КОМЕНТАРІ •

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 4 місяці тому +17

    Jamani ushauri mnaoutoa sio mbaya lakini mfikirie mama yake atabaki na nani kuuguza sio kitu cha mchezo akiondoka nje ya nchi atajuta Lulu anahitaji kukaa na mama yake akipata vyumba 3 akae na mama yake

  • @RumeysaHussein
    @RumeysaHussein 4 місяці тому +10

    Mzuri lulu mashaallaah anandoto mungu atamsaaidia ishaallaah

  • @MaryamAbass-z1x
    @MaryamAbass-z1x 4 місяці тому +7

    Lulu fikiria tena mamy hakuna anaeweza kumlea mama Yako zaidi ya ww tu kuwa na subra kwanza Tunakutakia mengi mazuri Allah atakuafungulia milango ya kheri Inshaallah

  • @salmasaidy87
    @salmasaidy87 4 місяці тому +10

    Pole sana mdogo wangu Lulu kwa changamoto ya kumuuguza mama na hongera kwa kupambana Mungu akutangulie na akufungulie milango ya rizki

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 місяці тому +10

    ❤❤❤❤chenye na mpendea huu dada Hana Tama kama mnira

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 місяці тому +1

      Et kam mnira mnira ni akili ndo han sii kusem ana tamaa

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 місяці тому +9

    Lulu ww ndo mtt wa pekee kaaaa mdgo wng umlee mama! Usiende Oman wala Dubai Mungu atakufungulia milango ya rodhikiiii tulia tuliaaa apo sawa mdogo wng ? Kwanza mama atakuwa mpeke sana kukosa

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 4 місяці тому +14

    Wadada waoman muda mwingine tupunguze sifa wa kumshauri kuja oman ni munira na kina zabibu uyu lulu mnamshaur aje oman alafu mama yake je mtamuhusumia nyie

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 4 місяці тому +1

      ila kweli uya semayo mama yake ni mgonjwa alafu uwarabuni miaka miwili ni mingi na uludi mpaka mkataba uwishe au ujilipie mwenyewe nauli ukivunja mkataba uwarabuni ni mtihani kwakweli😥

  • @catherinefaney948
    @catherinefaney948 4 місяці тому +3

    Lulu mwanangu,usimwache mama Yako,safari ya maisha Siri ya Mungu,Wala SI ndefu,au wewe au mama Yako.usimlaumu mtu ,SI Kila anauwezo wa kutunza mzazi,ni karama,wenzio waombee.Mungu hatakuacha.unabarikiwa sana katika hilo

  • @cecyngitu4752
    @cecyngitu4752 4 місяці тому +19

    Aje Oman Mama ake atamuuguzia nani mnaposhauri angalieni cha kushauri

  • @HadiaAme-x5f
    @HadiaAme-x5f 4 місяці тому +10

    Usijenge pakubwa jenga vyumba 2 halafu utamaliza kdg kdg ili msaada ikikata umeshapata pa kukaa na mama

  • @MahmudOmar-gx2ok
    @MahmudOmar-gx2ok 4 місяці тому +1

    ASSALAMU ALEIKUM. MA SHA ALLAH MUNGU AKUBARIKI, LULU KWA USHAURI WANGU USIMUACHE MAMA KWANI PEPO ZETU ZIKO CHINI YA NYAYO ZAO. NA MUNGU AKUWEKE MAMAKO

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 місяці тому +4

    Huyu Dada Ana akili Sana Mashaallah yaan angatokea tajiri mmoja tu huko tz akampa kazi hapo hapo tz awe karibu na mama ake.

  • @erinestangowi7785
    @erinestangowi7785 4 місяці тому +6

    Mama lulu hawezi kukaa namtu baki mwanae ndio kila kitu wew ukitaka kusaidia saidia utaki kaa kimy usiombe yasikukute matatizo

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani 4 місяці тому +5

    Lulu asimuache mama maana huyu mama yako inatakiwa akae na mtu mwenye Imani sana bila wewe haiwezekani kabisa anataka kuangaliwa

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 4 місяці тому +3

    Lulu mdogo wangu usimwache mama ukaja kufanya kazi nchi za njee mama anahitaji upendo wako

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 4 місяці тому +2

    Mashallah Allah Akuwezeshe Inshallah

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 4 місяці тому +2

    MashaaAllah walhamdulliha 🥰 ujenzi ssa ni mngumu kweli ila mungu akusimamie umalize Salam habty ❤

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому +2

    munguakusaidiye jamani lulu anatakiwa kushikwamkono ila asimuwache mamayake yanirohoinauma ilanimtihani

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому +2

    Mashallah lulu mungu akutangulie mtt mzuri wewe una akili wa kukushika mkono tu huna kwenye family usije ukajichanganya na mapenzi bado kwanza

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 місяці тому +3

    ❤❤❤❤❤manshy huu dada ni ujasiri mungu amzidishie kila la kheri na ampe afya njema mama inshallaah

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 місяці тому +2

    Naic❤

  • @AishaMrisali
    @AishaMrisali 4 місяці тому +1

    Wawooo mashallh hongrmmy

  • @edithtarimo5872
    @edithtarimo5872 4 місяці тому +4

    Naomba mawasiliano

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 4 місяці тому +2

    Lulu pore sana kwa changamoto ipo siku yatapita tu swara rakuja omani mimi sikushairi kutokana na mama ariyake

  • @MaryamAbass-z1x
    @MaryamAbass-z1x 4 місяці тому +3

    Serekali yetu pendwa muoneni lulu jamani apate apate kazi japo mdogo apate kumlea mama ake

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 4 місяці тому +1

    Mashallah

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 4 місяці тому

    Masha ALLAH, ALLAH akufanyie wepesi katika ujenzi aamiyn

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 4 місяці тому

    Mungu akutangulie mtoto wetu ln shaa Allah

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 4 місяці тому +2

    lulu usiende popote mlee mama yako Mungu atakuletea riziqi.
    mama huyu ni mgonjwa hakuna atakae toikea kumlea vile unamlea

    • @WARONGATV
      @WARONGATV 4 місяці тому +1

      Tatizo hela za matumiz zitatoka wap asipofanya kaz

  • @aminamagaji2645
    @aminamagaji2645 4 місяці тому +1

    Lulu nakushauli usiende inje baraka zako ziko mguuni mwa mama yako iombe serekali milizie mama samia akusaidie usimache mama yako plz lulu nisikie

  • @lizzynkifu4179
    @lizzynkifu4179 4 місяці тому

    Mdogo wangu ungeomba tu msaada wa kazi bila kuweka sana nje ya nchi sabab hapo utapata mda wa kumuangalia mama pia anakuhitaj ukiwa nje na kumuacha mama unaweza kujikuta unapoenda huna hata aman

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 місяці тому +6

    Sasa anavyo taka kwenda nje ya nchi uyu mama atabaki na nani uyu mama maradhi yake kukaa na mtu ambae hana Imani na mapenzi hawezi kukaa nao kabisa asaidie tu apate ata vyumba viwili na biashara kidogo na.bima ya uyo mama basi mengine yaendelee atakuja kujutia akimuacha ni ushauri tu

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому +2

      Hata mimi nakuunga mkono kwa kuwa mama kashamzoea lulu

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 4 місяці тому

      Na hakuna mtu wa kumwachia sasa yeye sijui amewazaje mpaka kufikia kusema ivyo

    • @khadijachacha3156
      @khadijachacha3156 4 місяці тому +2

      Sasa ataombaomba mpaka lini mwishowe watu watamchoka kwa kuomba bora afanye kazi itamsaidia katoka maisha yake asije geuka yakawa kama ya munira namna watu walivyomchoka kumsaidia

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 4 місяці тому +1

      Ivyo watu mnasema tu mimi mwenyewe nimefanya kazi nje na nilimuacha mama yangu mgonjwa na tumezaliwa wengi lakini sizani kama Kuna siku niliacha kutoa chozi na kumuombea kichwa kilikua kinauma kila siku Kwa mawazo sembuse yeye hana hata mtu mmoja wakusema atakaa na uyo mama ndio maana nikasema angepata ata vyumba viwili tu na msinngi wa biashara ,yule munira so wakumfananisha na mtu mwingine yule hajielewi, uyu yupo vizur sana mungu amuongoze Inshallah 🙏

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому +1

      @@AminaLibisa
      Kutokana mama lulu hana mtu wa kumuangalia zidi ya lulu sioni sababu ya lulu kuenda huko nje ikiwa mama yupo Tz atamchanganya mama ake bure na istoshe anavomcare yy sivo atakavomcare mwengine apate tu 2bedrooms kimoja kiwe na choo na ukumbi na choo koridoo huko mbele akiwa na uwezo ndio atajenga gorofa yake yakumkabidhi mamake

  • @Swehahabibtiy
    @Swehahabibtiy 4 місяці тому

    Jamni lulu atafutiwe kijiduka karibu na mamayake awe karibu nae

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 4 місяці тому +1

    Huyu mama bado Lulu mwanangu nakuomba usimwache tumsadie Lulu kwa kumwezesha

  • @SinaHafidhi
    @SinaHafidhi 4 місяці тому +3

    Hivi nyie mnamshauri aende Dubai
    Hivi Dubai mnakufaham.?
    Unakaa ofsini mpaka basi
    Leo tajiri huyu. Kesho huyu. Utarudishwa ofsini mpaka ujute

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaa

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 4 місяці тому

      😂😂😂😂 bora ncheke maana

  • @khamisjina8833
    @khamisjina8833 4 місяці тому

    Tulia na mama mdogo wangu hao watu wapya huko nje wanachangamoto zao hasa kazi za mtu angalau umeajiriwa na sector ya umma afadhali.
    Kikubwa watanzania huyo mtoto kasoma na kama ana vyeti husika awezeshe apate kazi karibu na mama.
    Hivyo viongozi wamuone, mana ni watoto wachache wenye moyo wa kuhangaika na wazazi wao

  • @Swehahabibtiy
    @Swehahabibtiy 4 місяці тому

    Kuondoka ni mtihani kwa kweli ahangaike hpa hap tu jamani

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    munguakuzidishiye barkakwakwakuwakaribusana namzaziwako utapatabaraka kwasababuukovizurisana na mamayakoutabatabarakanyingikwamungu

  • @MasouHusein
    @MasouHusein 4 місяці тому +1

    Mtihani kweli ila Allah anawaona

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    munguakusimamiye

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 4 місяці тому +1

    Jamani kwa ushauri wangu kwa Lulu chonde acjaribu kumwacha mama yake na kwenda mbali.
    Hapa Tanzania kuna nafasi nyingi za kazi serikalini na makampuni makubwa ya watu binafsi yanamwona Lulu jamani wampatie kazi ili aweze kuendelea kumtunza mama yake. Lulu anaweza kwenda mbali mama akapata changamoto, sishauri Lulu amwache mama Aende mbali.

    • @saeaaa8571
      @saeaaa8571 4 місяці тому

      Mim mwenyew siungi mkono suala la lulu kumuacha mama.. Hapana aisee hatoweza kukaa na mtu mwingine huy mama zaid y mwanaye

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 місяці тому +2

    Ndio wapi uko !

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 4 місяці тому +2

    Jamni ssh ngapi hapo lulu

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 4 місяці тому

    Homboza iko wapi

  • @SalimAli-sk3gi
    @SalimAli-sk3gi 4 місяці тому

    Lulu hio rai ifikirie sababu hali ya mm sio wakuwachine mtu ungejaribu tena huo mradi

  • @fatmahaji7639
    @fatmahaji7639 3 місяці тому

    Hujambo aje omani Lulu

  • @MialiiMohamed-m9l
    @MialiiMohamed-m9l 4 місяці тому

    Kila kitu kina sababu zake, Allah akupi usiloliweza na pia kuna kitu utapata kwa kumlea mama lulu usife moyo wala usihuzunike

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 4 місяці тому

    Ktk hizo nchi tafuta kaz online hata za kulea wazee au watt babysita

  • @SalimAli-sk3gi
    @SalimAli-sk3gi 4 місяці тому

    Dubai ajaribu taxi Dubai

  • @ZawadiShabani-gk1dy
    @ZawadiShabani-gk1dy 4 місяці тому +3

    Karibu dubai

    • @shamzone388
      @shamzone388 4 місяці тому +1

      Mama yake utakwenda kukaa nae wewe acheni upumbavu mama yake ndio pepo yake mwacheni amuhitimize mama yake

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    kwakweli lulumwenyewe kamaniwatuwanawojali alikuwaanahataji malezikwaduguzake yeyepamoja namamayawo ilabasituwana rohombaya naniwashezi

  • @AishaMrisali
    @AishaMrisali 4 місяці тому +2

    Karibu Oman mmy

    • @Fatima1234-wl1nu
      @Fatima1234-wl1nu 4 місяці тому +1

      mama yake utamlea wewe?

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 4 місяці тому +1

      Akishakuja oman mama yake utamlea wewe hovyo😏

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому

      Mumuelewe lulu hataki kazi za Oman za ndani maana kataja London na Amerika na kasema kasoma sasa nchi kama hizo kuzifikia sijui tunamsaidiaje

    • @rayaabdul-gm3hc
      @rayaabdul-gm3hc 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂​@@Fatima1234-wl1nu

  • @saeaaa8571
    @saeaaa8571 4 місяці тому

    Lulu usimwache mama mm siungi mkono hata kidog suala la lulu kuondoka

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 4 місяці тому +3

    aende Dubai kunamshahara mkubwa sana milioni moja

    • @khadijatanzania8040
      @khadijatanzania8040 4 місяці тому

      Milion moja una uhakika?ndio kwanza unaanza kaz useme upewe milion

    • @kadejahh4036
      @kadejahh4036 4 місяці тому

      Weee dubai ipi iyo ya 1 .m e

    • @rayaabdul-gm3hc
      @rayaabdul-gm3hc 4 місяці тому

      Mmh wacha uwongo dubai gani hiyo.abu dhabi.sharjah.ajman.alain.sio kweli nina mwaka wa sita sijawahi kusikia shaghal akalipwa milion weeee 😮😮😮usitudanganye .wakati sisi tupo huku

    • @MawaddaKhamis-zh3kc
      @MawaddaKhamis-zh3kc 4 місяці тому

      Dubai ipi iyo mm nipo mwaka wa 10 sijalipwa iyo 1 M 😮

    • @zaituniallyjuma8845
      @zaituniallyjuma8845 4 місяці тому

      @@MawaddaKhamis-zh3kc bwana mimi nalipwa milioni 2 nanipo dubai wevipi

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    polesana bintikwamtiniunayopitiya munguakusimamiye na akukingenama aduwi

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 4 місяці тому

    Bei gani uko kiwanja please

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 4 місяці тому

    Nilifili lulu kazaliwa peke yake 😢nimalayanguyakwanza kusikia anandugu zake

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    nibinti anayependakujituma

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    masking huyubiti anahitajimsada sana

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 4 місяці тому

    Wanaosema aje oman,kisha mamake atamuacha na nani

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo 4 місяці тому +2

    Usiende huko mdg angu hiyo thamani uliyobarikiwa kwa kumlea mamako kwa nyakati ngumu ni Baraka tosha. Kuwa na subra mola atakufungulia maana mtu baki hawezi kumuhudumia km ww

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 4 місяці тому

      Huyo mama mbona anaongea peke yake maskini 😢😢😢

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 4 місяці тому

      @@SafiyaJ-yw2vthayupo sawa

  • @SalhaMwampagatwa
    @SalhaMwampagatwa 4 місяці тому

    Namimi piya nimepapenda nuwapi apo naomba namba ili nieeze kufika uko

  • @erinestangowi7785
    @erinestangowi7785 4 місяці тому +1

    Ndio wapi uko omboza

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 4 місяці тому +1

    Niwe jiran yako

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    umempanenozuri fabi nikweliunayomwambiya hogerasana kijajaukovizuri

  • @MariamHamad-lr3xc
    @MariamHamad-lr3xc 4 місяці тому +1

    Mama ndio jihadi amtunze mm yk

  • @hamisiabubakari5025
    @hamisiabubakari5025 4 місяці тому

    fabi

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    saidiyenijamani apatehatavyuba.viwoli

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 місяці тому

    yaniinaumasanaila muguatasimama nawewe

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 4 місяці тому

    oboza polini kunamanyoka mie hiko naogopa manyoka

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 4 місяці тому

    Huko homboza ni wapi fabi

  • @MonaAlmona-c1n
    @MonaAlmona-c1n 4 місяці тому

    Kila mtu oman mwajua nyumba zote ninzur kama zenu

  • @Nadhifasaid-1654
    @Nadhifasaid-1654 4 місяці тому

    Omboza ndo wap

  • @AishaMrisali
    @AishaMrisali 4 місяці тому +1

    Njoo Oman tu

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 4 місяці тому +2

      Hiv nyie kila mtu mnamuita oman alafu akishakuja oman mama yake utamtunza ww

    • @shamzone388
      @shamzone388 4 місяці тому

      Akae na mama yake amlee ende dubai oman suudia mama atabaki na nan???