@@adriankenyan7938 Kwa sababu ww sio muislam sasa hujui mafundisho ya uislam na Mila za kislam ndio maana so mm hata ww usiokua muislam Nina hki nije nikufunze nikuelimisha uislam nisipo kujuza na maswali mola wangu atanienda niuliza so kma ww Niko na haki ya kukujuza sembuse muislam mwenzangu?
Matondoni yetu inarudi nyuma kwa starehe nyingi znazotuduwaza hatufikirii maisha ya kesho. Mtu ALLAH amekujaalia umenda mpaka hija unarudia mziki kama mzee Yusuf. In terms of development matondoni iko chini. Na yote yanaletwa na kulala kwa vijana wenzangu lakini iko siku InshaAllah ntaamsha Matondoni.
Sasa mwataka watu waishi vipi jamanini??? Mina kazi wewe Pia uingiae UA-cam ukiangalia pi haitakaniwi. Jamani mwataka watu waishi vipi mupite mukitishia watu tu na Dini dah
"Daah,wooooow,the lady in white is on fire" Hena pia imempamba,i shall add the one in blue too! Your smiles catches the hearts of millions.Watching from Germany.Mashalla!! Hiyo ndio pwani yetu,zawadi yetu kutoka kwa "Allah (swt) Mumtaz.
Hizo ni laana wajinga watu wa bara wamechukua wadhifa zote nyinyi mumezubaa mwatokwa na ute Wajinga!!! Kuwapa faida nyengine kununua miraa na wao wanchukua faida wanapeleka kwa Munaoza
@@kenyamind7225 elimisheni lakini killa mmoja amefunga mdomo Vipi? Au nikufurahia ingekuwa sharia ya kiislamu ipo basi moja kwa moja watu hawa wangetiwa adabu ili kuzuwia munkar usizidi kuenea kwa wengine
@@ummuabdsheikh9581 ww waona hilo ni watu kutiwa adhabu,huko kwenye dini sudia mbona wauwa wafanyikazi na huku ndio dini imeanza hawaadhibiwi,sio kumuhukumu mtu anae hukumu ni mungu
Mungu atulinde Sisi na vijana wetu vitakavyo kuja huyu ameenda mpaka maka Mambo bado ni hya
KWa Raha zake maisha ya mtu wayaingilia nini? Wewe mwanzo tengeza paa laki uongozeshe ukoo wako kisha uebde ukashifu wengine
@@adriankenyan7938 Kwa sababu ww sio muislam sasa hujui mafundisho ya uislam na Mila za kislam ndio maana so mm hata ww usiokua muislam Nina hki nije nikufunze nikuelimisha uislam nisipo kujuza na maswali mola wangu atanienda niuliza so kma ww Niko na haki ya kukujuza sembuse muislam mwenzangu?
Matondoni yetu inarudi nyuma kwa starehe nyingi znazotuduwaza hatufikirii maisha ya kesho. Mtu ALLAH amekujaalia umenda mpaka hija unarudia mziki kama mzee Yusuf. In terms of development matondoni iko chini. Na yote yanaletwa na kulala kwa vijana wenzangu lakini iko siku InshaAllah ntaamsha Matondoni.
Sasa mwataka watu waishi vipi jamanini??? Mina kazi wewe Pia uingiae UA-cam ukiangalia pi haitakaniwi. Jamani mwataka watu waishi vipi mupite mukitishia watu tu na Dini dah
inshaallah kheri tutaona hayo maendeleo yako
"Daah,wooooow,the lady in white is on fire" Hena pia imempamba,i shall add the one in blue too! Your smiles catches the hearts of millions.Watching from Germany.Mashalla!! Hiyo ndio pwani yetu,zawadi yetu kutoka kwa "Allah (swt) Mumtaz.
Yasikitisha....ALLAH YUSTUR, if mmbo ni haya kweli kutakua na MWAMKO?
Meraaaaassss uko juuuuuuu
Nikiwa ndani ya tchundwa nakupata vizuri sana mera mere dost
Maskini za mngu twasikitisha ummati Muhammad mumesahau kuwa kuna mwanandsni???
Mwanandani*
Safi Sana Mera twende nalo
Hatuko uzunguni mix wanawake na wanaume kisha washikana mikono wakicheza
na mato huna
Asantaa
What is going on here. Can someone explain please. Which country is this.
Afghanistan
@@SO-ef9he ghai😂😂😂😂😂
Lamu, Kenya.
It's part of a wedding occasion, where they are shaving and grooming the groom before he goes to get the bride.
Faza island in kenya. U can call it lamu
Sasa huyo alikaa hapo katikati anaenyolewa ndio nani bwana harusi??🤣🤣au vipi?😂
ndiye
Sherehe zetu nzuri lkn hao wanaume wafanyaje katikati ya wanawake kwani hakuna waimbaji wanawake?Tuji tahidini sherehe za wanawake ziwe wanawake pekee ili MUNGU awe radhi nasi
na madj mueke wanawake
Weeeee tondooo kujaaa sasaaaaa
Alie wako ni wako hata kama uziziie
Mamakeeeeeeeeeeeeee
Hizo ni laana wajinga watu wa bara wamechukua wadhifa zote nyinyi mumezubaa mwatokwa na ute
Wajinga!!! Kuwapa faida nyengine kununua miraa na wao wanchukua faida wanapeleka kwa
Munaoza
Akuna haja ya kutukana. Wakatazeni kwawema ndipo utapata thawabu.
@@nurukavumbi2477 wameoza mpaka ute wawatoka wacha waambiwe ukweli
@@ummuabdsheikh9581 Si lamu peke yake ata kwetu mombasa pia hali moja. Lazma tuelimishane kwa njia mwafaka.
@@kenyamind7225 elimisheni lakini killa mmoja amefunga mdomo
Vipi? Au nikufurahia ingekuwa sharia ya kiislamu ipo basi moja kwa moja watu hawa wangetiwa adabu ili kuzuwia munkar usizidi kuenea kwa wengine
@@ummuabdsheikh9581 ww waona hilo ni watu kutiwa adhabu,huko kwenye dini sudia mbona wauwa wafanyikazi na huku ndio dini imeanza hawaadhibiwi,sio kumuhukumu mtu anae hukumu ni mungu