WIZARD | EPISODE 6

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • #movie #atearinthefabricoflife #bongomovie #love #toomuchlovewillkillyou #africancinema #letlovehavethelastword #soniauche #soniauchetv #africanmovies

КОМЕНТАРІ • 73

  • @TishiBeiby-kt8lg
    @TishiBeiby-kt8lg 15 днів тому +15

    Duuuh wamchemshie mafuta ya makalio ya miskule🙆😅 daah wachawi wabaya .....mbwela mungu anakuona ,, anyway kazi nzur sana hii stor Tamu Ila mnachelewa sana kutuletea jamaniiii

    • @daudimarko6638
      @daudimarko6638 15 днів тому +1

      😂😂😂😂

    • @fatihamwandoto
      @fatihamwandoto 15 днів тому +1

      😂😂😂😂

    • @AbduliAshiru
      @AbduliAshiru 12 днів тому +1

      Yaaani wachawi ndvy walivyo hawa wanaigiza uhalisia kabisa ila nimeipenda iyoooo😂😂😂😂😂

  • @ZuberPendo
    @ZuberPendo 13 днів тому +2

    Mmh hz muv za kichaw jmn asa mafuta ya makalio ya msukule Tena jaman aaah mbwela umenincheksh kwel

  • @SimonMichael-y3k
    @SimonMichael-y3k 14 днів тому +2

    Mizizi ya mkuranga hahahaha ila mbwela

  • @AbdulKaramagi-i5q
    @AbdulKaramagi-i5q 15 днів тому +3

    Ha ha ha mganga angalia isijekua gusa achia tuache uganga

  • @MajaliwaJosephat-s7t
    @MajaliwaJosephat-s7t 14 днів тому +2

    Jamani ongezeni dakika japo kidogo tu mbona nikari balaa hongela kaka mbwela

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 15 днів тому +5

    2lio toka kw Sanda juu ya kabur na kupita kw Wizard ya Kapela tujuwane❤❤ Full upndo kutka 🇰🇪🇰🇪💗💗

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 14 днів тому +2

    Mafuta ya makalio ya msukule yamepikwaje mbwela 😂😂😂😂😂

  • @affiliatelavia
    @affiliatelavia 14 днів тому +2

    Nimechoshwa kungoja episode episode😢😢mharakishe kazi😊😊lkn ww mbwela😂😂mafuta y makalio y msikule😅😅

  • @IrakozeHami-t9m
    @IrakozeHami-t9m 15 днів тому +3

    Huyu MBWELA tuki mkamata tuka mtandika vizuri ata tuambia mafuta ya makalio ya msukule aliaon wapi n.a. ni dawa gani shenzi sana wakunifanya mim nipaliwe na chai jion yote hii 😂😂😂😂😂🤣🤣

  • @ASIAJAMARY
    @ASIAJAMARY 14 днів тому +1

    Kazi ujapendeza Ila uchawi huo duuuh kama kweri ADI naogopa😂😂😂😂❤❤🎉🎉

  • @rajabokio
    @rajabokio 15 днів тому +2

    😂😂😂😂😂😂 ety makaliyo ya misukule ni dawa 😂😂😂😂

  • @SheikaYussuf
    @SheikaYussuf 15 днів тому +2

    Hongera sn kapela ulichokifikiria ndo kilichonikuta mm nilikuww nikiwakamata wachawi na kuwaona kbs waliniandama mpk leo sina uwezo km ule nipo2😂 kwakweli wachawi si watu wazuri

    • @MonicaMkombwe
      @MonicaMkombwe 14 днів тому

      Hata Mimi nilikuwa hivyo saizi sioni tena wallah kipaji changu nakikumbuka

  • @sammasadika9598
    @sammasadika9598 15 днів тому +2

    😂😂kumbe makalio ya msukule yana mafuta wallahi wachawawi wanakazi😂😂😂😂😂

  • @OengaMildred
    @OengaMildred 15 днів тому +2

    Fabby huko na akili mop sawa keep it up good work ❤️

    • @LewisHamiltonGLD
      @LewisHamiltonGLD 15 днів тому

      Nikweli kabisaaaaa anareason mbali ila kapela ajui Kaa Ako na uwezo mkubwa pia fabby yupo sahi🎉❤

  • @madymag6926
    @madymag6926 15 днів тому +1

    Wow kazi nzuri sana❤❤❤❤

  • @MwanalimaMwalimu-c4m
    @MwanalimaMwalimu-c4m 15 днів тому +1

    Hii kazi itakua nzuri zaidi penye naenda yaani nimeipenda kinoma🎉🎉🎉🎉

  • @EmmaculateKaingu-y3j
    @EmmaculateKaingu-y3j 15 днів тому +2

    😂😂😂makalio ya misukule kumbe ni dawa😂😂😂😂😂😂

  • @RechoJoseph-v3p
    @RechoJoseph-v3p 14 днів тому +1

    Hongereni sana kaz mnzur❤❤❤

  • @anitakerubo9429
    @anitakerubo9429 14 днів тому

    Waaah kumbe uchawi ni kazi pia sasa dawa ya wasukule 😂😂😂😂❤❤❤

  • @MkayulaDavid
    @MkayulaDavid 15 днів тому +1

    Kapela kapela kapela umeuwa umeuwa umeuwa tena eee bwana weeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OmanOman-hj7tv
    @OmanOman-hj7tv 15 днів тому +2

    😂😂😂😂😂mbwela unavituko mafuta ya makalio ya msukule kumbe dawa hausemi

  • @LayuniIddy
    @LayuniIddy 15 днів тому +1

    Hongera Sana kaka kapela❤️

  • @jennifercharls4991
    @jennifercharls4991 14 днів тому +1

    😂😂😂😂😂 mafuta ya makalio ya mskule 😅

  • @nasraomary68
    @nasraomary68 15 днів тому +2

    Mbwelaa et namafut y matako y mskule 😂😂😂

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 14 днів тому +1

    Wallahy nimecheka pekeangu sitting room mume wangu alikuwa chumbani amekuja mbio akidhani wazimu umenipanda,,,,ety achemshiwe mzizi wa mkuranga na ichanganywe na mafuta ya makalio ya msekule😂😂😂😂

  • @FakikhAsmah
    @FakikhAsmah 13 днів тому +1

    Makalio yanani vile🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rehemamutua44
    @rehemamutua44 15 днів тому +2

    Dawa mafuta y makalio ya msukule😂😂😂 au nimeskia vbya

  • @JumaIddi-o6f
    @JumaIddi-o6f 15 днів тому +1

    Kaz nzur jaman

  • @OengaMildred
    @OengaMildred 15 днів тому +2

    Kapela, kapela, kapela nimekuita mara ngapi😂😂😂 mbwela na family yake wote wachawi pamoja na family ya wanda😢Kwa hivyo sitaki Wanda hata kidogo 😂😂😂😂

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 14 днів тому +1

    kazi poa

  • @mohddaima513
    @mohddaima513 15 днів тому +2

    Dah mafuta ya makalio ya msukule 😂😂 ila mbwelaa 😅

  • @Makukamohamedi
    @Makukamohamedi 15 днів тому +2

    Hii moves angalieni siku mtakutana na wenyewe kweli

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 15 днів тому +2

    Wakwanza Leo from 🇲🇿🇲🇿

  • @dannyshilla7350
    @dannyshilla7350 15 днів тому +2

    Hapo penye mafuta ya Tako la msukule 😂😂😂😂😂😂

  • @MbwassaOgy
    @MbwassaOgy 15 днів тому +1

    Nakubali familia mwendo wa wese2😂😂😂

  • @RaimamomedSaide
    @RaimamomedSaide 15 днів тому +4

    Mafuta ya makalio ya mskule😂😂😂umepigaje apo bwela?tena anaongea siris km kwamba mskule anatowa mafuta wakat anakula unga wamuhogo usio pikwa 😂😂😢😢😢

  • @firdausyunus-of2ty
    @firdausyunus-of2ty 14 днів тому +1

    duhh hatari kabisa haya ndo mahajabu ya dunia

  • @SophieMakaranga
    @SophieMakaranga 15 днів тому +1

    Unajua sana kaka kapela ila ongeza dk kidg ninzur sana hii kitu tena nzurii mno pia uwahi kuwa unatoa kaz

  • @Khajra-r1u
    @Khajra-r1u 15 днів тому +1

    Good 🎉🎉joob

  • @LatyKhatib
    @LatyKhatib 15 днів тому +2

    Hich kipande cha makalio ya msukule behind the scene naomba kuona jmni 😅

  • @SihaSanyajuu
    @SihaSanyajuu 15 днів тому +1

    Hongerani sana kwa kazi zuri sana ila mnachelewa sana kutoa

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 15 днів тому +1

    Kazi inaaza sasa hogela kapela

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 15 днів тому +1

    Très bon gars 🔥🔥🇨🇩👍👍👍

  • @TumaMwinyi-sk6dw
    @TumaMwinyi-sk6dw 15 днів тому +2

    Kwanza tuanzie apo kwenye mafuta ya makalio ya misukure yanatibu nn jaman🤔🤔

  • @nadianyamuraka
    @nadianyamuraka 15 днів тому +1

    Good job

  • @mwajumasaid7306
    @mwajumasaid7306 15 днів тому +1

    Kumeanza kuchangamka 😂😂😂

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa 15 днів тому +1

    Safi sana kwa kazi nzuri

  • @khalidteam6642
    @khalidteam6642 15 днів тому +1

    Khalidi zambia nawapenda sana

  • @RayyanShemakoko
    @RayyanShemakoko 15 днів тому +1

    Move tam sana hii

  • @MsSafiya-fi3tl
    @MsSafiya-fi3tl 15 днів тому +1

    ❤❤❤

  • @firdausyunus-of2ty
    @firdausyunus-of2ty 14 днів тому +1

    sasa ka kapela mbona unaludusha tena nyuma sana

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 15 днів тому +2

    Ninasemaje! Ninasemaje nimekuwa mtu wa pili, bisha hodi kwa like hapa. 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ADOFEmmanuel
    @ADOFEmmanuel 15 днів тому +1

    Safi Sana kazi nzur

  • @zawadikasim6679
    @zawadikasim6679 15 днів тому +1

  • @pauloyatta3211
    @pauloyatta3211 15 днів тому +1

    Ok fine wa 3 hapa 🎉🎉🎉from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fortunegerishom1827
    @fortunegerishom1827 14 днів тому +1

    Alaf jamaa yuko criaz kabisa akitaja mafuta yq msukule

  • @ZenaAbubakar-l6n
    @ZenaAbubakar-l6n 15 днів тому +1

    No.9🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @blaynchich9765
    @blaynchich9765 15 днів тому +2

    186.....vevo

  • @Amnenyanga255
    @Amnenyanga255 15 днів тому +1

    🎉🎉🎉

  • @daudimarko6638
    @daudimarko6638 15 днів тому +1

    No,24

  • @FatumasalumMbonde
    @FatumasalumMbonde 15 днів тому +1

    🎉🎉🎉 no?7

  • @MwalimIdrissa
    @MwalimIdrissa 15 днів тому +1

    Tatizo nitufupi

  • @MupendaNadine-w5m
    @MupendaNadine-w5m 15 днів тому +1

    Good job