Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.
Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.
Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂
Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪
MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏
Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana
Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi
Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema
Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas
Karibu sana midfielder ya boli#Aziz
Aziz karibu jangwani pia
Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪
Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie
Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚
Kalibu sana jangwan aziz andambile
Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida
Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri
Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa
All the best champ 🎉🎉
Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
Good💪💪💪💪💪💪
Karibu sanaaaaa Aziz
Ni Andabwile sio Andambwile
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
Karibu sana andambwile
Nakubari kaka angu kibwana
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
Yangaaaa tamuuu
Chief kingalu waukae
Karibu kijana
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
Yanga bingwa
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
Gud signing
Toa vitaulo baba,chief kingalu
Karibu jangwani🎉azizo
Am the first today
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
Mwamba kutoka mbeya sas
N andabwile
❤❤❤
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
Muñgu mwema
Mh unaoji vizul sana
Nyanga raha san
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
Yanga oyeeeeee
❤
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi
Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika
👏💛💚
Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅
Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂
@fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘♂️
Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂
@@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa
😂😂😂😂😂
Rafu zmeongezeka😂😂😂
Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??
Kila la kher xana mwaang
Mmh
Kibwana katoa wapi madevu
😊😊😊
Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo
Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo
Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!
kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
🎉🎉🎉🎉
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE
Bwana kibwana,
Yanga bingwa