BOB JUNIOR ACHUKIZWA NA KAULI YA ALIKIBA, KUIPONDA WASAFI, REDIO YA FAMILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @jadenngoy1798
    @jadenngoy1798 7 місяців тому +13

    Tanzania kuna radio nyingi ...lakini ya diamond platnumz iko juu

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 7 місяців тому +2

      Bwana wako sio?

    • @FatmaaFatoom
      @FatmaaFatoom 7 місяців тому +1

      Juu mbiguni au acha ufala

    • @FatmaaFatoom
      @FatmaaFatoom 7 місяців тому +1

      ​@@SilaMinanda huyu atakuwa ni bwana ake Kweli?.. 😅😅😅😅

    • @jadenngoy1798
      @jadenngoy1798 7 місяців тому +2

      Mpumbafu zenu ...radio ya diamond platnumz number one ina sikilizwa Africa....n'a ina wafuhasi wengi youtube ushamba wenu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 7 місяців тому

      ​@@jadenngoy1798tukija tu kiuhalisia wew na hawa nani mpumbav kama sio wewe mtu mzima lkn Akili huna😅😅 halafu wewe upo kishabiki na sio kiuhalisia unamuongelea mtu ambae hata hakujui na hajui km upo duniani,pambana kutafuta hela utoke nyum kwenu ujitegemee

  • @mg_panther
    @mg_panther 7 місяців тому +3

    Huyu jamaa ana ongea kwa kujiamini hana hofu kbs 🎉

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 7 місяців тому +2

    Waandishi wa online media mnahitaji kubadilika ..katika maswali 20 ..maswali 4 ndio yanayo muhusu Bob junior lakini mengine yote ..hayamuhusu lakini inatakiwa ayajibu

  • @rashidgogo5558
    @rashidgogo5558 7 місяців тому +3

    Nyie endeleen kuiga mond anaumiza kichwa nyie kazi kuiga king music imekushinda umeiga na redio tena mh mond kwer wew nyooko

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 7 місяців тому +1

      Kwaiyo we unatumia mtu kutumia pesa zake kisa unampenda mwanaume mwenzio sasa clous na wasemeje yeye kaiga vingapi mapenzi yasikufanye iwe kipifu kwa mo hauzi juice mbona alimkuta bakharesa kitambo kwenye gemu na misha yanakqenda ukitaka chapekeako nenda mbinguni Ili watu wasijuige

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 7 місяців тому +2

    Clouds ilikuwa na ubaguzi na ushamba flani mondi asingekuwa mpambanaji angeshushwa na clouds kwa makusudi

  • @SherryFadhil
    @SherryFadhil 7 місяців тому +2

    Huyu mwanmke hn maswali mengine kashklia kasema CI redio y fmilia 😏😏😏😏😏

  • @shikuhata
    @shikuhata 6 місяців тому

    Yaani crown fm imeibuwa wasanii wengi hata wale ambao tulikuwa tumeshawasahau

  • @birammakarani9028
    @birammakarani9028 7 місяців тому

    Vikofia vya watangazaji wa mbengo tv

  • @choyorashidichoyo8067
    @choyorashidichoyo8067 7 місяців тому +3

    Wandishii wetu bad jifunzen kuhoj maswl ya msingi maswl mengine hayn hat man na nyny ndio munaazaa kulet uchonganishi

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 7 місяців тому +4

    Modi hawezekani bhanna mwacheni

  • @amininuru9270
    @amininuru9270 7 місяців тому +2

    Huyu dada ana sound kma Dj Fetty

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 7 місяців тому +1

    Hawa wandishi wa lasaba b wakipewa maiki na kuropa basi ndo waandishi hata kuhoji hawajui

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 5 місяців тому

    Bob acha unafiki wewe kazi kujikomba

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 7 місяців тому +2

    Kwani around hayo macho yake ni nini kinaendelea

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 7 місяців тому

      Anaangalia usalama kama upo ili asije akaharibu 😂😂

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 7 місяців тому +3

    Usharobaro kawatoa wenzie wanamilikivitu vikubwa kabaki baado analamba lips tuu nakuvaa vikoti 😅😅😅

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 7 місяців тому +1

      Sio mkiwa marafik ndio wote mtafanikia hat ukijitazam mkono wako vidole 5 lakn haviko sawa.

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 7 місяців тому

      Wewe mpaka sasa upo wapi?umejijenga vipi kimaisha?unakitu gani cha kujivunia kua umefanya jambo la maana?amblo hata ukianguka Leo waseme marhem ameacha vitu flani na flan, ukiachana na bangi,pombe na strahe...kuna wale ambao umesoma ila leo hii wamwkua mbali sana kimaisha, mpk ss upo kwny chumba kimoja,huna hata kiwanja,hata biashara 😅😅😅😅 hlf kengine sio kila mtu anapenda show off za kuonesha anavyo vimiliki acha uzamwamwa, tafuta hela utoke kweny chumba kimoja

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 7 місяців тому

      Unazani bob ni kinyonge kiivo mtu ana roots za Canada

  • @DeogratiusMiyaga
    @DeogratiusMiyaga 7 місяців тому

    Aaaaaah 😂😂😂

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 7 місяців тому

    Mbona kama anajichubua

  • @subsasherkafulama722
    @subsasherkafulama722 7 місяців тому

    yani wahandishi wa habr wajinga nkwel sasa iyo kauli ya kusema ali kiba ametupa dongo kwa diamond 😀

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 7 місяців тому

      Wanafany kusudi tu, ili tuview...wasenge kwer yan 😂😂😂