Duuuh wamchemshie mafuta ya makalio ya miskule🙆😅 daah wachawi wabaya .....mbwela mungu anakuona ,, anyway kazi nzur sana hii stor Tamu Ila mnachelewa sana kutuletea jamaniiii
Huyu MBWELA tuki mkamata tuka mtandika vizuri ata tuambia mafuta ya makalio ya msukule aliaon wapi n.a. ni dawa gani shenzi sana wakunifanya mim nipaliwe na chai jion yote hii 😂😂😂😂😂🤣🤣
Hongera sn kapela ulichokifikiria ndo kilichonikuta mm nilikuww nikiwakamata wachawi na kuwaona kbs waliniandama mpk leo sina uwezo km ule nipo2😂 kwakweli wachawi si watu wazuri
Wallahy nimecheka pekeangu sitting room mume wangu alikuwa chumbani amekuja mbio akidhani wazimu umenipanda,,,,ety achemshiwe mzizi wa mkuranga na ichanganywe na mafuta ya makalio ya msekule😂😂😂😂
Duuuh wamchemshie mafuta ya makalio ya miskule🙆😅 daah wachawi wabaya .....mbwela mungu anakuona ,, anyway kazi nzur sana hii stor Tamu Ila mnachelewa sana kutuletea jamaniiii
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Yaaani wachawi ndvy walivyo hawa wanaigiza uhalisia kabisa ila nimeipenda iyoooo😂😂😂😂😂
Mmh hz muv za kichaw jmn asa mafuta ya makalio ya msukule Tena jaman aaah mbwela umenincheksh kwel
Mizizi ya mkuranga hahahaha ila mbwela
Ha ha ha mganga angalia isijekua gusa achia tuache uganga
Jamani ongezeni dakika japo kidogo tu mbona nikari balaa hongela kaka mbwela
2lio toka kw Sanda juu ya kabur na kupita kw Wizard ya Kapela tujuwane❤❤ Full upndo kutka 🇰🇪🇰🇪💗💗
❤❤❤
Tupo apa ❤❤❤
Mafuta ya makalio ya msukule yamepikwaje mbwela 😂😂😂😂😂
Nimechoshwa kungoja episode episode😢😢mharakishe kazi😊😊lkn ww mbwela😂😂mafuta y makalio y msikule😅😅
Huyu MBWELA tuki mkamata tuka mtandika vizuri ata tuambia mafuta ya makalio ya msukule aliaon wapi n.a. ni dawa gani shenzi sana wakunifanya mim nipaliwe na chai jion yote hii 😂😂😂😂😂🤣🤣
Kazi ujapendeza Ila uchawi huo duuuh kama kweri ADI naogopa😂😂😂😂❤❤🎉🎉
😂😂😂😂😂😂 ety makaliyo ya misukule ni dawa 😂😂😂😂
Hongera sn kapela ulichokifikiria ndo kilichonikuta mm nilikuww nikiwakamata wachawi na kuwaona kbs waliniandama mpk leo sina uwezo km ule nipo2😂 kwakweli wachawi si watu wazuri
Hata Mimi nilikuwa hivyo saizi sioni tena wallah kipaji changu nakikumbuka
😂😂kumbe makalio ya msukule yana mafuta wallahi wachawawi wanakazi😂😂😂😂😂
Fabby huko na akili mop sawa keep it up good work ❤️
Nikweli kabisaaaaa anareason mbali ila kapela ajui Kaa Ako na uwezo mkubwa pia fabby yupo sahi🎉❤
Wow kazi nzuri sana❤❤❤❤
Hii kazi itakua nzuri zaidi penye naenda yaani nimeipenda kinoma🎉🎉🎉🎉
😂😂😂makalio ya misukule kumbe ni dawa😂😂😂😂😂😂
Hongereni sana kaz mnzur❤❤❤
Waaah kumbe uchawi ni kazi pia sasa dawa ya wasukule 😂😂😂😂❤❤❤
Kapela kapela kapela umeuwa umeuwa umeuwa tena eee bwana weeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂mbwela unavituko mafuta ya makalio ya msukule kumbe dawa hausemi
Hongera Sana kaka kapela❤️
😂😂😂😂😂 mafuta ya makalio ya mskule 😅
Mbwelaa et namafut y matako y mskule 😂😂😂
Wallahy nimecheka pekeangu sitting room mume wangu alikuwa chumbani amekuja mbio akidhani wazimu umenipanda,,,,ety achemshiwe mzizi wa mkuranga na ichanganywe na mafuta ya makalio ya msekule😂😂😂😂
Makalio yanani vile🤣🤣🤣🤣🤣
Dawa mafuta y makalio ya msukule😂😂😂 au nimeskia vbya
Kaz nzur jaman
Kapela, kapela, kapela nimekuita mara ngapi😂😂😂 mbwela na family yake wote wachawi pamoja na family ya wanda😢Kwa hivyo sitaki Wanda hata kidogo 😂😂😂😂
kazi poa
Dah mafuta ya makalio ya msukule 😂😂 ila mbwelaa 😅
Hii moves angalieni siku mtakutana na wenyewe kweli
Wakwanza Leo from 🇲🇿🇲🇿
Hapo penye mafuta ya Tako la msukule 😂😂😂😂😂😂
Nakubali familia mwendo wa wese2😂😂😂
Mafuta ya makalio ya mskule😂😂😂umepigaje apo bwela?tena anaongea siris km kwamba mskule anatowa mafuta wakat anakula unga wamuhogo usio pikwa 😂😂😢😢😢
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
duhh hatari kabisa haya ndo mahajabu ya dunia
Unajua sana kaka kapela ila ongeza dk kidg ninzur sana hii kitu tena nzurii mno pia uwahi kuwa unatoa kaz
Good 🎉🎉joob
Hich kipande cha makalio ya msukule behind the scene naomba kuona jmni 😅
Hongerani sana kwa kazi zuri sana ila mnachelewa sana kutoa
Kazi inaaza sasa hogela kapela
Très bon gars 🔥🔥🇨🇩👍👍👍
Kwanza tuanzie apo kwenye mafuta ya makalio ya misukure yanatibu nn jaman🤔🤔
Good job
Kumeanza kuchangamka 😂😂😂
Safi sana kwa kazi nzuri
Khalidi zambia nawapenda sana
Move tam sana hii
❤❤❤
sasa ka kapela mbona unaludusha tena nyuma sana
Ninasemaje! Ninasemaje nimekuwa mtu wa pili, bisha hodi kwa like hapa. 🎉🎉🎉🎉🎉
Safi Sana kazi nzur
❤
Ok fine wa 3 hapa 🎉🎉🎉from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Alaf jamaa yuko criaz kabisa akitaja mafuta yq msukule
No.9🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
186.....vevo
🎉🎉🎉
No,24
🎉🎉🎉 no?7
Tatizo nitufupi
Good job