WANANCHI WAANDAMANA - WAFUNGA BARABARA MERERENI - KIA kwa SAA 4 - WAMTAKA MAKONDA AFIKE KUWASIKILIZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • WANANCHI WAANDAMANA - WAFUNGA BARABARA MERERENI - KIA kwa SAA 4 - WAMTAKA MAKONDA AFIKE KUWASIKILIZA
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 26

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 годин тому +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @Filbert-pe2xm
    @Filbert-pe2xm Годину тому

    Realy i love maasai tribe , wakiamua kudai haki yao wanasimamia mpaka wapate , pili pongezi kwa mkuu wa wilaya huyu mwamba na mwamini sana siyo mbabaishaji

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 6 годин тому +1

    Malalamiko haya kila kukicha,bila kuchukuliwa hatua kuyatatua mwisho wao sio mzuri.wanamuangusha mama Samia kwani yeye hawezi kumulika kila sehemu.

  • @NjeruSimon-k8t
    @NjeruSimon-k8t 5 годин тому +1

    Arusha ongereni kwa misimamo imara

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 5 годин тому

    Watanzania niwazuri sana

  • @kotei-s3l
    @kotei-s3l 7 годин тому +2

    Wamasai wakiamuaga ngumu sana labda mungu aingilie selikali iwe inatekeleza wanacho ahdi

  • @MussaRamadhan-c2p
    @MussaRamadhan-c2p 6 годин тому

    Jamani mbna nihatari tazaniya ni ichi ya amani

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Годину тому

    Serekali mpaka watu waandamane ndio mseme mtatatua ?fedha za sherehe zipo kwa hivyo hata za utekelezaji zipo msidai mtatafuta

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 4 години тому

    Sawa mko sahihi jambo litekelezwe mapema kabla maafa hayaja toke

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 5 годин тому

    Mlikuwa hamuoni siku zote?

  • @EmmanuelMlowe-u1v
    @EmmanuelMlowe-u1v 5 годин тому +2

    Viongozi wapuuzi sana kwani hawaonagi?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Годину тому

      Nashangaa watu wanakazania Makonda Makonda utadhani viongozi hawaoni sjui kwa nini watu wanajitoa ufahamu na kuabudu mtu mmoja

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 59 хвилин тому

      @leokamil6284 ukiwa buelewi kwann anatajwa makonda wakati viongozi niwengi utakuwa huna akili the kabisa.wenye akili wanajua kwasababu wanaona makonda pekee ndie wanaemwamini anaweza kuwadaidia kupata wanachotaka

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 50 хвилин тому

      @EmmanuelMlowe-u1v Kuandika hujui hivyo ni dhahiri huna hata akili ya kujitambua.Elimu elimu elimu

    • @EmmanuelMlowe-u1v
      @EmmanuelMlowe-u1v 44 хвилини тому

      @leokamil6284 Kama ishu nikuandika hata mende anaweza kiandika

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 34 хвилини тому

      @EmmanuelMlowe-u1v Mpuuzi kweli wewe

  • @Yana_queen1
    @Yana_queen1 4 години тому

    Nani kasikia mpk Samia aje😂

  • @NehemiaZakeo
    @NehemiaZakeo 6 годин тому

    ninini tena hapa ? viongozi tanzania hii, nini shida?

  • @Jackson-n2c
    @Jackson-n2c 4 години тому

    Kama nchi hii wana inchi wake wote wangelikuwa wa masai yani tungesha piga hatua.... Mfano CAG ilionyesha jinsi Trillions zilivo potea halafu viongozi wanatupotezeshea

  • @BensonTemu-h6h
    @BensonTemu-h6h 5 годин тому

    Ninyi ndiyo mliomba barabara ya lami. Matumizi yake ninlazima yawe sawa😂

  • @mollelamosole8352
    @mollelamosole8352 7 годин тому +3

    Makonda ni mtetezi wa kuonyesha haki ya watu wanyonge au mnyoge bila kuangalia tamaduni na dini na kuhakikisha haki inapatikana kwa wakati Hongera sana Mkuu Makonda.

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 Годину тому +1

      Makonda likiwa niswala la kisheria,hawezi kulitatua.

    • @mollelamosole8352
      @mollelamosole8352 41 хвилина тому

      @hamadsheni8997 nikweli lakini yeye ana paza sauti lifanyike kwa wakati na haraka na jibu lina patikana kwa wakati wananchi wake wana maliza dukuduku kwa wakati na haraka

  • @Yana_queen1
    @Yana_queen1 4 години тому

    Chezea maasai society ww…

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 6 годин тому +1

    Makonda ni mtu mzuri sana anawasikiliza wananchi wake

  • @PendoMarco-x3u
    @PendoMarco-x3u 6 годин тому

    Makonda ni mtu mzuri sana anawasikiliza wananchi wake