ELEWA MAANA YA WAKOLOSAI
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Watu wengi huchukua fungu hili na kuanza kudai kua mtu mmoja akiamua kutoshika sabato na sheria za vyakula, wale wanaoshika mambo hayo wasimhukumu. Je, Paulo alikuwa na maana hiyo. Wakolosai 2:16-17 katika muktadha wake.
Amen barikiwa na Mungu akuzidishiye ekima yanke .
Ubarikiwe sana. Pia naomba unipatie namba yako kwa ajili ya mawasiliano
Namba ni +1 4189288224