AZIZ ANDAMBWILE NA KIBWANA WATOA YA MOYONI BAADA YA KUSAIN MKATABA MPYA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 93

  • @protasmalala7559
    @protasmalala7559 26 днів тому +18

    We jamaa kwa mwandishi WA habari mzuri kuwahi kuwashuhudia!maswali ya msingi Sana unauliza..hongera Sana.

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 26 днів тому +22

    Ikawe heri kwenu na timu nzima kwa ujumla, kwa neema ya Mungu mjaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa zaidi.

  • @chollejr_
    @chollejr_ 26 днів тому +16

    Ko Aziz andambwile atacheza😂😂😂 CAF champion 🏆 league,lkn timu nzima ya makolo watakua shirikisho 😂😂😂

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein 26 днів тому +10

    Ishallah nakuamin mdogo wangu uko pow💚💛🖤🫶✍️✍️✍️💪💪💪

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 26 днів тому +12

    MUNGU ni mwema karibu Sana AZIZ kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 26 днів тому +10

    Naipenda Yanga sanaaaaa nipo tayari kufia hii logo thankyou God 💋💋🙏🙏

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 21 день тому +1

    Karibu sana Aziz jagwani,team kubwa,changamoto kubwa pambana tu💪💪💪

  • @claratango9262
    @claratango9262 26 днів тому +9

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 26 днів тому +5

    Waallaah mm nimefurahi sana mwanangu kibwana kuongeza mkataba mungu akupambanie nakupenda sana

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 26 днів тому +6

    Kila la kheri inshallah maendeleo mazuri na kazi Iendelee

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 26 днів тому +8

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote twende zetu KUJISAJILI. Ila Tuwe juu zaidi

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 26 днів тому +6

    Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 26 днів тому +6

    Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh 26 днів тому +7

    Karibu sana midfielder ya boli#Aziz

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 26 днів тому +7

    Aziz karibu jangwani pia

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 26 днів тому +3

    Tuna wategemea Sana Mungu awatunze 🔰🔰💪

  • @EllyTeddy
    @EllyTeddy 26 днів тому +1

    Andambwile umeingia sehemu sahihi sana karibu yanga Africa mungu akusaidie

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 26 днів тому +4

    Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z 26 днів тому +3

    Kalibu sana jangwan aziz andambile

  • @AlenAlen-m2e
    @AlenAlen-m2e 25 днів тому +2

    Nakutakia msimu mzuri kak fanya san mazoez ongeza juhudii kak unanuka shida

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 26 днів тому +5

    Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri

  • @fosteryona7581
    @fosteryona7581 26 днів тому +5

    Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa

  • @ceciliadaudi1632
    @ceciliadaudi1632 26 днів тому +4

    All the best champ 🎉🎉

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 25 днів тому +2

    Huyu Azizi ni Victor Wanyama Mtupu 🔥🔥🔥🤔🤔🤔

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 24 дні тому +1

    your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu 26 днів тому +1

    Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda

  • @DaudFulberth
    @DaudFulberth 26 днів тому +7

    Good💪💪💪💪💪💪

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 26 днів тому +4

    Karibu sanaaaaa Aziz

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 26 днів тому +4

    Ni Andabwile sio Andambwile

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 26 днів тому +3

    Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri

  • @ayubhumakuya8466
    @ayubhumakuya8466 26 днів тому +6

    Ckaribu kamanda🎉🎉🎉

  • @EliasHassan9
    @EliasHassan9 24 дні тому +1

    Karibu sana andambwile

  • @RenatusKasinga
    @RenatusKasinga 26 днів тому +3

    Nakubari kaka angu kibwana

  • @NahlaRashed
    @NahlaRashed 26 днів тому +4

    Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 26 днів тому +2

    Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪

  • @EsterPeter-h9d
    @EsterPeter-h9d 26 днів тому +3

    Yangaaaa tamuuu

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 26 днів тому +2

    Chief kingalu waukae

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 26 днів тому +2

    Karibu kijana

  • @IsmailKipande-ss1ty
    @IsmailKipande-ss1ty 26 днів тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga

  • @emanuelyngoi4440
    @emanuelyngoi4440 26 днів тому +1

    Good ❤ yanga 🎉🎉🎉

  • @Fine_boe_11
    @Fine_boe_11 26 днів тому +5

    Young African champion of caf champions league 24/25 🔰

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 26 днів тому +2

    Yanga bingwa

  • @chollejr_
    @chollejr_ 26 днів тому +3

    Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂

  • @user-zx9jd4jt8e
    @user-zx9jd4jt8e 26 днів тому +2

    Gud signing

  • @yusuphkimomwe4276
    @yusuphkimomwe4276 26 днів тому +1

    Toa vitaulo baba,chief kingalu

  • @user-to9xw2mc9m
    @user-to9xw2mc9m 26 днів тому

    Karibu jangwani🎉azizo

  • @brandinamwakasendeka4756
    @brandinamwakasendeka4756 26 днів тому +4

    Am the first today

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 26 днів тому +2

    💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 25 днів тому

    Chief baba...🔥🔰🇹🇿

  • @SylvesterSafari-nf4fy
    @SylvesterSafari-nf4fy 26 днів тому +2

    Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube

  • @StavoBella-pf6hu
    @StavoBella-pf6hu 26 днів тому +3

    Mwamba kutoka mbeya sas

  • @samsonkomba0000
    @samsonkomba0000 26 днів тому +2

    N andabwile

  • @QuilalaselemaneSaide
    @QuilalaselemaneSaide 26 днів тому +2

    ❤❤❤

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 26 днів тому

    Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 25 днів тому

    Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 26 днів тому +2

    Muñgu mwema

  • @JordanKaunga
    @JordanKaunga 24 дні тому

    Mh unaoji vizul sana

  • @AgnesNangale
    @AgnesNangale 26 днів тому +1

    Nyanga raha san

  • @salumkitam6960
    @salumkitam6960 26 днів тому +1

    Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 26 днів тому +5

    Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 26 днів тому +1

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 26 днів тому

    Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔

    • @mamuwadomu8448
      @mamuwadomu8448 26 днів тому +1

      Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 26 днів тому +2

      Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 26 днів тому

      Wewe @user-hy3en6vk5f nakuona unajaribu kuanzisha vugvugu uwachanganye wananchi

  • @abdullatifuhashimu4594
    @abdullatifuhashimu4594 25 днів тому +1

    Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma1670 26 днів тому +1

    👏💛💚

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 26 днів тому +4

    Wasenge mnanipelekesha kinoma na sitaki kukosa kitu daaah😅😅😅😅

    • @fatmasaaed144
      @fatmasaaed144 26 днів тому +1

      Yani utake usitake utakopa ata Bandon tuu izi raha😂😂😂😂😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 26 днів тому

      @fatmasaaed144 sina namna hii ni familia yangu napaswa kuihudumia kama hivi,lipa ada,nunua bidhaa zao na angalia contents zao🪡💚👌🧘‍♂️

    • @barakamwafwalo4680
      @barakamwafwalo4680 26 днів тому +1

      Yaani ukikosa bando tu video kadhaa zimemwagika 😂😂

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 26 днів тому

      @@barakamwafwalo4680 ni marufuku kukosa

    • @user-wp4fc6tf8f
      @user-wp4fc6tf8f 26 днів тому +1

      😂😂😂😂😂

  • @chollejr_
    @chollejr_ 26 днів тому +2

    Rafu zmeongezeka😂😂😂

  • @DismasPhidason-vu6bt
    @DismasPhidason-vu6bt 26 днів тому +1

    Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda 25 днів тому

    Kila la kher xana mwaang

  • @Chinaomary-rn3qf
    @Chinaomary-rn3qf 26 днів тому +2

    Mmh

  • @chollejr_
    @chollejr_ 26 днів тому +1

    Kibwana katoa wapi madevu

  • @zakayomaendeleo
    @zakayomaendeleo 26 днів тому

    😊😊😊

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 26 днів тому +2

    Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 25 днів тому

      Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6k 23 дні тому

    Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad 26 днів тому

    kiukweli mashabiki yanga tunainjoi tenakwasana tu nawatakia kwakilalaeli nimwana Mozambiquei 🇲🇿

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 23 дні тому

    ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 26 днів тому

    Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin

  • @dastankhalifa5672
    @dastankhalifa5672 26 днів тому

    Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow 26 днів тому +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 26 днів тому

    NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 26 днів тому

      AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 26 днів тому +2

    Bwana kibwana,

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo 26 днів тому

    Yanga bingwa