Mimi Kati ya Rafiki zake nafurahi ako Jannah lakini bado najiuliza walio muua Kwa sumu walipata faida ngani hata saa hii Nalia Ismail Mungu akupe jannatul fardaus
Allah nakuomba lijalie kaburi lake liwe miongoni mwa viwanja vya peponi,muondolee adhabu ya kaburi na siku kiyama muingize katika pepo ya firdaus kwa Rehema za YARABI
Mashallah allah amrehemu uyu shekhe
Amin 🤲
Amin
Masha Allah. Mola akulipe mema Duniani na Akhera Sheikh wetu Kwa kutuelimisha
Mimi Kati ya Rafiki zake nafurahi ako Jannah lakini bado najiuliza walio muua Kwa sumu walipata faida ngani hata saa hii Nalia Ismail Mungu akupe jannatul fardaus
Allah nakuomba lijalie kaburi lake liwe miongoni mwa viwanja vya peponi,muondolee adhabu ya kaburi na siku kiyama muingize katika pepo ya firdaus kwa Rehema za YARABI
Mashallah mashallah mashallah
Mash'Allah ❤️🙏🤲
Maashaallah
Mashallah
Alisha fariki Allah amrehemu
Neema na amani zimshukie juu yake ALLAH AMJAALIE PEPO DARAJA LA JUU AWE PAMOJA NA MTUME WETU MOHAMMED SWALALLAHU ALEY WASALAM ❤❤❤❤
Assalaamu aleikum .... tafadhali.. upload mawaidha nyingi za huyu sheikh ... tafadhaliiii... Allah amrahamu shekhe wetu
Man Shaa Allah
Siku ya kiyama muingize katika pepo ya Firdaus kwa Rehema zako YARABI
Suleiman huyu sheikh Ismail bayre alipewa sumu Morocco akarudi akiwa mngonjwa kwao Congo akafariki akazikwa Congo tulikuwa tukienda msikiti pamoja Jannah my friend
Kazikwa makaburi ya kisutu dar e salaam
@kassimualli1755 ni kweli bro mungu ampe jannah sheikh Mohammed
Awtw
Jamani naulizia huyu sheikh bado yupo hai au ameshafariki na kama yuko hai wapi anaishi ???
Ameshafarikii
Amefariki mda sana na inasemekna kabri lake limepotea alijulkn lilipo kwa mujibu wa mdogo sheikh juma Bayle
@@mamkhan970 sio kweli kabri ya sheikh Mohammad Ismail bayile ipo katika makaburi ya kisutu katikati ya jiji la Dar es salaam
@@alijuma80 2001
Amefariki tumuombee mungu