RC CHALAMILA ATANGAZA TUKIO KUBWA DAR SIKU ya MAANDAMABO ya CHADEMA TAREHE 23 -ATOA MAELEKEZO MAALUM
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- RC CHALAMILA ATANGAZA TUKIO KUBWA DAR SIKU ya MAANDAMABO ya CHADEMA TAREHE 23 -ATOA MAELEKEZO MAALUM
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Alale salama mzee Ally Kibao. Nyie fanyeni tamasha la upishi. Ile damu ya kibao akajae kwenye masefulia yenu ili siku ya mwisho mkaijue nguvu ya mungu.
Chadema Kuna watu smart sana,check wanavyowapelekesha ccm,Hawa lali
Mmekosa kazi
Tutaenda kwny maandamano hatutaki rushwa
Nenden mkaandamane si mnawashwa, ngoja wawakune
@@SweetBertMlinda-bq7mpHuwezi jua uchungu wa kuuawa au kutekwa hadi pale yatakapokukuta wewe au ndugu yako.
@@SweetBertMlinda-bq7mpni kweli tunawashwa ndg zetu wamekufa na wengine hawajulikan waliko, tuna raha gan. Zuzu kweli wewe
Hiyo mitungi ya gesi tutaitumia wapi wakati tutakuwa tumetekwa?
Mtaongea pumba sana but enough is enough
Watu wanafanya utani na maisha ya watu asee
😂
Mm ntaenda kuchukua elfu. 20 alafu naenda kwenye mahandamano
😂
😂😂😂😂
Utopolo .....mm nitakwenda kwenye maandamano kutetea uhai wetu, na haki ya kuishi
Una uhakika utaweza kuandamana upo tayari kuacha familia yk
@@KassimAlly-xp4dzHata wewe utaweza tu siku atakayotekwa au kuuawa ndugu yako
Mwaka huu Mtaonga Mpaka mkome
Hamtaweza
😂😂😂Hii nchi bn
Hata mjinga anashangaa kusema ukweli 😅 kucheza na akili huku lakini kwa nini ?
Rais anakazi safari hii huyu nae nijipu limeiva
Do Nyama,jiko kweli Watu wanaangamia kwa kukosa Maarifa😢😢😢
Gz wa kenya Tanzania sijui wataitwaje
Nilijuw chalalmil ana akiiii.... Kumbe bo.... Kweli watanzania thamani yaooo ni elf20 kipind kile aliweka vikos kusafish balabal leo kaskia tukio la wapenda haki analeta use... Kuchezea maisha ya watu mh wenye akili wataamka
Yeye awapeleke kupika, tukiwa kazini baadae tunaenda kula. Na mwenye nafasi ya kuwahi akachukue 20 hiyo alafu arud tuendelee na kazi
Tanganyika Mungu atusamehe sana kwa kutokuona vizuri
tutachukua hela tukitoka apo ktk maandamano
Mlimsifiaga mkasema huyu nimzuri anasifia pombe anafaa Dar ,haya muoneni kama anafaa, lakini kufika mtafika mkiwa mnachechemea, kwakuwa hamja vaa viatu,
Yani muna hakiri za kizamani zilizopitwa na wakati. Watu wanatakq kuandamana kudai haki zao kukomesha uhuni wa mauji
Kashaanza ujinga mbwa huyu bado maandamano Yako pale pale mpumbavu kweli ww na utaumbuka subiria siku ifike
CCM HAIWAFANYI WATU KUWA MASIKINI WATU WENYEWE WANAJIPA UMASIKINI KWA KUTOTUMIA AKILI NA MAARIFA WALIYOJALIWA NA MUNGU NA KUBAKIA KUMWAMINI BINADAMU AMBAYE WALA HAKUTHAMINI
Nashukuru sana kwa habari zenu ila naomba mhariri uwe unahakiki maandishi ya vichwa vya habari kama viko sahihi. Mfano wa neno maandamabo badala ya kuandika maandamano.
Wanajua watu wananjaa....ni rahisi kumtawala masikini
Ajipange kweli kweli safari hii hakuna drama.
Hamtaweza ndugu watz woga sn
@@KassimAlly-xp4dzAcha uchawa kwenye mambo serious... damu za watu si za kuku. Kama huwezi huwezi kudai haki kaa kimya.
Elfu 20 igawanye × 100
Ttaandamano talehe 24
Tatizo sio mitungi tatizo iyo gesi yenyewe ni ghali sana
MNAANZA KUGAWA RUSHWA,TANGU LINI MLITOA HELA???, WENYE HATIA WANA HOFU...
tuache kulipia king,amuzi cha Azamu kama tulipoludisha laini za tigo
Mwisho wa CCM,Umekaribia afadhari kuwa Balance na nchi yetu ndiyo itayo dumu,,Ukiangalia nchi za wenzetu nyingi zinabadirishana vyama,Utaifa ndiyo unao dumishwa,
Safi sana kazi iendeleee maana kunamajitu hayataki kufanya kazi yanataka kuandamana Ili wawaibie watu
Huwezi kuwaita watanzania wenzako "majitu" ikiwa wanahitaji kutafuta ukweli wa ndugu zao waliopotea na hawajulikani walipo...
Najua huwezi kuelewa uchungu wa kutekwa hadi pale atakapotekwa mtu wako wakaribua au wewe mwenyewe.
Toka uanza izo kazi mpaka leo unanini
@@user-sy5lx7el4z siwajibu malimbukeni na wapuuzi wasiyojua maana ya siasa
@@FrancisRM-ex8vf unadhani mihemko kama hiyo niyauchunguzi au kuvuruga amani ya nchi
@@user-sy5lx7el4z isitoshe hata kadi ya chama huna
Moja ya zile mbinu😂😂😂😂😂😂😂
Haya tuone, na njaa kali tuliyonayo waTz. tutakwenda kwenye maandamano ya Chadema au tutakwenda kupata sh. elfu 20 na mitungi ya gas??? Nipeni jibu wadau
Unakwarua 20 upate za chakula na maji kwenye maandamano
Hayo sio maandamano ya Chadema ni maandamano ya wananchi wa Tanzania kutaka kujua ukweli wa ndugu zao waliotekwa wanatekwa na akina nani na wapo wapi.
Ukianza kuingiza mambo ya siasa kwenye mauaji unakosea sana (Acha wanasiasa waendelee kupambana kivyao)
Baharesa anabariki waislam wenzie wafe,?? Kwa kutekwa?????
Tunataka katiba iyo pesa ni ndogo sana
Mta honga sana had mboga
Maandamano trh 22 then😊
Ulienda wapi kabla ya tamko la mbowe
MUNGU ᎯᏦᏦᏠᏦᎯᎿᎯᎯ ᏰᎯᏁᎯ ᏦᏠᎿᎯᏢᎯᎿᎯᏢᎯ ᎻᎯᏦᏠᎨᏕᎻ
Chalamila na ccm yako. Kumbuka pesahizo ni pesa za umma
Faida ya hayo manyama na gesi za kugawa ili nini ..nchi inahitaji mabadiliko makubwa sio nyama na mitungi ya gesi ..
Hatudanganyiwi nyau sisi
Ili ndio alifai kabisa yaani ndio mtu namba moja anae ichafua ccm kwa asilimia zote
Tulivyowajina tutakimbia elf 20 ili tukalipe vikoba mm siendi maandamano na wala siendi kwenye tamasha bora nilale zangu
Maandamano yatafanyika labda watu wetu muwatoe
Majanga yanapozidi mioyo ya watu huota kutu. Mkiweza kulizima hili barabarani mtambue halitakua limezimika mioyoni na kumbukumbu hubaki shahidi
asa leo unanipa mtungi wa gesi kesho natekwa na kuuliwa, ni bora nikatae mitungi ya gas na nizuie kutekwa na kuuawa
Hakika kweli ccm imeishiwa sera. Kwanini Tarehe 23 isiwe siku nyingine. Nyie wachokozi waleta fujo viccm nyie. Muulize magu kilichompata
Yana mwisho haya ipo siku mtapata majibu
Mmeshajiona ni miungu watu ,inatosha .
Fisiemu wanawafanya watu. Kuwa. Maskin. Halafu wanatumia umaskini wenu ili msahau kadai haki zenu hamjitambui
😂😂😂😂siku ya maandamano ya chama kile iwe cku ya ya majeshi ya ulinzi na usalama iwe cku ya usafi jijini dar hapo kitaeleweka
Kwani wanajeshi ni wapumbavu kama fikra zako zinavyokutuma kuwa kazi yao ni kutumika kwenye uharamia? Ifike pahala muwe na akili kuwa baadhi ya wanajeshi ni ndugu au watoto, baba, mama, dada au kaka wa wanachama wa chama chochote, wanajeshi SI wapumbavu muda wowote wanaweza kushughulika na upumbavu wenu mkashika adabu na kutambua nchi ni ya wananchi na SI wanachama wa chama chenu tu
Kwahili serkal wanakosea, CCM chama changu lakini utekaji haukubaliki Acha chadema washinikize kwanza uchunguzi ufanyike ningekuwa dar mie ningeshiriki na nguo ya CCM kabisa. Embu angekufa ni baba yako, mjomba au mama ati kisa chama ungefanya nini. Unapost vitu bila kufiklia ungekuwa wewe ndio mhanga. Afu unaweza kuwa mtu wa dini wewe, sasa unamuomba mungu gani?
@@daudimchileg307wewe ndo unajua nini maana ya jina daudi unaongea kishujaa bila kujali chama umetazama utu zaidi
@@PrinceHendry-hp8vv mungu ameagiza upendo, sio haya
@daudim👏👏👏👏chileg307
Yaaan unaweza kuelewa kuwa serikali ianajua njaa za watanzania tumechezewa sana uhai unathamani kubwa kuliko mtungi wa gasi na sh20000 mbwa we
😂😂😂😂😂Sio kwa kumalizia huko,
Ukiona fedha hatujui zimetoka mfuko gani zinagawiwa kiholela hivi ujue kumeanza kupambazuka mtagawa zitaisha lakini haki lazima itamalaki uhai ni mhimu kuliko gesi na elfu 20
Ila serikali yetu inaviongozi machz
Yani nchi hii ccm wanatufanya kama watoto, inamana wanaona mtu hana 20000 mpka hawai akapewe bure na ccm, hizi zarau za viongozi kwa wananchi wake mpka lini,na huyu ndo anaongoza kwa izo dharau na kukebei watu
Tumeishajikaburu tayari)
Tamasha lako watahudhuria Wana CCM wenzio wasio na Uchungu na kupotea kwa watu,Bali sisi Wenye Nchi,Wazalendo tuna Jambo letu tutakuwa palee jirani nawe,Kisha tutakuja kula hizo nyama choma,huduma ya chakula Iko jirani,Asante Sana Mkuu wa Mkoa kwa Ukarimu wako kwa Waandamanaji,Mungu akubariki Sana "nalikuwa na njaa (maandamanoni) ukanipa chakula. Una thawabu yako kwa Mungu,hata Kama unafanya kwa Hila na Unafiki.
Huyu angekua baba angu nahisi angeniachia laana, maana sio kwa utoto huu anaoufanya😂😂😂
Anyway maandamano yataanzia kwa wababe, kanda ya ziwa yakiongozwa na mkoa wa mara, mwanza, shinyanga, Geita, kagera, simiyu na kigoma🥷🥷🥷
Chukueni hiyo hela chapu kimbia kwenye mandamano itakusaidia kununu maji yabardi unywe
Ipo siku na nyie mtaria si mko juu ya dola
Nadhani Chalamila, mfano ameishauona kwenye kituo cha polisi kilichoshambuliwa na wananchi bila hata hatia, ila hapo anajaribu tu kujihami na kulinda masilahi yake binafsi😂😂😂
Maandamano kwanza
Chalamila ana Akili nyingi,Anafanyia hivyo kwaajiri ya maandamano,
T7na uchungu na ndugu zetu waliopotea /waliotekwa pia tunauchungu na nfuze zetu waliouwawa kikatili kubwa hatutaki ges hata kuni tutapikia
Unakazi
kwa kweri watanzania viongozi wet mmetukanyaga kichwani kwa haha unayoyafanya ndugu chalamila unamchafuria hali yahewa mh. Rais wants kwa kukuza mgogoro na vyama vya upinzani bure waache waandama e tena walindwe vizuri Kwa mjibu wakatiba yetu.
Hatutaki ges ikiisha mtawajazia????
bei inaweza ikapanda ya gas
Mmmmm
Kama kuonga2 mtaonga saaaaaaana
Ishi..hii nchi inashida kubwa kuliko tunavyofokiria
Duuuuh!!!!
Hakuna maandamano labda mlusiwe Tanzania syo kenya
Asante mmm nniitaendaa kuiutafuta watopooto. Wa kkakka yanggu nin uvvhuunnguu
Rushwa rushwa rushwa
mm ntaenda kwenye maandamano😅
Ukizengua tunakuzengua kwako mbona poa tu unaishi ulaiani harafu unatuzengua acha kabisa
Kweli watanzania mshajulikana ni mafala malofa waganga njaa kweli ukauze utu wako kwa 20 keleuwiiii Mungu tusaidie
mama yangu uzizalilike nitakupa
mimi 20000 bila
kusumbuka wewe sio mtumwa
Kichaa kaiba panga😂 siendi popote
Vichaaaa ni wengi kweli
Hahahhaaaa serikal yangu inajua kunifurahisha
Huyo chalamila ni ujinga tu huo watu wanajianda kufanya jambo la msingi la kujua hatma ya ndg zao waliotekwa halafu yy anaanzisha matamasha eti kwa lengo la kuzma maandamano au ñdo anawatuma watekaj?
Watanzania muwe naakili bc
Apo ndipo mjue kua wauwaji wakubwa ni selikali na ndio maana unajitaidi kufanya kila mbinu ili tu mandamano yasiwepo ila mi nina aidi kwa sasa kama aya mandamano ayajafanyika bas kwa nzia sasa nitaachana kabisa kufuatilia mambo ya sias apo nitakubali kua tupo kwenye umwa
Mupate kupigiwa kula au wadañgany watoto sisi maandamano nimuhim sana kwetu
Umechemka kiongoz
chalamila haya
Pikeni msosi wakutisha kwakuwa waandamanaji tutakua wengi kwahyo mutasaisia Sana mkuu
Apa mmetumia akili ndogo kila myu atajua kwann mmefanfa ivo
Where are you before?
Global publishers na ww umefel kichwa cha habari ety maandamabo😮😮
Wameanza mbwembwr
Hongera chalamila kuna gange linatafuta uchochoto wa kuichafua AMANI yetu tunayojivunia!!msiwape nafasi!!tupo pamoja MKUU!!
Wewe pia ni chawa tu...
Huwezi kusema Tanzania ina AMANI kwa sasa hivi ikiwa ndugu zetu wanatekwa na kuuawa...
kiufupi haya mambo yakiwa hayajakukuta huwezi elewa ndio maana unaleta siasa kwenye issue serious.
Una AMANI au ACHA ujinga wewe
Hakili yakitoto sana hata mwanza tutandamana ili tupate mitungi ya ges pia watanzania msikubali kudanganyika mdawakundanganywa umeisha watarudi kuzifata mda siomlefu
Hizo pesa zinatoka budget gani wajamaa
Winifiridasaimoni
Rudisheni vijana wawatu mliowateka lasivyo wtz tumechoka kutekwa nibora tuje tukafie hapo live kila mtu anatuona kuliko kulushiwa mamba wagawane
Mnatapatapa