PANGA LILIVYOWAFEKA VIGOGO CHADEMA || YASEMEKANA 10 WAFYEKWA KILIO KICHEKO WALIOSALIA HAWA HAPA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 вер 2024
  • Usaili wa siku mbili wa wagombea wa nafasi mbalimbali katika kanda nne za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeacha kicheko, kilio na simanzi kwa watia nia waliopenya na wanaodaiwa kukatwa majina yao baada ya kutokidhi vigezo.
    Mchakato huo ulioitimishwa usiku wa kuamkia leo Jumanne, Mei 14, 2024 ulikuwa wa moto na hofu miongoni mwa wagombea kupenya kwenda katika hatua inayofuata ya kuanza kampeni ili kuwania nafasi walizoziomba katika kanda nne za chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
    Mwananchi Digital imedokezwa takribani watia nia 10 wamekatwa majina yao wakiwamo wanaowania uenyekiti na umakamu katika kanda za Victoria, Serengeti, Nyasa na Magharibi.

КОМЕНТАРІ • 30

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 3 місяці тому +3

    Nimefurahi kumuona j
    Mnyika kubakia miongoni mwaa waliobora

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 3 місяці тому

    Duu CHADEMA 😅

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 місяці тому

    Mmapandikizi yamulikwe😂😂

  • @FideriusJoseph
    @FideriusJoseph 3 місяці тому

    Viroba mnapata wap ?dah! Mnagonga balaa 2:09

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 місяці тому +2

    Hiyo kawaida majina makubwa hayakatwi hata kama wanauchafu 🤣🤣🤣

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 місяці тому

      Kawaida huko CCM

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 місяці тому

      @@eliajimmy95 We acha ufala chadema mwenyekiti wenu yupo kwenye kiti maisha kama mfalme CCM hiyo hayipo kabisa 🤣🤣🤣

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 місяці тому

      @@halimamasai2234 katiba inasemaje? Kila baada ya miaka 5 unafanyika uchaguzi anashindana na watu wengine kwa uchaguzi huru na haki lakini anashinda, ulitaka afanyaje?

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 місяці тому

      @@eliajimmy95 We acha kutudanganya mtu akisema tu nachukua form anafukuzwa chadema hakuna mtu anasogelea hiyo kitu mfano ni zito, sumay, na wengine wengi tu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 3 місяці тому

      @@halimamasai2234 wewe ndio muongo na inaonekana unaishi kwa kusikiliza propaganda za ccm lakini sio kwa kufuatilia ukweli . Nani aliyekwambia sumaye alifukuzwa Chadema? Nani alikwambia kuwa Zito alifukuzwa kwa sababu ya kugombea uwenyekiti? Mbona kuna waliogombea wakashindwa na leo wako CCM Akina Cecil Mwambe.

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 3 місяці тому

    Hiko chama bila mbowe kukubali hapo hupiti hinamaana hakuna huchaguzi ni mbowe hanae chagua watu wake ili wamlinde

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 3 місяці тому +2

      Kama unakerwa hivi lakini naona unaingilia mambo yasiyokuhusu usitake kuwachagulia viongozi wao wewe siyo katiba ya chadema

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 3 місяці тому +2

      Ungekuwa mchawi bila shaka ungemloga Mbowe ila basi duwa la kuku halimpati mwewe!!!!!!!!!!!!!!

    • @Emmanuel-bp7ir
      @Emmanuel-bp7ir 3 місяці тому +1

      Kwani huko ulipo wewe pimbi hamna miungu watu acha ujinga kama wewe upo kwenye mtaro zinakupitia tuliza mshono, na umshukuru Mungu, watu Wana Hali mbaya mnafiki wewe, nyambafu.

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 2 місяці тому

      Nathan acha kushikiwa akili, kwani Mbowe ndiye anayewashikia akili wapiga kura kumchagua mgombea? CHADEMA kinachokupitisha ni ubora wako kisiasa katika nafasi unayogombea na si vinginevyo, acha kuwasemea.

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 3 місяці тому +2

    Mbona unaongea wewe jaman kulikon mbona wao awatuambii

  • @chemstry409
    @chemstry409 3 місяці тому

    DJ vp bado chairman....😂😂😂

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 3 місяці тому

      Hee na Wanzizabar wamo?? Mh labda sielewi

    • @judicateurassa7817
      @judicateurassa7817 3 місяці тому +1

      Mbowe hatoki mpaka tupate uhuru Tanganyika maana ccm mnataka atoke hapo

    • @chemstry409
      @chemstry409 3 місяці тому

      @@judicateurassa7817 OK SAWA ....TUNAMTAKIA KILA LA KHERI....

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 3 місяці тому

      Judica umenena, Mbowe hatoki mpaka Tanganyika irudi na KATIBA mpya iandikwe. CCM wanaona Mbowe ni kisiki Cha uongozi Bora ndo sababu Kila kukicha eti Mbowe aachie uenyekiti ndo demokrasia. Hata baba wa Taifa alihakikisha Tanganyika inapata uhuru, hakujali muda. Viva Mbowe.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 місяці тому

      @@judicateurassa7817 hamjiamini ndo maana mbowe akitoka ndo kifo cha chadema 🤣🤣🤣