Uradi huu umenikumbusha marehemu mama yangu kila siku lazima ausome asubuhi na jioni ,Mwenyenzi mungu amrehemu amundoshee adhabu za kaburi ampe kauli thabiti yeye pamoja Baba yangu mpenzi Mungu awajaalie waingie Pepo ya fir_daous ,Ameen yarrab
Ninakuomba allah kupita kisomo hiki cha qur an tukufu naomba unipe subra NA amani NA furaha ndani ya moyo wangu kwan unaniumba paspokujuwa nn shida naomba nikapokee poozo la kupoozwa NA qur an kwani qur an ni pozo la kila mja mwenye mazito NA asiepozwa NA qur an basi huyo hana pozo lolote litakalo mpoza yarabi anifanyie wepes katika hili amina
Mashallah mwenyezimngu atufanyie wepesi Kwa Kula Jambo taupe afia njema mm na watoto na familia yangu na Jamie islamu awaongoze wanangu na mm kwenye njia njema Amin ya rabil alamin.
Mashaa Allah Allahumma Ameen Yarabby nakuomba Yaa Allah kwa uzito na utukufu wa dua hii iwe sababu ya kuniondoshea mazito nilonayo na unifanyie wepes ktk utaftaji wa riziki yng na unisahilishie mambo yng pasina mm kujua Yaa Allah nakuomba nifanyie sahan ktk mitihani ninayoyapitia na uniongoze mja wako dhaifu pamoja na wazazi wng na uniongozee na kizazi ulichonirudhuku Yaa Allah shukrn ustadh nimeitikia dua hii kuna uzito nilokuwa nao najihis amani ya moyo na ninavyokipenda kitabu hiki Allah shahidi 🤲🤲
Allahuma Aameeen yah Allah utukuzwe haufananishwi Na kitu maana we ndie tegemeo letu,,, Amiin nifanyie wepesi Kwa kila Lilo Zito kwangu Na unisahalishie mitihani Yote ninayopitia Yarrabi,,,Na uwakumbke waja wako walio tangulia mbele zako ZA haki,,,,Na unibariki Na kizazi chema in Sha Allah
Ya Allah nijaaliye kila lenye heri na niepushe na shari zote... Nijaaliye furaha katika maisha yngu... Afya na umri unijaaliye mm na wanangu... Yaa Allah 😭🥺
Yaa Allah nijalie mwisho mwema na mama yangu watoto wangu na ndugu zangu yaa rabb kupitia ukubwa wa dua hii kila UCHAWI ulio jificha ndani ya familia yetu yaa rabb ufichue ubainike kila alie kuwa adui yetu ndani ya familia yangu tufichulie yaa rabb wewe hulinganishwi na chochote yote wewe unayaweza nifungue kiuchumi watoto wangu ABDULRAHIM SAID apate kazi nzuri HAJRAT SAID apate shule nzuri penye mtihani usimupeleke mtoto wangu kupiti dua hii yaa rabb nijibu
Mashaallah ya Allah kupitia Dua hii ukaniongoze kutokamana na kila lenye na heri na ukanikinge kutokamana na kila lenye na shari na ukanijaalie maisha mema hapa duniani na kesho akhera pamoja na wazazi wangu ikiwemo waislamu wote kiujumla
Ya allah ya allah hakika ww ndio kila kitu kwangu NA bila wewe siwez ninakuomba allah kwa kudra za dua hii NA rehma zako nakuomba unifanyie wepes katika magungu NA uzito NA changamoto NA miskosko ninanoipitia katika kazi yangu hakika hujawahi ni acha mja wako kila nikuombapo hivyo alhamdulilah naamini hata Haya yatapita kwa kudra zako inshaallah kher 🙏🙏🙏
Ya Allah kupitia dual hii nakuomba Mola wangu Uniondolee kila Aina ya Maradhi na shida zote,Mola wangu kwa utukufu, huruma, na power yako nakuomba uwape pepo mahujaji waliokwenda Haji,watakaoenda haji,na mie unijaalie siku Mola niende haji,na unisamehe mimi na wazazi wangu 2,na masheikh,na maustadhat,,ln shaa allah
Dua kwaajili yangu na familia yangu Allah atiwe wepesi kwenye magumu yote nnayokabiliana nayo Allah mrehemu mzazi wqngu aliembele za khaki nifanyie wepesi kwenye utaftaji wangu nilinde na wenye husda chuki inshaallah
Pia naomba wajalie wanangu afya maisha malefu wakuze katika kukupendeza ww nawakuabududu ww wakawe wtt wenye hekima NA maalifa NA nidham wape wenye kusoma dini nakufanyia ibada amiiiina
Yarabbi mungu tujalie utupe wepesi kwenye kazi zetu na ufungulie mmwangaza yarabbi shari utuepushe nazo nawalio tangulia mbele za haki mungu waswamee thambi zao inshallah na shekh wetu yarab mungu amlinde na amfungulie milango ya heri inshallah yarabbi
Eti hii dua ikisomwa ? Dua gani ? Hizo ni shairi za aina ya tauhidi za kumsifu Allah, wala sio dua hata kidogo. Allah awalipe ndugu zetu hawa kwa husn niya yao tu ya kumsifu Allah, lakini hii sio dua.
Yarabii nakuomba Kwa Dua hii nzito bac ikawe yenye kunfungulia milango yangu riziki na Kwa Dua hii nzito tujalie mtoto wetu alopotea tuweze kumuona inshallah,,Ya Allah nakuomba Kwa Dua hii uwajalie wote walotutangulia mbele za Haki babangu Said na babangu Mohammed na nyanyangu wote uwapunguzie adhabu ya kabri na makaruri inshallah,mamangu pia mjalie afya njema mpe riziki za halali
Yabih ,ya Allah,Yakarim,,kwa Dua hii nzito nakuomba Yaa Allah ikawe sababu ya kuwafutia madhambi yao wazazi wangu waliotangulia mbele za haki,ikawe sababu Nuru,Mwaka katika Makaburi yao,Yaaah Allah kwa Dua hii nzito ikawe sababu ya kuingia peponi mama yangu Khadija Badi,Baba yangu Badi Ramadhani,Nakuomba Yarabbih kwa Dua hii nzito na kwa rehema za mtume wetu Muhammad S.w.a , na kuomba uwahurumie wazazi wangu kama walivyonihurumie Mimi mtoto wao kwa kunizaa na kunilea ,Nakuomba uwarehemu.Nakuomba Yarabbih kwa rehema zako na Baraka zako.🙏🙏🙏🙏😭
Dua gani? Hii sio dua, ni mashairi ya aina ya Tauhidi, yanayo msifu Allah. Jameni, Uislam umejengewa kwa elimu, lazima waislam wawe na ujuzi wa hali ya juu.
Amina Yarabi Kwa Uwezo wako kwa Duwa hii Mola wangu nakuomba Unilinde na familia Yangu na Unifanyie Wepesi katika Kazi za Mikono Yangu na pia Uniepushe na Shari za Maaduwi
DUA KWA AJILI MWANANGU ANAESAFIRI LEO PAMOJA NA WENZIE ALLAH AWAFANYIE WEPESI KATIKA SAFARI YAO KILA PENYE GUMU AWEKA WEPAESI PAMOJA NA ABILIA WOTE WAFIKE SALAMA🙏🙏🙏🙏
Amiin yarablaalamin 🙏,Allah mm mjawako dhaifu sina maneno mazuri na fasaha yanayozidi elmu yako yarabb,unayetambua mambo kabla hayajasemwa,nakuomba kupitia dua hii iwe maombi yang kwako kutokana na shida zangu Ya Rasul.nakuomba maan sina wakumuomba isipokuw wew Ar rahman.nihurumie mm mwnyemakosa pamoja na wazazi wang Yarabby🙏
Yarabi nakuomba kisomo hiki kizito kiniondolee mazito yote yalio kwangu nakinifungulie milango ya rizik na kwadua hii nzito uwajalie wote waliotangulia mbele ya haki baba angu said na wanangu Aisha na hanipha pamoja na ndugu zangu wote waliotutangulia uwapunguzie azabu ya kabri uwasamehe mazambi yao wahurumie yarabi laza roho zao mahala pema pepon inshallah🙏mama angu pia mjaalie afya njema na mfungulie milango ya rizik 🙏🙏🙏🙏.amiin yarabi
Allah kupitia Dua hii naomba umkuze mwanangu kwenye maadili mema na afahamu sana dini napia Allah nijaalie nimalize mkataba wangu salama na niludi salama tanzania pia mrehemu baba angu mfutie dhambi zake mtilie Nuru kwenye kaburi lake pia Allah nilindie mchumba wangu mpaka nitapo rudi tufunge na mzidishie subra na utie wepesi kwenye kazi zake mbwana pia Allah nijaalie kwa biashara yangu nilio ianza online iwavutie watu na wanipe oda nyingi ya Allah nijaalie kwa kupitia Dua hii unifungulie Kila heri kwangu kupitia Dua hii Allah Kareem 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ewe Allah Ambayehulali Wala Husinzii Wala Huna Mwenza Wa Kufanana Nae Na Unaweza Yote Juu Ya Wajawako Naomba Uniponye Maradhniliyonayo Duhii Iwe Sababu Ya Kuwaongezea Neema Wanangu Na Shekh Ulieongoza Dua Jazakallahu
MAY YA ALLAHU BLESS AND PROTECT US AND FIGHT THE ENENEMIES FOR US IN DUNIA AND AKIRA! ALLAHU YA ALLAHU! ASH ADU AN LAHILAHA ILALLAH WAHDAHU LASHARIKA LAHU ASH ADU ANA MAHAMADU YA RASSULULAH Salalat Aleyhi Wa Salam! ALLAHU AKBAR!
May ALLAHU Bless us with with Wide Arzuku, Wide sustenance, a positif life, a long and healthy life and a very strong Iman and Bless us with Aljana firidausu in the Here After! Amina YA RABI YA ALLAH!
Aa naomba kwa Allah kwa Quran hii yarab nikidhie hajazangu,unipe subra naimani yamoyo unipe khema na busara na Dua hii iwe nusra kutokana na shari za viumbe wako iwe Kinga na inijaalie KHER ya Dunia na akher
Uradi huu umenikumbusha marehemu mama yangu kila siku lazima ausome asubuhi na jioni ,Mwenyenzi mungu amrehemu amundoshee adhabu za kaburi ampe kauli thabiti yeye pamoja Baba yangu mpenzi Mungu awajaalie waingie Pepo ya fir_daous ,Ameen yarrab
Ninakuomba allah kupita kisomo hiki cha qur an tukufu naomba unipe subra NA amani NA furaha ndani ya moyo wangu kwan unaniumba paspokujuwa nn shida naomba nikapokee poozo la kupoozwa NA qur an kwani qur an ni pozo la kila mja mwenye mazito NA asiepozwa NA qur an basi huyo hana pozo lolote litakalo mpoza yarabi anifanyie wepes katika hili amina
Mashallah mwenyezimngu atufanyie wepesi Kwa Kula Jambo taupe afia njema mm na watoto na familia yangu na Jamie islamu awaongoze wanangu na mm kwenye njia njema Amin ya rabil alamin.
Maashallah shekhe allah akupe maisha malefu yenye afya tele uzidi kutusomea dua inshaallah🙏🙏
Mashaa Allah Allahumma Ameen Yarabby nakuomba Yaa Allah kwa uzito na utukufu wa dua hii iwe sababu ya kuniondoshea mazito nilonayo na unifanyie wepes ktk utaftaji wa riziki yng na unisahilishie mambo yng pasina mm kujua Yaa Allah nakuomba nifanyie sahan ktk mitihani ninayoyapitia na uniongoze mja wako dhaifu pamoja na wazazi wng na uniongozee na kizazi ulichonirudhuku Yaa Allah shukrn ustadh nimeitikia dua hii kuna uzito nilokuwa nao najihis amani ya moyo na ninavyokipenda kitabu hiki Allah shahidi 🤲🤲
Allah atufanyie wepesi mambo yetu nakhatwa zetu site as Na vizazi very Na jamiil Muslim
Amiin Yaa Rabb
Aamin yaarabb
Allahuma Aameeen yah Allah utukuzwe haufananishwi Na kitu maana we ndie tegemeo letu,,, Amiin nifanyie wepesi Kwa kila Lilo Zito kwangu Na unisahalishie mitihani Yote ninayopitia Yarrabi,,,Na uwakumbke waja wako walio tangulia mbele zako ZA haki,,,,Na unibariki Na kizazi chema in Sha Allah
Allhumah amiin 🤲 yarrab 🙏😢
Ya Allah nijaaliye kila lenye heri na niepushe na shari zote... Nijaaliye furaha katika maisha yngu... Afya na umri unijaaliye mm na wanangu... Yaa Allah 😭🥺
Yaa Allah nijalie mwisho mwema na mama yangu watoto wangu na ndugu zangu yaa rabb kupitia ukubwa wa dua hii kila UCHAWI ulio jificha ndani ya familia yetu yaa rabb ufichue ubainike kila alie kuwa adui yetu ndani ya familia yangu tufichulie yaa rabb wewe hulinganishwi na chochote yote wewe unayaweza nifungue kiuchumi watoto wangu ABDULRAHIM SAID apate kazi nzuri HAJRAT SAID apate shule nzuri penye mtihani usimupeleke mtoto wangu kupiti dua hii yaa rabb nijibu
Mashaallah ya Allah kupitia Dua hii ukaniongoze kutokamana na kila lenye na heri na ukanikinge kutokamana na kila lenye na shari na ukanijaalie maisha mema hapa duniani na kesho akhera pamoja na wazazi wangu ikiwemo waislamu wote kiujumla
Ya allah ya allah hakika ww ndio kila kitu kwangu NA bila wewe siwez ninakuomba allah kwa kudra za dua hii NA rehma zako nakuomba unifanyie wepes katika magungu NA uzito NA changamoto NA miskosko ninanoipitia katika kazi yangu hakika hujawahi ni acha mja wako kila nikuombapo hivyo alhamdulilah naamini hata Haya yatapita kwa kudra zako inshaallah kher 🙏🙏🙏
Ya Allah kupitia dual hii nakuomba Mola wangu Uniondolee kila Aina ya Maradhi na shida zote,Mola wangu kwa utukufu, huruma, na power yako nakuomba uwape pepo mahujaji waliokwenda Haji,watakaoenda haji,na mie unijaalie siku Mola niende haji,na unisamehe mimi na wazazi wangu 2,na masheikh,na maustadhat,,ln shaa allah
Dua kwaajili yangu na familia yangu Allah atiwe wepesi kwenye magumu yote nnayokabiliana nayo Allah mrehemu mzazi wqngu aliembele za khaki nifanyie wepesi kwenye utaftaji wangu nilinde na wenye husda chuki inshaallah
Pia naomba wajalie wanangu afya maisha malefu wakuze katika kukupendeza ww nawakuabududu ww wakawe wtt wenye hekima NA maalifa NA nidham wape wenye kusoma dini nakufanyia ibada amiiiina
Mashaalhwa mwenyezi mungu Atufanyie wepes Kwa Kila jambo kupitia Dua hii
Yarabbi mungu tujalie utupe wepesi kwenye kazi zetu na ufungulie mmwangaza yarabbi shari utuepushe nazo nawalio tangulia mbele za haki mungu waswamee thambi zao inshallah na shekh wetu yarab mungu amlinde na amfungulie milango ya heri inshallah yarabbi
❤
Need to see this sheikh please send me his contact
Best dua that's makes your family free from bad people amin ya Allah grant us your forgiveness and protection ami
Nakuomba YaRabby, kupitia Dua hio,naomba kila magumu inayopitia nakuomba ya Allah unifanyie wepesi,uniondolee maradhi
Mashallah hii dua ikisomwa naiona milango ya pepon ikowazi Ameeen
Eti hii dua ikisomwa ? Dua gani ? Hizo ni shairi za aina ya tauhidi za kumsifu Allah, wala sio dua hata kidogo. Allah awalipe ndugu zetu hawa kwa husn niya yao tu ya kumsifu Allah, lakini hii sio dua.
Nakuomba Mungu kupitia dua hii umuondolee maradhi mtoto wangu
Yarabii nakuomba Kwa Dua hii nzito bac ikawe yenye kunfungulia milango yangu riziki na Kwa Dua hii nzito tujalie mtoto wetu alopotea tuweze kumuona inshallah,,Ya Allah nakuomba Kwa Dua hii uwajalie wote walotutangulia mbele za Haki babangu Said na babangu Mohammed na nyanyangu wote uwapunguzie adhabu ya kabri na makaruri inshallah,mamangu pia mjalie afya njema mpe riziki za halali
Yabih ,ya Allah,Yakarim,,kwa Dua hii nzito nakuomba Yaa Allah ikawe sababu ya kuwafutia madhambi yao wazazi wangu waliotangulia mbele za haki,ikawe sababu Nuru,Mwaka katika Makaburi yao,Yaaah Allah kwa Dua hii nzito ikawe sababu ya kuingia peponi mama yangu Khadija Badi,Baba yangu Badi Ramadhani,Nakuomba Yarabbih kwa Dua hii nzito na kwa rehema za mtume wetu Muhammad S.w.a , na kuomba uwahurumie wazazi wangu kama walivyonihurumie Mimi mtoto wao kwa kunizaa na kunilea ,Nakuomba uwarehemu.Nakuomba Yarabbih kwa rehema zako na Baraka zako.🙏🙏🙏🙏😭
Amiin Ya Rabbi na kila islamu Allah Awasamehe madhambi zao
Ameen yarabal alamin
Dua gani? Hii sio dua, ni mashairi ya aina ya Tauhidi, yanayo msifu Allah. Jameni, Uislam umejengewa kwa elimu, lazima waislam wawe na ujuzi wa hali ya juu.
@@alqurankareem5151 Ameen ya rabb
Mashallah 🔥 yanigusa moyo.ya Allah tufanyie wepesi
Allahuma aamin kwa dua hii Allah anikinge na yote mabaya na anipe wepes ktk maisha haya ya dunian na kesho akhera
Amina Yarabi Kwa Uwezo wako kwa Duwa hii Mola wangu nakuomba Unilinde na familia Yangu na Unifanyie Wepesi katika Kazi za Mikono Yangu na pia Uniepushe na Shari za Maaduwi
Alhamdulillahi Rabil Alamini.
Du'a hii inazidi kujenga imani ndani ya roho.
Ya Allah tufanyie kila lililogumu kuwa jepesi.
Aamina.
Masha Allah best duaa jina la kitabu please 🙏
wasilatu shafii
Sikam kile nakijua
Wasilatu tawwasul
Mashallah tabarakallah mwenyezi Mungu atulinde wote na atujalie heri na imani Ameeen
Amiin
DUA KWA AJILI MWANANGU ANAESAFIRI LEO PAMOJA NA WENZIE ALLAH AWAFANYIE WEPESI KATIKA SAFARI YAO KILA PENYE GUMU AWEKA WEPAESI PAMOJA NA ABILIA WOTE WAFIKE SALAMA🙏🙏🙏🙏
Amiin yarablaalamin 🙏,Allah mm mjawako dhaifu sina maneno mazuri na fasaha yanayozidi elmu yako yarabb,unayetambua mambo kabla hayajasemwa,nakuomba kupitia dua hii iwe maombi yang kwako kutokana na shida zangu Ya Rasul.nakuomba maan sina wakumuomba isipokuw wew Ar rahman.nihurumie mm mwnyemakosa pamoja na wazazi wang Yarabby🙏
Allah tunakuomba baraka zako na kheri zako na fadhila zako na nusra zako Allah ikinge na family yangu na mke wangu mummy chunny na watoto wetu
Yarabi nakuomba kisomo hiki kizito kiniondolee mazito yote yalio kwangu nakinifungulie milango ya rizik na kwadua hii nzito uwajalie wote waliotangulia mbele ya haki baba angu said na wanangu Aisha na hanipha pamoja na ndugu zangu wote waliotutangulia uwapunguzie azabu ya kabri uwasamehe mazambi yao wahurumie yarabi laza roho zao mahala pema pepon inshallah🙏mama angu pia mjaalie afya njema na mfungulie milango ya rizik 🙏🙏🙏🙏.amiin yarabi
Tabarak Dua,tulinde na Shari na tulinde na hasara ya Allah
Ya Allah tufanyie wepesi wa maisha utujaalie mazuri ya dunia na akhira In Shaa Allah
Mashalla mashalla mnyezi mungu atufamyi wepesi atuondole mazito yanayo tupata na wana wetu wapate kusoma na uwafungulie mwanga ya Allah 🙏🥺🥺
Mashaallah mwenyezimungu kupitia dua hii naomba unipe subra kwa haya magumu niliopitia inshaallah
@@Asha-k8n6l اللهم آمين 🤲 يارب العالمين 🤲
MaishaAllh
Mashallah Allah awajalie kher mutupe mazuri munayo ya jua na dua jema
ما شاء الله تبارك الرحمن الله يتقبل دعواتك وفرج علينا جزاك الله خير وبارك الله فيك
Amiin yarabi
Mashaallah Allah akujalie Kilalaher
🙏🙏
Allah kupitia Dua hii naomba umkuze mwanangu kwenye maadili mema na afahamu sana dini napia Allah nijaalie nimalize mkataba wangu salama na niludi salama tanzania pia mrehemu baba angu mfutie dhambi zake mtilie Nuru kwenye kaburi lake pia Allah nilindie mchumba wangu mpaka nitapo rudi tufunge na mzidishie subra na utie wepesi kwenye kazi zake mbwana pia Allah nijaalie kwa biashara yangu nilio ianza online iwavutie watu na wanipe oda nyingi ya Allah nijaalie kwa kupitia Dua hii unifungulie Kila heri kwangu kupitia Dua hii Allah Kareem 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@@FaridaFarida4 Amiin ya rabbi
Tabarakz llah mashaaallah jazaka llah umrk
Yaa Allah tupe wepesi tufunguliye mlango ya kheri tutimiziye Yale twayataka tukubaliye na dua hii na ijumaa hii Amin yaa rabaa amin
Yaarabby, kwasiri ya kisomo hiki nakuomba unikidhie haja zangu zote zakhery nilizokusudia yarabby❤
Ameen yarab❤
I have been looking for this sound..hii ni Ile husomwa radio rahma kika magharibi...nimefurahi Kwa kuipata
Shukran shekhe mungu akujalie kwa mafundisho mazuri nakupenda sana kwaajili ya allaah ❤❤❤
ALLAHU YA RAHMAN!
ALLAHU YA RAHIM!
ALLAHU YA KARIM!
ALLAHU YA LATIF!
ALLAHU YA ALLAHU!
Ya Allah warehem wote waliotutangulia aamin
Allahumma ameen yaa raab yaa Allah ❤🤲🤲
Amina yarabi
Ewe
Allah
Ambayehulali
Wala
Husinzii
Wala
Huna
Mwenza
Wa
Kufanana
Nae
Na
Unaweza
Yote
Juu
Ya
Wajawako
Naomba
Uniponye
Maradhniliyonayo
Duhii
Iwe
Sababu
Ya
Kuwaongezea
Neema
Wanangu
Na
Shekh
Ulieongoza
Dua
Jazakallahu
Amiin ya rabbi
Allahuma amini ya Raby
Ameen yaa rabil'lalameen
Ya Allah nipe wepes kwa Kila zito ya Rabi iwe makbuli kwa ya rabi
Masha Allah bless you all Muslim and the won who is reading it Amin tuma Amin
istajeeb lana ya Allahu
Amine! May ALLAH Bless you as wel as all muslims!
Amina YA RABI YA ALLAHU!
ALLAHU SUBAHANA WATA ALLAH!
ALLAH AZAJAWAL!
ALLAHU RABUL ARSHIL AZIM!
ALLAHU YA YERKOY!
ALLAHU AKBAR!
MAY YA ALLAHU BLESS AND PROTECT US AND FIGHT THE ENENEMIES FOR US IN DUNIA AND AKIRA!
ALLAHU YA ALLAHU!
ASH ADU AN LAHILAHA ILALLAH WAHDAHU LASHARIKA LAHU ASH ADU ANA MAHAMADU YA RASSULULAH Salalat Aleyhi Wa Salam!
ALLAHU AKBAR!
Allah,tawakaltu alayka,Allah on you we rely.
Mashallah Allah awalipe mema inshallah
Amin Amin Amin.
Amin.. Amin Amin
Ya Allah fungua milango ya maisha yangu kupitia dua hii 🤲🤲🤲🤲🤲
Ameen thumma AMEEN 🙏. May Allah continue to bless US 🙏
❤❤❤❤❤❤😢😢😢❤❤
Ya Allah Takabbal Duaana 🤲
جزاكم الله خير
Allah barik
Yaarabi nakuomba kupitia dua hiii iwesababu ya kurudisha furaha, upendo na thamani yangu iliyopotea inshaallah
Amiin
Ameen Yaarabi kwetu sote
Aamin
ASH ADU ANLAHILAHA ASHADUANA MAHAMADAN ABDUHU WA RASSULUHU Salalat Aleyhi Wa Salam!
ALLAHU YA LATIF!
ALLAHU AKBAR!
May ALLAHU Bless us with with Wide Arzuku, Wide sustenance, a positif life, a long and healthy life and a very strong Iman and Bless us with Aljana firidausu in the Here After!
Amina YA RABI YA ALLAH!
Amiin yaa Rabbi 🤲
Allah kupitia Dua hio tukufu,naomba utuondolee mwanangu maradhi aliyonayo ,umpe furaha
Amina yarab mashaallah
YA RAHMAN!
YA RAHIM!
YA LATIF!
YA KARIM!
YA WADUDU!
Mashaallah tabarakaallah
AMINA YA RABI YA ALLAH!
Masha Allah. Dua nzuri Sana.
Amelazwa hosptal kupitia dua hii umfanyie wepesi umuondolee maradhi yanayo msumbua
Aa naomba kwa Allah kwa Quran hii yarab nikidhie hajazangu,unipe subra naimani yamoyo unipe khema na busara na Dua hii iwe nusra kutokana na shari za viumbe wako iwe Kinga na inijaalie KHER ya Dunia na akher
اللهم آمين يارب العالمين
Bismillah Macha alwahu lakuwata illa bilah alwahumma À mina ya rwabiy ☝🏽🕋💔
Amiin aamin yaarabbal aalamin
Amina YA RABI YA ALLAH!
Jazak ALLAH Lkheir
❤❤❤
Allahuma Amin yarab
Ameen summa Ameen
mashaallaha👌
Amiin YA RABBI ALAMIIN
Allah atujalie kwa Kila jambo dua hii ituongoze
Allahumma amiin
Améen yarabal alameen
BarakaAllah
Jazzahu qallahu qeiran
Qu'allah recompense nos frerre croyant amine ya allahou
Allahou ya allahou une Belle fille
Amine ya allah
Amiin Ya Rabbi
🤲🤲🤲💖
Masha allah, allahumma amiin yaraab
Mashallah 🤲🤲
الله ياالله ياالله استخلن اللهم ياالله
اللهم آمين آمين آمين
MashaAllah!Fahuwaaa
سبحنا الله ىاللة 🤲
Amin ya Rabb...
Masha Allah,,, Allahu-akbar