Kwani Yesu Na Muhamadi Kati Yao Mtume Yupi Na Nabii Yupi Mana Yuko Mmoja Katumwa Mwingine Alikuja Kama Nabii Nabii Alianza Kuja Baadae Akaja Mtume Alietumwa Sasa Uyo Devi Anajiita Mtume Au Nabii Alafu Kama Anajiita Nabii Kwanini Kanisa Lake Linataja Jina Lingine Mashehe Kwanini Msiwe Mnatoa Neno Nasio Kuwazungumzia Watu Amjui Kama Mnausika kuwakuza Majina Yao
Hapo shekhe anazungumza na waislam kumzungumza yule jamaa sababu ni wapo watu waislam wasoitambua dini yao kwahiyo anawatabaisha waijue haki na pia anafikisha daawah kwa wasokua waislam
Umeelewa vibaya ndugu yangu maana kuwataja ni nzuri zaidi kwa sababu inaonesha kujiamini na uhakika na anachokisema. Alafu, mtume ni lazima kuwakumbusha wengine, akikataa ni ameasi na nabii ni hiari ingawa nyakati fulani huwa yanatumika .pamoja/kiutoano/replacement kumaanisha ni wajumbe wa Allah s.w. Allah ndio ajuaye
Sikuelewi unachokiongea hapo ninachokiona kwako ni WiVU uliokujaa moyoni,fanya na wewe ya kwako tushuhudie. Waislam ndio wachawi Wakristo hawatumii uchawi,wanatumua Mamlaka waliyopewa na Mungu.Maana ni watoto wa AHADI kutoka kwa Isaack.
Asante Shee Allah akupe umrii murefuu udumu zaidii kaka
❤❤allahu akbar allahvakujaalie twaha tupate kujifunza zaidi
MashaAllah ❤huo ndy utukufu wa allah
Allah akujalie
AashaaAllah sheikh Allah akupe umri mrefu pmj nasi
Amina ya Rabbi
Allahu Akbar ❤❤❤❤
MwenyeziMungu akujaalie afya na uzima na umri mrefu ili tupate elimu zaidi
Aamiin
Mzee napenda mahubiri yako, unaelezea kifasaha, hasa
Aamiin
Aaamiii
Mitume tumeshawamaliza..hatuna Mtume tena..WAONGOO WA NAFSI ZAO HAO
Allahu akbar
❤❤❤❤❤❤
Kwani Yesu Na Muhamadi Kati Yao Mtume Yupi Na Nabii Yupi Mana Yuko Mmoja Katumwa Mwingine Alikuja Kama Nabii Nabii Alianza Kuja Baadae Akaja Mtume Alietumwa Sasa Uyo Devi Anajiita Mtume Au Nabii Alafu Kama Anajiita Nabii Kwanini Kanisa Lake Linataja Jina Lingine Mashehe Kwanini Msiwe Mnatoa Neno Nasio Kuwazungumzia Watu Amjui Kama Mnausika kuwakuza Majina Yao
Hapo shekhe anazungumza na waislam kumzungumza yule jamaa sababu ni wapo watu waislam wasoitambua dini yao kwahiyo anawatabaisha waijue haki na pia anafikisha daawah kwa wasokua waislam
Naaam
Umeelewa vibaya ndugu yangu maana kuwataja ni nzuri zaidi kwa sababu inaonesha kujiamini na uhakika na anachokisema.
Alafu, mtume ni lazima kuwakumbusha wengine, akikataa ni ameasi na nabii ni hiari ingawa nyakati fulani huwa yanatumika .pamoja/kiutoano/replacement kumaanisha ni wajumbe wa Allah s.w. Allah ndio ajuaye
Sikiliza kwa makini upate faida
Eti ni mtume mtume gani huyu tapeli eti anaongeaga na mungu mwizi huyu Hana hofu ya mungu
Fanya kazi na ww upate mkwanja si kufuga tu mindev
Allah atakuhukumu kwa matusi yako ya kudhalilisha devu za shekhe wetu.
Si mchawi yéyé mtumishi wa mashetani ya framasson ili yapoteze wanadamu kuwapeleka motoni pamoja nashetani
Sikuelewi unachokiongea hapo ninachokiona kwako ni WiVU uliokujaa moyoni,fanya na wewe ya kwako tushuhudie.
Waislam ndio wachawi Wakristo hawatumii uchawi,wanatumua Mamlaka waliyopewa na Mungu.Maana ni watoto wa AHADI kutoka kwa Isaack.
Anaembishia sheh ndo wa walie pumbazwa ww kitu unakiona unabishana
lile ni chawi limemtoa mwanawe juzi hata kisisi hofu halina siku ya msiba alikuwa kama kachinja kuku
Nani huyooo
Unamuongelea nani?
Hatusiki haitowi sauti
Shida iko kwa simu yako au tv ama ni setting
Mtuanaye abudu sheini amjichongeakwaa. Alaahyonfiinari amejicheza sheremwenyewe
Mtu wa alama haonekani vema