MZEE MASATU SIMBA AVURUGWA PRINCE DUBE ANAENDA YANGA SISI SIMBA TUNAJUA, TUTAKOMA, YANGA WAMEJIPANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 чер 2024
  • PRINCE DUBE ANAENDA YANGA SISI SIMBA TUNAJUA, YANGA WAMEJIPANGA KWA MSIMU UJAO SISI TUNAGOMBANA
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 13

  • @fredmwakyoma2734
    @fredmwakyoma2734 8 днів тому +3

    Kagere hajawahi kufikia goli 26 alifuka 22 na mara ya pili alifika 20.Hiyo 26 ni record ya Mwamedi Hussein Mmachinga haijafikiwa.

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 8 днів тому +2

    Hakuna alomfikia mmachinga

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 8 днів тому +1

    Sio kweli tambwe Alisha kuwa mfungaji bora mara mbili mfululizo

  • @peterjisema4222
    @peterjisema4222 7 днів тому +1

    Mzee Masatu asiwadanganye watu,Kagere alifunga magoli 23,kisha 22,hajawahi kufunga 26,ni Mohammed Mmachinga tu aliyefunga magoli 26 hapa Tanzania na hajatokea wa kuvunja hiyo rekodi

  • @H3s4d
    @H3s4d 8 днів тому

    Umemsahau Chinga one

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 8 днів тому +1

    26 ni Mohamed HUSSEIN TU

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 7 днів тому

    MASATU HUNGERA KWA USTAARABU

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 6 днів тому

    Huyu Mzee Saidi akutanishwe na Mzee mpili.Itakuwa mechi nzuri sanà.

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 8 днів тому

    Dosa mi nilikua sija kusikia sana kumbe unajua sana hongera

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 5 днів тому

    iyokahawa inaonywewaapo kwani ivi inalevya.?

  • @lameckmayalaihobesadickmayala
    @lameckmayalaihobesadickmayala 2 дні тому

    Nahasa wanadimba, walio wengi nimashabiki mandazi

  • @ellykerenge8764
    @ellykerenge8764 8 днів тому +1

    Huyo mzee ni tafsiri sahihi ya mashabiki wa simba! Mashabiki wa simba wa IQ ndogo sana,subira hawana! Huyo mzee mtu mzima anashindwa kutumia busara asubuli mwenzake amalize kuongea kisha aongee yeye ila anapiga makelele kipindi mwenzake bado anaendelea kuongea! Simba ni takataka kwenye hii nchi!!!🚮🚮🚮

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 8 днів тому

    Ukitazama Haya Mazungumzo Kwa Umakini ndio utajua kwamba sisi hatujui Nini
    Maana ya Uwanachama Jambo LA kwanza hizi timu zinatakiwa kutoa Elimu Sana Kwa Mashabiki na Wanachama kulipa Ada zao na wengi ni Mashabiki hata Kadi hawana