Pamoja sana mdogo wangu devisistar mungu Akubariki kwa kutoa elimu muimu kwa vizazi vijavjo na dada yake baba mmoja ???🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷🙏🙏
davista usitoke mwanza pls.. mwanza na mikoa yote ya kisukuma wana story nzuri sana
Mungu tusaidie
Mungu awe nanyinyote mnaofatiria
Leo nimewahi mafundisho mazuri sana
Kama unakubali kazi za Davistar like hapa twende sawa
Maskn kijana amenisktsha sana apo kwa mamake alivokua akmwamsha kumbe keshakufa
Pamoja saana Mr Everything 💪
Pesa za kikinga izo wanakufa then wana fufuka 😂
Najifunza
Yani ni mtoto huyu jamani
Nimefika wakati mwafaka
Tunaomba Epsode 2
Mchoyo hahaaaa
Nachekaga sana tabia ya huyu mtangazaji au mwandishi yaani interview zake zote yeye anakunywa maji au soda ila anaeongea sana ambaye ndie anakaukiwa na koo hanywi au hapewi hata maji. Haiko sawa jitahidi unaowahoji wape hata vinywaji na wape break ya kunywa chochote.
@Fredrick Litunda inaonekana wewe ndo unaanza kuangalia interview ya kwanza au ya pili ...hujamfuatilia mda mrefu
Kama unakubali kazi za Davistar like hapa twende sawa
Kutoka south Africa cape Town right now, kiba ndani napajua igombe naijua nime ishi kwa muda wa miaka miwili, polesana broo kwa mitihani