
Tusema kaingia kwenye dini ya haki pamoja na dhiki mateso aliyo yapata huko nyuma na alipo ikingia huku akapata mtihani zaidi maana alipofua kama kawaida watu wakaanza kusema yule kasaliti masanamu yetu ndio akapata yalio mpata hilo moja baada ya hayo allah alimrejeshea na akaona kama mwanzo
Kisha kama ww muislam siku zote tanguliza kheri
Ww hunufaishi wala hufishi husamehe dhambi wala huandiki sawabu
Maneno mabovu ya kukatisha tamaa na ww unahisi kama njia ya kuj8furahisha unaweza ata kufungiwa milango ya toba kabla hujanena fikiri mara mbili
Allah amjaalie doter na sisi atupe toba ya kweli na siku ya kuondoka kwetu tupate shahada
Hkupta mateso yke ndomna
Weww kengee usfananishee huyu na kina nabiii ayoub pumbavuuuuu sanaa wewe huyu mwanasiasaa nabiii ayoub mtumeee alaf weww ulongeaa ivooo humjuwii urais so asali kama wamtambweee arambeeeeeeeee chezeaaaaa ndevuuuuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂 akatiaa mstasbihi mfukon enz zakeee wap saiv kifupi sisi sote ni wa munguuu ila mtuu angalieee mifanoooo katika duniaaa duniaa haitutak ila twainganganiaaaaa 😅😅😅😅
Umenena kwa kweli
YAA RABBI MSAAMEHE TELEZA ZAKE ZOTE HUYU MJA WAKO NA UMJAALIE MWISHO MWEMA AMIIN
Yeyote aweza kuumwa kwa miaka mingi kuliko ata salmin, waweza umwa ww au mm pasi na kumdhulumu mtu. Nabii Ayoub kaumwa miaka 18 alimdhulumu nani? Acheni izooo.
Kuumwa kupo na kufa kupo Sasa itategemea kipi umekutanguliza
Commandoo awa kama kasungura
Enzi za utawala wa huyu km jina lako ni Hamad bora tu utafute tope uponde lkn sio ajira hupati ng'ooo na ukipata utajua kusulubiwa
kamandoo analilis kiniwanja wakati Zanzibar yote ilikua yake aliwamjia watu nyumba bula huruma
Yaani umegawa maeneo utafikiri umetoka nayo tumboni. Dua ya mdhulumiwa hairudi hata awe kafiri.
Leo unalalamika mpaka ww na umri uwo ati kiwanja
Allah amekuweka mfano wewe bwana toka nje uombe watu msamaha utapata tabu sana nguvu zisitudanganye
Mmmmmh kwani wee sabiha mangapi umemkosea mola wako,ama naweee tuyamwage yako hadharani
@@jebellwallace3509 haya na yangu yamwage hapo nikuombe msamaha
@@jebellwallace3509 kama nimemkosea mola wangu huwezi kujua wewe na naamini hajakwambia kwa iyo kosa langu na mola wangu ni siri yangu Mimi na yeye na nitakapoimba msamaha ni Mimi na mola wangu wewe hupo
Hiii
Yaarabi tustiri waja wako
Hakuna mkamilifu kuongoza kazi hata majumbani mwetu ni hivyo hivyo M/ mungu amsamehe alipokosea weye kakukosea mwengine kamfurahisha ndo hivyo
Hio ni adabu ya dunia bado Akhera inakusuhbiria jaza yako
Mmmmmh mbona weee mwenyewe hujatwambia maovu yako
Allah ndo mwenye kujua mwisho wa mwanadamu
Wapi leo zama zako za kuwatesa watu subiri siku ya hukumu
Hukumu si yeye tu na sisi sote ww waweza yako ukayaona madogo tuseme mengi huko kuna kipimo la kuomba allah atusamehe na tuondoke akiwa ameturidhia
Commando Sasa malipo hapahapa wengine never coming back again home Africa zanzibar 95 and 2000 🤯
Hawa wazeee wamejitakiya WENYEWE. Kumwachiya NYERERE kutawala na kumwuogopa.ndio mpaka leo tunafauwata tabiya zake .WAZANZIBAR tumeacjiwa MARAZI ya kuwogopa. Na kwa upande wa bara kaawachiwa LUKUVI azidi kuishuhukiya ZANZIBAR isije kujitawala WENYEWE. Ndio mpaka hii leo. Tumekuwa kama yelow stone
Ilokoch bov Au vp
Wale sio mapapaiii!Hawaii wacha wake ndaniii!je Leo Nani aliyeko ndanii?Allahu Mustaan!