KOCHA WA APR ATISHIA KUSUSIA KOMBE LA MAPINDUZI
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Kocha Msaidizi wa APR FC, AIME NDIZEYE ameonesha kutoridhishwa na maamuzi ya waamuzi wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Mapinduzi Cup dhidi ya Mlandege FC ambapo APR FC ilipoteza kwa mikwaju ya penati 4-2 baada ya mchezo huo kumalizika bila timu hizo kufungana.
Ndizeye wakati anazungumza na Waandishi wa Habari baada ya mchezo huo, pamoja na mambo mengine alisema: “Hatutakuja tena kwenye mashindano haya.”
POWERED BY @makanzacompany wauzaji wa pikipiki aina ya Kingbossi na spea za pikipiki aina zote kwa gharama nafuu!
kocha yupo sahihi
Hiyo Ni Kweli Kabisa
Sio kwamba ametishia! Amesema kuwa hawatorudi tena kushiriki! Ni vyema sana maana wameona Waamuzi ni kama wamepewa maelekezo
Hajaishia hapo na Leo wameendelea na utopolo wa wazibeba timu Hadi aibu
Mpira ni mchezo wa wazi live
Nikweli Tanzania tumajidhalilisha marefa wa tanzania hawafai
Nikweli Tanzania tumajidhalilisha marefa wa tanzania hawafai.
Nikweli Tanzania tumajidhalilisha marefa wa tanzania hawafai.