DULLAYO akili POMBE ndio zimemfanya KUSHUKA kimuziki|Natamani KURUDI kwenye GAME tatizo MTAJI
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- East African number one UA-cam channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#diamondplatnumz #wasafi #ayotv
Dah maisha haya alikua kija mzuri😭😭😭
Jamaa nikimuona hivi roho inaniuma sana sababu anajua mnoo
Jamaa anaependa Sana pombe angejua ndio inayomlostisha kimuziki angepiga chini mitungi
Ushazeeka rudi kwa .mungu wako bro ushauri wa bure mda ushakupita tubia Tena dunia mapito tu ila usipanik ushauri wa bure
Anavoongea anaongea kama mimi nikiwa na usingizi😂
Kijana mdogo unajiua .Mungu akusaidie .
Hujui anapitia yapi so usimlaumu.. sabbu hta wwe hujui kesho yako
Aisee nirikuwa nakupenda sana dulayo jmn vijana wenzangu msiwe ivyo mawazo yasiwapeleke kwenye pombe
daaah dulayo d time namkubali sana
Yan dulayo ndo Kawa iv😭😭😭😭
unazingua dulayo em acha pombee kwanzaa ufanye kazi mana ww unapiga tungi san kumamaye daaah
Unambiwa kitu chochote ambacho mungu wako alie kuumba kakikataza.na mamako alie kuzaa humsaidii.unamaisha utabak kutangatangatu
Dah! Dulayo!
Kwani pombe ni lazimaa ?
Jana nimekunywa chupa moja ya wine na bia nne leo nipo hoi kitandani dulllayo anakunywa pombe nyingi kuliko mimi na anasimama fresh mimi nikinywa pombe sitoki nje wala sikutani na mtu maana nikitoka nje nitapotea huko ninapotaka kwenda
Hahahahahah…
Nakukuta kila interview ya dullayo❤️🥰❤️
Duhhh😢😢😢😢
Maskin ya mungu yan pombe imemfany kawa kam mzee
Daaah huyu jama ndio yupo ivi.
Haha anawapenda bongo 5
Asamehewe Bure🤩🤩
POMBE! INGAWA UKIWAONESHA WATU UPANDE WA PILI WA POMBE UTAYAOGA MANENO HADI BASI
Kapauka kama ngozi ya pumbu
Daah
Mshahara wa dhambi ni mauti ,
Hapo umemaanisha nini ndugu yangu?
Ahmada km ahmada
🤣🤣🤣 ahmada kwenye harakat zake
Daaaaaa jamn 🤗
Ndio kachoka ivyo jamani duuu kweli Dunia mapito
Apunguze pombe
Mi nahisi mshkaji mda wake wa kutrend umefka sasa aache tu mitungi mshkaj ana tatizo kubwa inabidi aje tumuonbee ana nyota kali ila wasanii wachawi wamempoteza…
Hivi ni kweli ?
@@robathcarlos8068 hakuna utani apo kaka#uchawi upo tu amini usiamin ni kitu alichokiumba Mwnyezi Mungu tangu enzi na enzi#
Nikweli kabsa Uchawi upo na Wasanii wanapotezana sana....!! Dulayo sio akili yake hiyo tena ana matatzo makubwa sana aisee 😢😢😢😢😢😢