Kizaazaa mjini Nakuru baada ya maiti kupelekwa kwenye duka ya mtu aliye na deni la marehemu
Вставка
- Опубліковано 19 лют 2023
- Kizaazaa kimezuka katika kijiji cha Bondeni kaunti ya Nakuru ambapo familia ya jamaa mmoja mwenye umri wa miaka sitini imepeleka mwili wa marehemu hadi kwenye duka moja la jamaa anayedaiwa shilingi laki nne na marehemu.
Karibu kenya...2ko n tabia zetu Capital city of Africa 🤔🤔🤔🤔🤔 n kisi tena
Wakisii ata wakiwa Nakuru they have to make Headlines 🤣🤣🤣
Mlisema Kenya Bora mtu awe na smartphone na bundles za kutosha kuboeka ni kujitakia🥴🥴🥴
I swear 😂
Exactly
Walai🤣🤣
Definitely
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nihame Kenya niende wapi????i still want to be a Kenyan in my next life😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 there's no place like home
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kenya never disappoint
Dunia ina mamboo😂😂
No is no I can't give a person that amount to keep for me ,Kenyans wake up.
Me too,... pple are so funny heli niweke kuwa bank,.. I wont mind bank charges
It depends. You don't know the details of their deal.
Haki Kenya yetu 😂🤣🤣❤🙏
Very sad rest in peace na haki ipatikane
Uweeeeeh My Country People Never Disapoint😹😹😹😹😹😹
Hizo pesa atazitoa asicheze n maiti🤣🤣🤣
🤣💃
More worse ni mkisii
Murife dnt run
Very serious
Guys make sure amelipa 😂😂😂 aaaaaiii asiwaletee ujinga,
Aje. Kwani nawe unajuaje alikua anadai how much? Hawa ni gold diggers
😂😂Cjui nacheka nn lakini wakisii never disappoint wallai, Wacha alipe deni
Wah! Haki ya merehemu!!!!, Haki ya marehemu!!!!.
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂,this kenyans wah
haki ya mukufi itendeke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyamira never disappoint
Si story na wakisii..Mzee wa Kijiji amesema baba Marto Ako na tabia ya kuibia watu....ajue mkisii si wa kuchezewa ama kweli kesho yete atakua maiti.
Mungu nisaidie kuhebuka madeni
Hizo pesa zitaliwa na other relatives his wife and kids wont get a dime
He must pay.
🤣🤣
Akicheza na maiti ya mkisii, usiku itamfuata, atajua hajui
Death is not end of life....African saying.
😂😂😂😂💯
Kenya saying 😂😂😂😂 kenya kuna mambo yo
😂😂😂😂,kenyan proverb
@@pascalinejebet1508 aki hii ni kenyan proverbs walai 🤣🤣
Pole sana very sad
Karibu Kenya 😂😂 the world is watching
Kenya my country
Aaah!! Wakisii tumewazoea na vituko kwendeni uko!!! Juzi mpaka munangoa watoto macho,munachoma wama wazee,wababa wanabaka mabinti zao. So hapo musidhani munatutisha.
When the dead come to collect their debt... debtor alikuwa anadhani ameponea deni ya wenyewe.
Hahaha 😆
Karibu kenya
Wakisii🤣
Alipe deni alaah akuna vya bure
Aki Kenyans 😂😂🤣
Bondeni is idlers City
Ana Gari tatu 🤣🤣🤣..huyu Mzee ameamua kumwaga mtama 🤣🤣
Usicheze na binadamu
Alipe deni ,ama akae nahiyo mwili ,justice for that man
If it were not for superstition ... Technically the body will do nothing to him 😂😂😂
Still. Debts should be paid.
kenyans never disapoint weuh lazima kieleweke
Aki Kenya is my country
Wakisii bana😂😂😂
Rest in peace
Kenya ya majaabu
Nini anonyesha alimpatia pesa wakisii never disappoint
Ni kama the transaction was in the public domain ... Imagine a boda boda guy and his 400K transaction, you think it would have been a secret?
400K sio pesa kidogo hapa Kenya.
Jesoooooooooooooooo!!!!!!
Nyamira, nyamira, nyamira, why Kila kucha ni vituko. God help nyamira county.
Waaa kunawatu wanapenda utajiri wa dhulumaa
Ladies now you know..Never marry a man called Martin.. otherwise A dead man will be chasing after you 🤣🤣🤣🤣🤣
Oloooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😅😅😅
That's not the way ..hakuna mtu Hana deni duniani ...
Aibu sana. Lipa deni kabla mtu hajafa.
Dunia....
Nax haijawai angusha form... Wueh 😂😂
Maajabu
Sawa
Yaani marehemu amekata kurest in peace mpaka deni ilipwe
Nyamira 🤣🤣🤣..wakisii tumeamua Hii Kenya Ni yetu
🤣🤣🤣🤣
alipe pesa, huyo ni conman
Ooh ni wakisii tuwaelewe tu.
Wako aje?
Ha,ha... hiyo ni kali ⚰😂
Jamani
Sasa wakisii wamekasirika
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wakisii tena
Kisii's tena 😂
Noma
Jamani.hiyo tocha Kali jamani....
Episode 5 na bado ...
Murife don't run🏃🏃🏃🏃
Kenya my country n continent
Kabisa
Wah
Just go to Court. Other stories won't help...
Kidogo kidogo mtaona Matiang'i hapo
Wewe wacha matusi
Wakisiii bana wacheni tupumuee
Wakisii wanagonga vichwa za Habari kila siku 😂😂😂
Very sad
Maajabu kenya yetu
😥😥
Hehehe, my country Kenya
Si hami kenya
Anyway, I understand them ... If they bury the guy his money will disappear.
In Kenya only drama gets you your rights.
Chesa na mwingine zi mkisii WA nyamira😂👆🤔😎
Ndo naingia,,,, marehemu amelipwa au 🙄🤔?
Karibu Kenya ambapo Maiti hukataa kwenda mpaka walipwe deni na kwingine hukataa kuzikwa....Aki Kenya punguzeni Uchawi
Mambo ni mengi masaa ndio machache akh
Wueeeh
Wonders will never cease but that man should pay the debt.
Marehemu alikataa mchezo lazima asimame hapo pesa zipatikane...gari likakataa kwenda 🤣
Wakisii surely 🤔🤔🤔🤔🤔😏😏😏😏 wuuuuueeeeeee
Eti kama hana where did it go
Wacha niede congo 🤭
Hapa hapa ndio kwenyu
Ama Sudan hahaha
Kwetu halisi ni Congo forest
Mm nihame kenya weeee ata kwa dawa siwezi 😂😂lazima maiti ilipwe ndio izikwe
RIP
Wild goose chase
It's only hapen in kenya
Wakisii. Hameni Kenya
😂😂😂
Seriously 😀😀😀😀
Hii mwaka ni ya wakisii
Wakisii
Kenya sirudi 😂😂😂
Uko serious 😀😀😀😀
😂😂
Baba yangu man patty
WAKISII HAMCHEKI
Jesus
Wakisii .
Baba martin jitokeze wakisii ni moto
😂 😂 😂 😂 Gaaki wasijaribu
Mzee wa kijiji😅😅😅
Ukistajabu ya Musa utayaona ya filauni
Enyewe tuko pabaya kuliko jana 😄😆