Habari dd mm nimeota. Kuna barabara mbili. Mmoja ni bara bara pana na nyingi ni barabara nyembamba hile bara bara yembamba umejaa watu wengi ila ile barabara kubwa haina watu je mana yake nn dd
Asalaam aleykhum nimeuliza ukipta unamtwisha mwanao Mizigo na yeye anajitwisha ambaye ameishakufa anapanga nayo ngazi maana yake ni nini? Simu yako haipatikani
Me waganaota napita kwenye daraja refu sana na jembamba sana na chini ya daraja kuna maji mengi yenye mawimbi, lakin waga naota siko pekeangu waganakuwa na watu lakin ni weupe wote na wazuri sana kwa sura zao, na niwanaume tu.sjui inamaanisha nini,nisaidie tafadhali.jina langu naitwa Lucy john.
Jamani mi Huwa naota Sana to nipo kwenye kilima kirefu mpaka mwisho nikifika mwisho to nadondoka mpaka chini kisha nastuka usingizini na kweli mwaka huu mimeibiwa pesa nyingine sana hiyo nimekuelewa
Ukiota kuwa una mbawa kisha unapaa,maanake ni nini?... Na pia ukiota kuwa uko sehemu fulani labda kwenye sherehe na hapo kuna watu wengi ama uko town na uko uchi ama hauna viatu kwenye miguu,maanake nn?
Mimi huota napaa,wakati mwingine nikiona taa chini nami nipo juu huku napaa basi nafunga macho kwa kuogopa nisianguke.ila pia huwa nachanjwa mara nyingi usiku
Asalam aleykum je nikiota napanda juu mimi na ndugu yangu nipo mlimani lakin akatokeya bint nayeye kule juu akashikiliya kamba ili sisi tupande kuelekeya juu Na hiyo kamba ina mafundo mafundo kisha tukapanda hadi juu inamaana gani
Me nimeota nimepanda mlima lkn kufika juu kuna nyoka wananifatafata kule juu wananikimbiza nyoka wadogo ila wanarangi rangi inayofanana na nguo niliyovaa kwny ndoto hio
Munnawwar Yaqoob Kunaubaya utamfanyia mmeo aidha makusudi au bahati mbaya! Mfano kumsaliti au kufuata ushauri mbaya kwa marafiki zako wabaya mfano kumfunga mmeo au kumlisha limbwata....lakini katika yote hayo mmeo atakuvumilia
Nini maana ya kuota watu maarufu
Habari dd mm nimeota. Kuna barabara mbili. Mmoja ni bara bara pana na nyingi ni barabara nyembamba hile bara bara yembamba umejaa watu wengi ila ile barabara kubwa haina watu je mana yake nn dd
Nakupenaga sana tafusiri zako
,na ukiona watu waenda waenda zika arafu mm na lia sana je ina man gan dd
Na ukiota unaletewa samaki lakin wao samaki watoka bahari ya tisa nayo ina man gan
Mi huwa nnaota nikitwmbeleya juu juu maranyingi sana.
Asalaam aleykhum nimeuliza ukipta unamtwisha mwanao Mizigo na yeye anajitwisha ambaye ameishakufa anapanga nayo ngazi maana yake ni nini? Simu yako haipatikani
Asante sana, mungu akujaalie afya njema
Nimeota mbingu imefunguka kama dirisha namemuoma MTU ma nikamfahamu
Nimeota napanda ngazi na mtoto mtoto akaanguka lakini alishika n rafiki yangu akufika chini
shuklan sana ihti
Punguza bei 15000 kutabuli ndoto moja
Mh mbona biashara kubwa sana 15 kwakwel parefu
Me waganaota napita kwenye daraja refu sana na jembamba sana na chini ya daraja kuna maji mengi yenye mawimbi, lakin waga naota siko pekeangu waganakuwa na watu lakin ni weupe wote na wazuri sana kwa sura zao, na niwanaume tu.sjui inamaanisha nini,nisaidie tafadhali.jina langu naitwa Lucy john.
Jamani mi Huwa naota Sana to nipo kwenye kilima kirefu mpaka mwisho nikifika mwisho to nadondoka mpaka chini kisha nastuka usingizini na kweli mwaka huu mimeibiwa pesa nyingine sana hiyo nimekuelewa
Sasa Mimi Bi Mkubwa Niliteremka Kwa Kasi Mno Na Mbele Nikaona Mlima Nikaenda Kama Nimepanda Kama Nimefika Kileleni
Je kama naota na paaa juu
Ukiota kuwa una mbawa kisha unapaa,maanake ni nini?... Na pia ukiota kuwa uko sehemu fulani labda kwenye sherehe na hapo kuna watu wengi ama uko town na uko uchi ama hauna viatu kwenye miguu,maanake nn?
Ukota unapanda ndege
Mimi nimeota nimepanda ndege nanikaaenda nnje ya nchi na nikafikia darasani gafra nikakikuta Nina mtoto wakike mchanga darasani maana yake ninini?
asante mamaty
Mbona hakuna namba hapo chini Dr
ukiota unaruka kwenda juu
Ukijua kuhusu hiyo ndoto yako tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Mi naota sana napaa juu nikiwa nakimbizwa na mtu napaa juu
samahan uki ota ume ibiwa pesa
Kujua zaidi masuala ya ndoto tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Mimi huota napaa,wakati mwingine nikiona taa chini nami nipo juu huku napaa basi nafunga macho kwa kuogopa nisianguke.ila pia huwa nachanjwa mara nyingi usiku
Asante
mimi jina langu linaanzia. m namke wangu ni z zinaendana
Naomba namba ya simu
Mimi nimeota namukimbiza nyoka nakumuhuwa je nitafusilie
Mamy me naota na mimba tu na cna mimba ndoto hyo inajirudia
mimi naotaga natumbikizwa kwenye shimo kubwa cn
Kwasasa ukitaka kujua kuhusu masuala ya nyota tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Asalam aleykum
je nikiota napanda juu mimi na ndugu yangu nipo mlimani lakin akatokeya bint nayeye kule juu akashikiliya kamba ili sisi tupande kuelekeya juu
Na hiyo kamba ina mafundo mafundo kisha tukapanda hadi juu inamaana gani
Kujua nyota zaidi tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Me naota moto mara nyumba inaungua mala kijiji chajila kinawaka moto nini maanayake
mm nakua naota naruka juu kama ikitokea nakimbizwa na mtu/watu .na inakua ni mara kwa mara naota hvyo. jee nn tafsr yake
Sawa sasa ukitaka kujua zaidi tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Naota ivo ata mim yan mara nying sana
Ata Mimi kila mara
😉😁😘
Mm naota nachota maji kwenye kisima lkn kuna jiwe kubwa na ni pangon nn maana yake
Niumasikin huo
Me nimeota nimepanda mlima lkn kufika juu kuna nyoka wananifatafata kule juu wananikimbiza nyoka wadogo ila wanarangi rangi inayofanana na nguo niliyovaa kwny ndoto hio
Nimeota nafiri Ila nimepanda juu ya keria ya gari.
Ukiota umejiharishia halafu mumeo anakalia kinyesi hata hajali inamaana ngani?
Munnawwar Yaqoob
Kunaubaya utamfanyia mmeo aidha makusudi au bahati mbaya! Mfano kumsaliti au kufuata ushauri mbaya kwa marafiki zako wabaya mfano kumfunga mmeo au kumlisha limbwata....lakini katika yote hayo mmeo atakuvumilia
Utafilisika
Namba zako doctor k
Nimeota nataka kufungishwa ndoa lakn uyo mwanaume gafla kawa chiz akawa tumbo waz uku akiongea ongea kisha sheeh akasema siwez fungisha ndoa hiii nin maana yake
Sawa ila kwasasa ukitaka kujua zaidi masuala ya nyota tembelea ua-cam.com/video/THF4l5Zr-Hc/v-deo.html
Mnajimu ukiota unaongeana raisi manaake ninini?
Tujibu bc
mim na ota mara kwa mara na kimbizwa kisha na paa juu nin maana yake