Mzuri lulu mashaallaah anandoto mungu atamsaaidia ishaallaah
Lulu fikiria tena mamy hakuna anaeweza kumlea mama Yako zaidi ya ww tu kuwa na subra kwanza Tunakutakia mengi mazuri Allah atakuafungulia milango ya kheri Inshaallah
Pole sana mdogo wangu Lulu kwa changamoto ya kumuuguza mama na hongera kwa kupambana Mungu akutangulie na akufungulie milango ya rizki
Lulu ww ndo mtt wa pekee kaaaa mdgo wng umlee mama! Usiende Oman wala Dubai Mungu atakufungulia milango ya rodhikiiii tulia tuliaaa apo sawa mdogo wng ? Kwanza mama atakuwa mpeke sana kukosa
Wadada waoman muda mwingine tupunguze sifa wa kumshauri kuja oman ni munira na kina zabibu uyu lulu mnamshaur aje oman alafu mama yake je mtamuhusumia nyie
ila kweli uya semayo mama yake ni mgonjwa alafu uwarabuni miaka miwili ni mingi na uludi mpaka mkataba uwishe au ujilipie mwenyewe nauli ukivunja mkataba uwarabuni ni mtihani kwakweli😥
Lulu mwanangu,usimwache mama Yako,safari ya maisha Siri ya Mungu,Wala SI ndefu,au wewe au mama Yako.usimlaumu mtu ,SI Kila anauwezo wa kutunza mzazi,ni karama,wenzio waombee.Mungu hatakuacha.unabarikiwa sana katika hilo
Aje Oman Mama ake atamuuguzia nani mnaposhauri angalieni cha kushauri
Usijenge pakubwa jenga vyumba 2 halafu utamaliza kdg kdg ili msaada ikikata umeshapata pa kukaa na mama
ASSALAMU ALEIKUM. MA SHA ALLAH MUNGU AKUBARIKI, LULU KWA USHAURI WANGU USIMUACHE MAMA KWANI PEPO ZETU ZIKO CHINI YA NYAYO ZAO. NA MUNGU AKUWEKE MAMAKO
Huyu Dada Ana akili Sana Mashaallah yaan angatokea tajiri mmoja tu huko tz akampa kazi hapo hapo tz awe karibu na mama ake.
Mama lulu hawezi kukaa namtu baki mwanae ndio kila kitu wew ukitaka kusaidia saidia utaki kaa kimy usiombe yasikukute matatizo
Lulu asimuache mama maana huyu mama yako inatakiwa akae na mtu mwenye Imani sana bila wewe haiwezekani kabisa anataka kuangaliwa
Lulu mdogo wangu usimwache mama ukaja kufanya kazi nchi za njee mama anahitaji upendo wako
Mashallah Allah Akuwezeshe Inshallah
MashaaAllah walhamdulliha 🥰 ujenzi ssa ni mngumu kweli ila mungu akusimamie umalize Salam habty ❤
munguakusaidiye jamani lulu anatakiwa kushikwamkono ila asimuwache mamayake yanirohoinauma ilanimtihani
Mashallah lulu mungu akutangulie mtt mzuri wewe una akili wa kukushika mkono tu huna kwenye family usije ukajichanganya na mapenzi bado kwanza
❤❤❤❤❤manshy huu dada ni ujasiri mungu amzidishie kila la kheri na ampe afya njema mama inshallaah
Naic❤
Wawooo mashallh hongrmmy
Naomba mawasiliano
Lulu pore sana kwa changamoto ipo siku yatapita tu swara rakuja omani mimi sikushairi kutokana na mama ariyake
Serekali yetu pendwa muoneni lulu jamani apate apate kazi japo mdogo apate kumlea mama ake
Mashallah
Masha ALLAH, ALLAH akufanyie wepesi katika ujenzi aamiyn
Mungu akutangulie mtoto wetu ln shaa Allah
lulu usiende popote mlee mama yako Mungu atakuletea riziqi.
mama huyu ni mgonjwa hakuna atakae toikea kumlea vile unamlea
Lulu nakushauli usiende inje baraka zako ziko mguuni mwa mama yako iombe serekali milizie mama samia akusaidie usimache mama yako plz lulu nisikie
Mdogo wangu ungeomba tu msaada wa kazi bila kuweka sana nje ya nchi sabab hapo utapata mda wa kumuangalia mama pia anakuhitaj ukiwa nje na kumuacha mama unaweza kujikuta unapoenda huna hata aman
Sasa anavyo taka kwenda nje ya nchi uyu mama atabaki na nani uyu mama maradhi yake kukaa na mtu ambae hana Imani na mapenzi hawezi kukaa nao kabisa asaidie tu apate ata vyumba viwili na biashara kidogo na.bima ya uyo mama basi mengine yaendelee atakuja kujutia akimuacha ni ushauri tu
Na hakuna mtu wa kumwachia sasa yeye sijui amewazaje mpaka kufikia kusema ivyo
Sasa ataombaomba mpaka lini mwishowe watu watamchoka kwa kuomba bora afanye kazi itamsaidia katoka maisha yake asije geuka yakawa kama ya munira namna watu walivyomchoka kumsaidia
Ivyo watu mnasema tu mimi mwenyewe nimefanya kazi nje na nilimuacha mama yangu mgonjwa na tumezaliwa wengi lakini sizani kama Kuna siku niliacha kutoa chozi na kumuombea kichwa kilikua kinauma kila siku Kwa mawazo sembuse yeye hana hata mtu mmoja wakusema atakaa na uyo mama ndio maana nikasema angepata ata vyumba viwili tu na msinngi wa biashara ,yule munira so wakumfananisha na mtu mwingine yule hajielewi, uyu yupo vizur sana mungu amuongoze Inshallah 🙏
@@AminaLibisa
Kutokana mama lulu hana mtu wa kumuangalia zidi ya lulu sioni sababu ya lulu kuenda huko nje ikiwa mama yupo Tz atamchanganya mama ake bure na istoshe anavomcare yy sivo atakavomcare mwengine apate tu 2bedrooms kimoja kiwe na choo na ukumbi na choo koridoo huko mbele akiwa na uwezo ndio atajenga gorofa yake yakumkabidhi mamake
Jamni lulu atafutiwe kijiduka karibu na mamayake awe karibu nae
Huyu mama bado Lulu mwanangu nakuomba usimwache tumsadie Lulu kwa kumwezesha
Hivi nyie mnamshauri aende Dubai
Hivi Dubai mnakufaham.?
Unakaa ofsini mpaka basi
Leo tajiri huyu. Kesho huyu. Utarudishwa ofsini mpaka ujute
Tulia na mama mdogo wangu hao watu wapya huko nje wanachangamoto zao hasa kazi za mtu angalau umeajiriwa na sector ya umma afadhali.
Kikubwa watanzania huyo mtoto kasoma na kama ana vyeti husika awezeshe apate kazi karibu na mama.
Hivyo viongozi wamuone, mana ni watoto wachache wenye moyo wa kuhangaika na wazazi wao
Kuondoka ni mtihani kwa kweli ahangaike hpa hap tu jamani
munguakuzidishiye barkakwakwakuwakaribusana namzaziwako utapatabaraka kwasababuukovizurisana na mamayakoutabatabarakanyingikwamungu
Mtihani kweli ila Allah anawaona
munguakusimamiye
Jamani kwa ushauri wangu kwa Lulu chonde acjaribu kumwacha mama yake na kwenda mbali.
Hapa Tanzania kuna nafasi nyingi za kazi serikalini na makampuni makubwa ya watu binafsi yanamwona Lulu jamani wampatie kazi ili aweze kuendelea kumtunza mama yake. Lulu anaweza kwenda mbali mama akapata changamoto, sishauri Lulu amwache mama Aende mbali.
Mim mwenyew siungi mkono suala la lulu kumuacha mama.. Hapana aisee hatoweza kukaa na mtu mwingine huy mama zaid y mwanaye
Ndio wapi uko !
Jamni ssh ngapi hapo lulu
Homboza iko wapi
Lulu hio rai ifikirie sababu hali ya mm sio wakuwachine mtu ungejaribu tena huo mradi
Hujambo aje omani Lulu
Kila kitu kina sababu zake, Allah akupi usiloliweza na pia kuna kitu utapata kwa kumlea mama lulu usife moyo wala usihuzunike
Ktk hizo nchi tafuta kaz online hata za kulea wazee au watt babysita
Dubai ajaribu taxi Dubai
Karibu dubai
Mama yake utakwenda kukaa nae wewe acheni upumbavu mama yake ndio pepo yake mwacheni amuhitimize mama yake
kwakweli lulumwenyewe kamaniwatuwanawojali alikuwaanahataji malezikwaduguzake yeyepamoja namamayawo ilabasituwana rohombaya naniwashezi
Karibu Oman mmy
Mumuelewe lulu hataki kazi za Oman za ndani maana kataja London na Amerika na kasema kasoma sasa nchi kama hizo kuzifikia sijui tunamsaidiaje
Lulu usimwache mama mm siungi mkono hata kidog suala la lulu kuondoka
aende Dubai kunamshahara mkubwa sana milioni moja
Milion moja una uhakika?ndio kwanza unaanza kaz useme upewe milion
Mmh wacha uwongo dubai gani hiyo.abu dhabi.sharjah.ajman.alain.sio kweli nina mwaka wa sita sijawahi kusikia shaghal akalipwa milion weeee 😮😮😮usitudanganye .wakati sisi tupo huku
@@MawaddaKhamis-zh3kc bwana mimi nalipwa milioni 2 nanipo dubai wevipi
polesana bintikwamtiniunayopitiya munguakusimamiye na akukingenama aduwi
Bei gani uko kiwanja please
Nilifili lulu kazaliwa peke yake 😢nimalayanguyakwanza kusikia anandugu zake
nibinti anayependakujituma
masking huyubiti anahitajimsada sana
Wanaosema aje oman,kisha mamake atamuacha na nani
Usiende huko mdg angu hiyo thamani uliyobarikiwa kwa kumlea mamako kwa nyakati ngumu ni Baraka tosha. Kuwa na subra mola atakufungulia maana mtu baki hawezi kumuhudumia km ww
Namimi piya nimepapenda nuwapi apo naomba namba ili nieeze kufika uko
Niwe jiran yako
umempanenozuri fabi nikweliunayomwambiya hogerasana kijajaukovizuri
Mama ndio jihadi amtunze mm yk
fabi
saidiyenijamani apatehatavyuba.viwoli
yaniinaumasanaila muguatasimama nawewe
oboza polini kunamanyoka mie hiko naogopa manyoka
Kila mtu oman mwajua nyumba zote ninzur kama zenu
Omboza ndo wap
Njoo Oman tu
Hiv nyie kila mtu mnamuita oman alafu akishakuja oman mama yake utamtunza ww
Jamani ushauri mnaoutoa sio mbaya lakini mfikirie mama yake atabaki na nani kuuguza sio kitu cha mchezo akiondoka nje ya nchi atajuta Lulu anahitaji kukaa na mama yake akipata vyumba 3 akae na mama yake