Huyu mwamba anapotea Sana mda ambao sanaa ya komedi ikimuhitaji na mashabiki zake bado wakimuhtaji pia. Mwamba anajua Sana Ila ndo hivo sijui management kna ktu hkiko sawa
Unakula jamani duhuuu😂😂😂
Brother K unatuangusha now days
Mbona klip zako zimepungua Mpya hatuoni mkuu
Mobimb umeshib ach kujilazimish
Chapa msosi No sireep
nowadays bro k anatuangusha kabisa.....i miss old you