Wabunge Wavunja Mbavu/Orodha ya Vifaa vya Shule ni Utapeli Mtupu/Wizara ya Elimu Ije na Mawazo Mapya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba amewaacha hoi Wabunge baada ya kutoa mchango wake hasa upande wa Elimu....tazama hapa...

КОМЕНТАРІ • 51

  • @munastephano1238
    @munastephano1238 3 роки тому +11

    Hakika huyu ndiye mbunge pekee ccm mwenye kuelewa maisha ya watz, Mungu akuongoze ktk kutoa mchango wako

  • @thomasmapigi7555
    @thomasmapigi7555 2 роки тому +2

    Hatumtaki kua mbunge huyu,, huyu naomba awe Mlidhi wa rais wetu mpendwa alie pendwa zaid na mungu, (MAGU)

  • @nusukibaba4581
    @nusukibaba4581 3 роки тому +4

    Anachokuongelea mara nying kinakuwa kiko vijijini Sana. Kwa bahat mbaya anaojaribu kuwashirikisha hawajui maana yake. Amakweli alie juu mngoje chini. Je Kama hatoshuka????? Inatia huruma😭

  • @najumooxcar2678
    @najumooxcar2678 3 роки тому +6

    Waliokupa ubunge hawakukosea!!!utafika mbinguni

  • @zawadimariembe7238
    @zawadimariembe7238 3 роки тому +2

    Saizi wanalazimisha tuwe tunachanga 10000 ili mwanafunzi awe anakula shulen nawakat hiyo hela ukipiga kwa mwaka ni 120000

  • @sadickrajabu4131
    @sadickrajabu4131 3 роки тому +2

    Uyu mbunge bonge la mbunge tunaeelewa Tu ndo tunaelewa apo

  • @dastanigodfrey5947
    @dastanigodfrey5947 Рік тому +1

    Huyu Mzee binafsi namkubali sana maana huwa anaongea mambo halisi yaliopo yanayo tugusa sana kila siku sizani kama ukiwa na masikio na una akili alafu usimuelewe Mzee huyu

  • @masanjamalugwaja9972
    @masanjamalugwaja9972 2 роки тому +1

    Wazur kuongea lakn utekelezaji hamna.halafu maana ya elimu ni kupata maarifa ya kudadafua mambo sio kula chipsi na mayai

  • @colinmhema530
    @colinmhema530 3 роки тому +2

    Nikweli Mimi nimetumia laki tatu na sitini kukamilisha vifaa vyote

  • @williamlazaro5523
    @williamlazaro5523 3 роки тому +4

    Duuh Wewe kweli ni Professor Safi sanaaa Sana Professor.

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 3 роки тому +2

    Hii michango ndo tunataka... academy za michezo watoto wafundishwe wakuwa wadogo lakini kilimo hapana.... elimu ni nini ni karatasi ama kuelewa jambo lina fanyika je..? 👏👏👏👏👏👏👏

  • @nusukibaba4581
    @nusukibaba4581 3 роки тому +3

    Ukweli huu unaendana kabisa na nchi yetu Ila bado tunajarib kutenga baadhi ya jamii huo ndo ukwel!

  • @derickkahabwa3391
    @derickkahabwa3391 3 роки тому +3

    Mzee Wangu hapo kwenye elimu umenena vizuri sana. Hii ndio aina ya Mawazo mapya tunayohitaji jamii yetu ya Kitanzania.

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 3 роки тому +4

    Unafaa kuitwa professor

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 3 роки тому +2

    Dahh huyu mbunge anauelewa mzuri sana kwa kweli. Hawa ndio wanafaa kuwa washauri wa awali katika wizara.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 3 роки тому +2

    Good idea professor. Apo nakukubali sana. Ila elimu kutolewa muhimu

  • @judithmshana937
    @judithmshana937 3 роки тому +2

    Je wanae amewapeleka shule au la

  • @alhajjuma1670
    @alhajjuma1670 3 роки тому +2

    Kbc jamn kama kuna shule moja hp Dom mjn daaa ni hatar

  • @hamisizetz8942
    @hamisizetz8942 2 роки тому +1

    Elimu ya bongo ni ya mchongo

  • @najumooxcar2678
    @najumooxcar2678 3 роки тому +3

    Dah baba utafika mbinguni

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 роки тому +2

    Aisee ni noma sana sana sana. Kahama ndio jimbo pekee lenye mbunge.

  • @mtanzaniahalisi1213
    @mtanzaniahalisi1213 2 роки тому +1

    Mzee huyu ndo mbunge pekee mwenye Utu na akili za kujitosheleza tena mbunge timamu.
    Wengine hao njaa tu

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 3 роки тому +3

    Duh... Huyu mwamba anaakili balaa katoa idea Kama tano hivi

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 3 роки тому +3

    Uyu mzeee kichwa

  • @daudhenry6212
    @daudhenry6212 3 роки тому +2

    Kahama mna mbunge saaafi

  • @edgarelikana9761
    @edgarelikana9761 3 роки тому +3

    Hahahahahahahahahaha

  • @jamesshao538
    @jamesshao538 3 роки тому +2

    Jamaa kishimba yupo vizuri sanaa

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 3 роки тому +1

    Huyu mbunge nondo kweli kweli.

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 3 роки тому +3

    Du kweli

  • @salmamwanyiro8348
    @salmamwanyiro8348 3 роки тому +2

    Kweli huyu ni professor

  • @Erick-n3o7j
    @Erick-n3o7j 6 місяців тому

    Baba mi naona serikali inapaswa walau ikufikirie hata uwaziri wa elimu uwe mikononi mwako maana unayo macho pevu kubaina ya watanzania waishio mazingira magumu

  • @shangwehalisi7659
    @shangwehalisi7659 3 роки тому +1

    Prof Kishimba katika ubora wake

  • @nivardkomba216
    @nivardkomba216 3 роки тому +1

    Huyu ndo ilibidi awe waziri wa elimu!

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 3 роки тому +1

    😎

  • @dullahluhamba9105
    @dullahluhamba9105 3 роки тому +2

    Safi kweli mheshimiwa

  • @abisahdamuyao1647
    @abisahdamuyao1647 3 роки тому +1

    Jamaa anaakili sana huyuu

  • @samwelmillinga7578
    @samwelmillinga7578 Рік тому

    Anaongea point sana ila zinachekesha sana halafu mwenyewe yupo serious😁😁🤣

  • @alexaugustino4644
    @alexaugustino4644 3 роки тому +1

    Mbuge wetu

  • @mgedzirpm1541
    @mgedzirpm1541 3 роки тому +1

    Safi kabisa mkuu

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 3 роки тому

    Definition Ya Elimu Ni Nini Ni Karatasi Ama Uelewa?

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv 4 місяці тому

    Semababa

  • @livingstonemichael42
    @livingstonemichael42 3 роки тому

    Watoto wakiona viaz wanajua mabomu

  • @lenardluoga3313
    @lenardluoga3313 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jumamnyambwa3490
    @jumamnyambwa3490 3 роки тому

    K

  • @hasanisaidi516
    @hasanisaidi516 3 роки тому

    Bunge limekuwa kijiwe cha stori..maneno kishimba unayatupa tupa hayo,