Mngekuwa na focus sana kuoji wazazi au wazee kama awa mbona tungekuwa tushajifunza vingi kuliko, lakini nyie sasa mkikazana na hao wasani wenu vigonga ndo inakuwa kelele tu kwenye social media 😂 cha kushauri apo endeleeni kuoji wazazi wakubwa kama hao ivyo tuanze jifunza namna ya kuishi,,, ubarikiwe sana mama yangu popote ulipo love you maaa ❤️
Mwananz mm daah 🎉
Kazi kubwa 🎉🎉🎉
Good🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kaka kwa kazi hii..Naitaji support 💥💥✔️ YENU Watazania.. From 🇰🇪🇰🇪
Thanks
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
6:34 is like the same thing ❤
Mngekuwa na focus sana kuoji wazazi au wazee kama awa mbona tungekuwa tushajifunza vingi kuliko, lakini nyie sasa mkikazana na hao wasani wenu vigonga ndo inakuwa kelele tu kwenye social media 😂 cha kushauri apo endeleeni kuoji wazazi wakubwa kama hao ivyo tuanze jifunza namna ya kuishi,,, ubarikiwe sana mama yangu popote ulipo love you maaa ❤️
Hizo ndo dawa, kila kitu kinatoka kwenye miti au majani
Tunataka pia ushauri wa wamama wakubwa kama hawa
Tuma number brother za mama seti
@Gabon_freeman
Wakwanza Leo nipeni like Zangu 🎉🎉🎉.
Awaonye kabisa na ikiwezekana aanze wapiga mlambú
😂😂😂🎉
Tunataka tumuone 7 sasa
Mtangazaji 0😢 ujuii kuoji
Ww umesha hoji wangap😂😂
Wewe unaye juwa wende muoji 😊