Mzozo watokota mpakani Meru na Tharaka Nithi kutokana na utata wa umiliki wa mashamba
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Mzozo unaendelea kutokota katika Mpaka wa kaunti za Meru na Tharaka Nithi kutokana na utata wa umiliki wa Mashamba. Wakazi wa Eneo la Kauthene huko Kiamuri B walifunga Barabara ya Marimanti kwenda Mati kupinga hatua ya Serikali ya Tharaka Nithi kuendelea kujenga Chuo cha kiufundi eneo la Kauthene, kwenye ardhi inayozozaniwa.
Wakikuyu n mashamba n wizi it's better if God perish all of you